BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,007
kama ukipaka pilipili kwenye kidole inakuaje?
Kama mtoto bado ni mdogo sana hili la kupaka pilipili silishauri hata kidogo na pia mtoto kama ana akili zake anaweza kukiosha (kwa siri) na kuendelea na burudani yake.