mtoto kicheche, anafeli na muhuni. shule gani itamfaa?

ASANTE KAKA KWA USHURI, KAKA MSHEMWA STEVEN. Bibi yake sio mzee kabisa hata ukimuona uwezi kufikiri kama anamjukuu mkubwa nanma hii. Huyu mtoto ndio mjukuu wake wa kwanza. Dada yetu alizaa mapema sana. Na mara kwa mara huyu mtoto akikaa na bibi ake kipindi mama ake yupo hai. Mie nimejaribu kumueleza na kumfafanulia juu ya maisha, magonjwa, na elimu. Ila anatulia nikiwepo home tu, nikiondoka tu, ugomvi hauishi. Mara kapigana shuleni, mara anataka kupigwa mapanga, mara wasichana wanakuja kumsuta,na ngumi mtu, hadi mama kashudia ugumvi nje ya uwanja wake. Mie nikiongea nae, ananielezea hao wasichana ndio wakorofi sio yeye. Na anajitetea hawezavyo, sasa mwanzo nikimuamini sasa naanza kupata wasiwasi, sante kaka kwa ushauri nitajaribu
 
ASANTENI KWA USHAURI WENU JAMANI. Ntajaribu kufiria nianze lipi, na nimalizie lipi, shukran
 
Kama ni Mkristo mpeleke Agape Junior Seminary,Moshi na Kama ni Muislamu mpeleke Mudio Islamic Seminary,Moshi. Asipobadilika ndani ya Miezi miwili nitakurudishia ada yako.
 
mpeleke kule kwetu akale maharage ya wadudu na maji ya chura....
kila siku asubuhi analeta kuni na ndo ya maji( lt.20 ) shuleni....
naongelea shule ya sec. Gidas iko huko Manyara....
akirudi kutoka huko heshima debe na kakomaa...
 
walimu wenyewe wa siku hizi voda fasta na denti mshasema kahaba si ataharibika zaidi? Mtafutie mume huyo mwenye dental formula kama yangu.

Mpeleke Boarding ya Geti kali na mkabidhi kwa mwalimu amchape kama atakavyo,
 
Samoe kumwamisha shule haitasaidia chochote
Fanya yafuatayo
Mweke chini umweleze risk asssociated na ujana, pili mpe scenario kuhusu wazazi wake ajione kuwa yeye anategemewa na ndugu na jamii kwa ujumla
Tatu mpe facts ya watu who perfomed in life ili naye a struggle to achive as them
Nne mweleze negative na result ya kampani mbaya
Natumani umkipa hayo na mengine ya msingi atakuwa mwanafunzi mzuri na atabadilika
Chhhhhhhhheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeerrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrsssssssssssssssssssssssssssssssssss!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Hi, jamani, naombeni msaada wenu wa mawazo. Nina somesha mtoto wa dada angu, shule ya secondary, mama yake alisha fariki na baba ake katiwa ndani, kafungwa kiufupi. Huyu mtoto sasa amenichanga. Jana mama kanipigia sim na kaniambia huyu mtoto anarudi home saa sita za usiku, kila siku sasa. Na anamtukana bibi yake na kugombana nae, hawaelewani. Wiki iliopita kuna kijana alikuja na kisu kwa mama na kumulizia huyu mtoto na kudai anataka kupiga mapanga huyo mtoto akimuona. Out out kaendekeza, masomo anafeli na anamarafiki wasio eleweka, mama kashamshinda. Sasa mie nataka aende kusoma nje ya dar, akienda kijijini labda huko atatulia na atasoma vizuri. Lakini sasa mie sijui shule nzuri huko mikoani, je kuna mtu yeyote ambae atanisaidia kunielekeza shule mzuri jamani, asanteni maana nimechanganyikiwa hata sijui la kufanya.
 
Back
Top Bottom