Mtoto kakolea haswaa, hanijui cmjui ila kanipenda

She is not really,anakufaham vzuri huyo mdada,unavojdanganya yuko dar we iringa haiko hivyo,mko nae the very same region,thats y anajdai ajigharimikie toka dar,mzush huyo!hata huko kufiwa na mzaz changa la macho hilo!changu mkomavu!
 
We kaka unampenda mchumba ako kweli? Cz usingeruhusu mawasiliano ya kimapenz na anonymous lover.
Yawezekana pia anaku2mia ili amsahau mpenz wake ambae nahisi ndo anaempenda kushnda akupendavo wewe
Tatu wanawake 2natabia ya kuwachezea wapenz we2 kwa ku2mia m2 mwengne ili kupima upendo wenu kwe2 cz hata mimi nshawai mchezea mpenz wangu nkatumia namba nyingne na wakat wa maongez nlikua nampa cmu mdogo wangu ili asitambue saut yangu bt nashukuru mpenz wangu alikua imara
Nne nais uwezekano mkubwa wa wewe ku2nga hii stori

Tano, nais umr wako si 27 kama unavodai ni chini ya 24.
Sita, KAJIPANGE TENA.
 
Mnyikungu mie sipendi kukukatisha Tamaa, Ila unaonekana na wewe umefika sababu kumbuka ulisema ulimpigia simu ikawa haipatikani kwa muda flani ukaona haiwezekani bado ukaendelea Kupiga tu na wewe ni dalili za mapenzi na wewe yashakuoga kama anavyo sema BAK unaye huyo, Ila mkuu kuwa mwangalifu isije kuwa Bomu tu la vipele vya kuwasha watu wakaanza kukutembelea Hospital.

Wenye uchu nao naona wanasema Bahati ingewakuta wao duh utawajuwa tu waharibifu watu kama hao ndio wakimkuta demu Kilema wanamkimbia umependa sauti sasa penda na maumbile.
 
We kaka unampenda mchumba ako kweli? Cz usingeruhusu mawasiliano ya kimapenz na anonymous lover.
Yawezekana pia anaku2mia ili amsahau mpenz wake ambae nahisi ndo anaempenda kushnda akupendavo wewe
Tatu wanawake 2natabia ya kuwachezea wapenz we2 kwa ku2mia m2 mwengne ili kupima upendo wenu kwe2 cz hata mimi nshawai mchezea mpenz wangu nkatumia namba nyingne na wakat wa maongez nlikua nampa cmu mdogo wangu ili asitambue saut yangu bt nashukuru mpenz wangu alikua imara
Nne nais uwezekano mkubwa wa wewe ku2nga hii stori

Tano, nais umr wako si 27 kama unavodai ni chini ya 24.
Sita, KAJIPANGE TENA.
bahati mbaya au nzuri cjui kupenda, huyo nilimwambia nina mchumba kumkatisha tamaa, lakini hakukata tamaa, kama ananitumia ili amsahau mpenzi wake atajua yeye but na mimi namtumia kujiliwaza ili cku iende,kama ameamua kunipima mimi pole yake hii ni wrong number mwisho wa siku atajikuta anajipima yeye,
kama nimetunnga story je wewe umeipenda hujaipenda?
kama si 27 ni 24 miaka yangu kwani we tatizo lako nini?
nikajipange tena ili kiwe nini?
 
Wadau, wahenga wanasema ukistaajabu ya musa basi utayaona ya firauni, ilikuwa jumatano nimekaa nimetulia ofisini nafanya michakato kiofisi,mara nikaona sms kuisoma ikawa na ujumbe huu "mambo mpendwa nimekumic vibaya mno mpe hi mm" kiukweli nilishangaa why numba ngeni iniandikie hivyo? bila hiana nikanyanyua cm niampigia aliyenitumia nikasikia sauti ya kike inaongea, nikamwambia dada samahani umekosea namba umetuma sms yako kwangu, dada akakubali akasema kweli amekosea lengo lake lilikuwa kumtumia mchumba ake, akaniomba msamaha nikamsamehe kisha nikakata simu, cha kushangaza baada ya kukata simu alibeep tena mara tatu, ah! mi nikaona niachane naye. kesho yake akabeep tena nikamchunia siku ya tatu yake akatuma sms kuniuliza kama mi namfahamu na pia nimtajie jina langu kama ananifaham, mi nilimwambia cmfaham na wala jina lake cjawahi kuliona sehemu hali kadhalika naye akasema hanijuia lakini akasema tunaweza tukawa marafiki, mi nikasema powa tukachati toka saa 8 mbaka saa 11 ndo akatuma sms akasema nisimshangae ameona bora awe muwazi ila amenipenda ghafla japo ana mchumba, ahaa mi nikamjibu "makubwa!" kiukweli alijieleza sana kupita maelezo, mtoto alinimwagia mistari ajabu! nikaanza kujiuliza je ni kweli ananijua au ananijua ila anataka tu kunitania?

sio siri nilihisi kama kuna mchezo nafanyiwa kwasababu sehemu anayotokea ndo huko yupo mtani wangu fulani kwa hiyo nikampuuzia, kesho yake mtoto akaja na swaga zaidi ya jana nikawa nacheka sana huku nikimjibu majibu ya mzaha na ya kumkatisha tamaa. ilipofika jumamosi mara akaniambia mama ake ameugua ghafla presha na amelazwa na kulingana na hali yake hana matumaini kama atapona.kiukweli niliingiwa na huruma nikaanza kumfariji juu ya mgonjwa, ilpofika kesho yake nikamtumia sms ,"vipi best mgonjwa anaendeleaje na wewe umeamkaje?" cikujibiwa, nikatuma sms nyingine best mi nasubiri jibu toka kwako hakujibu, nikakaa kama nusu saa kisha nikapigiwa simu ambyo ilinitaarifu juu ya kifo cha mama wa huyu dada lakini nikpewa taarifa ya nyongeza na ya kushtua kuwa hata yule dadad amelazwa kutokana na mshtuko wa kufiwa na mama yake, hapo tena nikaingiwa na roho ya huruma ilipofika jioni nikampigia cm akapokea mtu mwingine akaniambia mgonjwa hawezi kuongea na mimi. kesho yake nikapiga cm yule dada akaongea na mimi japo kwa shida na akasema wameishazika, sio siri nilikuwa namtumia sms nyingi za kumfariji na nashukuru alifarijika maana ilipofika kesho yake machungu yakawa yamepungua kwasababu hakupata mda wa kuwaza maana mda wote milimkeep bize kwenye chating.

kasheshe lilipoanza ni pale alipoanza kukumbushia sms yake ya kunipenda ghafla, lakini wakati huohuo na mimi bado nilikuwa namtafakari kwanini ananipenda mtu ambaye hajawahi kuniona wala hanijui? sasa ili kujua ukweli nikaamua nimkubalie maana niliona nikimkubalia ndo ataniambia chanzo cha yeye kunipenda ghafla. ni kweli wazo langu lilifanikiwa na nikajua kipindi anachoniambia ananipenda alikuwa ametoka kugombana na mchumba wake ambae wamezaa naye mtoto mmoja, kwa hiyo alinipenda mimi akiwa na hasira, maana bado alionekana kiishara kama anampenda mno bwana ake, lakini tatizo ndo alikuwa ameanzisha mahusiano na mimi.baada ya kugundua hivyo nikaanzisha mchakato wa kumshawishi yeye aendelee na mchumba ake na nikamwambia kuwa wanaume siku hizi hatuna jipya, anaweza akamkimbia yule akahisi anakuja kwangu labda kuna unafuu kumbe huku ndo balaa yaani anakuwa anaruka mkojo na kukanyaga kinye.......,na nilimtamkia kuwa mi nitampenda tu hata akiolewa na kwasababu wamezaa naye mtoto nikamwambia ni vyema waoane ili walee mtoto ktk misingi na malezi mema na mtoto afaidi ule upendo wa babab na mama.da! maskini! ckujua! kumbe ushauri wangu ndo ulniongezea maksi akazidi kunipenda zaidi.

Jamaa yake juzi tu alipoona mchumba ake amebadilika akona asije akamkosa ndo kamtangazia ndoa, amini usiamin kwa maelezo yake ni kuwa hana hamu na huyo jamaa sababu jamaa amezaa pia na mtu mwingine ila hakumwambia na ndo kisa kilichofanya wagombane kwa hiyo hata hamitaji na anatamani akimbilie kwangu sababu hata ndugu zake ni wapambe wa mchumba ake ambaye wamekuwa naye kwenye mahusiano kwa miaka saba.

kwa kweli tunaitana wapenzi na tunatumiana sms kwa siku zaidi ya mia tano, mimi kwangu naona poa sababu namuenjoy ila yeye ndo yuko serious sana na hii ishu, kinachozidi kunishangaza mwanamke ana wivu na mimi cjapata ona j








KAKA TUPE UPDATES ZA HII STORY NIJUE MWISHOWE...nzuri sana. I like it....
 
Wadau, wahenga wanasema ukistaajabu ya musa basi utayaona ya firauni, ilikuwa jumatano nimekaa nimetulia ofisini nafanya michakato kiofisi,mara nikaona sms kuisoma ikawa na ujumbe huu "mambo mpendwa nimekumic vibaya mno mpe hi mm" kiukweli nilishangaa why numba ngeni iniandikie hivyo? bila hiana nikanyanyua cm niampigia aliyenitumia nikasikia sauti ya kike inaongea, nikamwambia dada samahani umekosea namba umetuma sms yako kwangu, dada akakubali akasema kweli amekosea lengo lake lilikuwa kumtumia mchumba ake, akaniomba msamaha nikamsamehe kisha nikakata simu, cha kushangaza baada ya kukata simu alibeep tena mara tatu, ah! mi nikaona niachane naye. kesho yake akabeep tena nikamchunia siku ya tatu yake akatuma sms kuniuliza kama mi namfahamu na pia nimtajie jina langu kama ananifaham, mi nilimwambia cmfaham na wala jina lake cjawahi kuliona sehemu hali kadhalika naye akasema hanijuia lakini akasema tunaweza tukawa marafiki, mi nikasema powa tukachati toka saa 8 mbaka saa 11 ndo akatuma sms akasema nisimshangae ameona bora awe muwazi ila amenipenda ghafla japo ana mchumba, ahaa mi nikamjibu "makubwa!" kiukweli alijieleza sana kupita maelezo, mtoto alinimwagia mistari ajabu! nikaanza kujiuliza je ni kweli ananijua au ananijua ila anataka tu kunitania?

sio siri nilihisi kama kuna mchezo nafanyiwa kwasababu sehemu anayotokea ndo huko yupo mtani wangu fulani kwa hiyo nikampuuzia, kesho yake mtoto akaja na swaga zaidi ya jana nikawa nacheka sana huku nikimjibu majibu ya mzaha na ya kumkatisha tamaa. ilipofika jumamosi mara akaniambia mama ake ameugua ghafla presha na amelazwa na kulingana na hali yake hana matumaini kama atapona.kiukweli niliingiwa na huruma nikaanza kumfariji juu ya mgonjwa, ilpofika kesho yake nikamtumia sms ,"vipi best mgonjwa anaendeleaje na wewe umeamkaje?" cikujibiwa, nikatuma sms nyingine best mi nasubiri jibu toka kwako hakujibu, nikakaa kama nusu saa kisha nikapigiwa simu ambyo ilinitaarifu juu ya kifo cha mama wa huyu dada lakini nikpewa taarifa ya nyongeza na ya kushtua kuwa hata yule dadad amelazwa kutokana na mshtuko wa kufiwa na mama yake, hapo tena nikaingiwa na roho ya huruma ilipofika jioni nikampigia cm akapokea mtu mwingine akaniambia mgonjwa hawezi kuongea na mimi. kesho yake nikapiga cm yule dada akaongea na mimi japo kwa shida na akasema wameishazika, sio siri nilikuwa namtumia sms nyingi za kumfariji na nashukuru alifarijika maana ilipofika kesho yake machungu yakawa yamepungua kwasababu hakupata mda wa kuwaza maana mda wote milimkeep bize kwenye chating.

kasheshe lilipoanza ni pale alipoanza kukumbushia sms yake ya kunipenda ghafla, lakini wakati huohuo na mimi bado nilikuwa namtafakari kwanini ananipenda mtu ambaye hajawahi kuniona wala hanijui? sasa ili kujua ukweli nikaamua nimkubalie maana niliona nikimkubalia ndo ataniambia chanzo cha yeye kunipenda ghafla. ni kweli wazo langu lilifanikiwa na nikajua kipindi anachoniambia ananipenda alikuwa ametoka kugombana na mchumba wake ambae wamezaa naye mtoto mmoja, kwa hiyo alinipenda mimi akiwa na hasira, maana bado alionekana kiishara kama anampenda mno bwana ake, lakini tatizo ndo alikuwa ameanzisha mahusiano na mimi.baada ya kugundua hivyo nikaanzisha mchakato wa kumshawishi yeye aendelee na mchumba ake na nikamwambia kuwa wanaume siku hizi hatuna jipya, anaweza akamkimbia yule akahisi anakuja kwangu labda kuna unafuu kumbe huku ndo balaa yaani anakuwa anaruka mkojo na kukanyaga kinye.......,na nilimtamkia kuwa mi nitampenda tu hata akiolewa na kwasababu wamezaa naye mtoto nikamwambia ni vyema waoane ili walee mtoto ktk misingi na malezi mema na mtoto afaidi ule upendo wa babab na mama.da! maskini! ckujua! kumbe ushauri wangu ndo ulniongezea maksi akazidi kunipenda zaidi.

Jamaa yake juzi tu alipoona mchumba ake amebadilika akona asije akamkosa ndo kamtangazia ndoa, amini usiamin kwa maelezo yake ni kuwa hana hamu na huyo jamaa sababu jamaa amezaa pia na mtu mwingine ila hakumwambia na ndo kisa kilichofanya wagombane kwa hiyo hata hamitaji na anatamani akimbilie kwangu sababu hata ndugu zake ni wapambe wa mchumba ake ambaye wamekuwa naye kwenye mahusiano kwa miaka saba.

kwa kweli tunaitana wapenzi na tunatumiana sms kwa siku zaidi ya mia tano, mimi kwangu naona poa sababu namuenjoy ila yeye ndo yuko serious sana na hii ishu, kinachozidi kunishangaza mwanamke ana wivu na mimi cjapata ona j








KAKA TUPE UPDATES ZA HII STORY NIJUE MWISHOWE...nzuri sana. I like it....

mkuu bado tunaendelea, but ananikera maaana ana wivu sana, kila mda anataka kujua nipo wapi na nani na ninafanya nini?
juzi tu nilikata cm yake coz nilikuwa naongea na mzee yeye akakasilika akasema why nimemkatia cm? nilimweleza hakunielewa but mwishowe akakubali kwa shingo upande, jana nilikuwa naonge na cm usiku yeye akapiga akaona cm inatumika du! alikuwa mkali balaa!
Mimi nikajifanya namwambia nimechoka na wivu wake kama vp tuachane, mwanzo akakubali but baadaye akaanza kunibembeleza tena, mbaka sasa nimemchunia kumsms but akinipigia cm najibu.
pia bado anasisitiza kuwa yeye hayuko tiyari kuolewa na mchumba aliyemzalisha. mimi nina ham ya kuona mwisho wake kama je ni tapeli ingawa hajaonyesha dalili za mizinga hata kidogo japo tuna 3 weeks, je ni kweli atakataa kuolewa kisa mimi na je ni kweli atakuja iringa kunisalimia?, but pia mi nimemwabia ni maskini kabisa, lakini yeye kasema haijalish anachotaka yeye ni kuwa namjali tu.
 
Wadau, wahenga wanasema ukistaajabu ya musa basi utayaona ya firauni, ilikuwa jumatano nimekaa nimetulia ofisini nafanya michakato kiofisi,mara nikaona sms kuisoma ikawa na ujumbe huu "mambo mpendwa nimekumic vibaya mno mpe hi mm" kiukweli nilishangaa why numba ngeni iniandikie hivyo? bila hiana nikanyanyua cm niampigia aliyenitumia nikasikia sauti ya kike inaongea, nikamwambia dada samahani umekosea namba umetuma sms yako kwangu, dada akakubali akasema kweli amekosea lengo lake lilikuwa kumtumia mchumba ake, akaniomba msamaha nikamsamehe kisha nikakata simu, cha kushangaza baada ya kukata simu alibeep tena mara tatu, ah! mi nikaona niachane naye. kesho yake akabeep tena nikamchunia siku ya tatu yake akatuma sms kuniuliza kama mi namfahamu na pia nimtajie jina langu kama ananifaham, mi nilimwambia cmfaham na wala jina lake cjawahi kuliona sehemu hali kadhalika naye akasema hanijuia lakini akasema tunaweza tukawa marafiki, mi nikasema powa tukachati toka saa 8 mbaka saa 11 ndo akatuma sms akasema nisimshangae ameona bora awe muwazi ila amenipenda ghafla japo ana mchumba, ahaa mi nikamjibu "makubwa!" kiukweli alijieleza sana kupita maelezo, mtoto alinimwagia mistari ajabu! nikaanza kujiuliza je ni kweli ananijua au ananijua ila anataka tu kunitania?

sio siri nilihisi kama kuna mchezo nafanyiwa kwasababu sehemu anayotokea ndo huko yupo mtani wangu fulani kwa hiyo nikampuuzia, kesho yake mtoto akaja na swaga zaidi ya jana nikawa nacheka sana huku nikimjibu majibu ya mzaha na ya kumkatisha tamaa. ilipofika jumamosi mara akaniambia mama ake ameugua ghafla presha na amelazwa na kulingana na hali yake hana matumaini kama atapona.kiukweli niliingiwa na huruma nikaanza kumfariji juu ya mgonjwa, ilpofika kesho yake nikamtumia sms ,"vipi best mgonjwa anaendeleaje na wewe umeamkaje?" cikujibiwa, nikatuma sms nyingine best mi nasubiri jibu toka kwako hakujibu, nikakaa kama nusu saa kisha nikapigiwa simu ambyo ilinitaarifu juu ya kifo cha mama wa huyu dada lakini nikpewa taarifa ya nyongeza na ya kushtua kuwa hata yule dadad amelazwa kutokana na mshtuko wa kufiwa na mama yake, hapo tena nikaingiwa na roho ya huruma ilipofika jioni nikampigia cm akapokea mtu mwingine akaniambia mgonjwa hawezi kuongea na mimi. kesho yake nikapiga cm yule dada akaongea na mimi japo kwa shida na akasema wameishazika, sio siri nilikuwa namtumia sms nyingi za kumfariji na nashukuru alifarijika maana ilipofika kesho yake machungu yakawa yamepungua kwasababu hakupata mda wa kuwaza maana mda wote milimkeep bize kwenye chating.

kasheshe lilipoanza ni pale alipoanza kukumbushia sms yake ya kunipenda ghafla, lakini wakati huohuo na mimi bado nilikuwa namtafakari kwanini ananipenda mtu ambaye hajawahi kuniona wala hanijui? sasa ili kujua ukweli nikaamua nimkubalie maana niliona nikimkubalia ndo ataniambia chanzo cha yeye kunipenda ghafla. ni kweli wazo langu lilifanikiwa na nikajua kipindi anachoniambia ananipenda alikuwa ametoka kugombana na mchumba wake ambae wamezaa naye mtoto mmoja, kwa hiyo alinipenda mimi akiwa na hasira, maana bado alionekana kiishara kama anampenda mno bwana ake, lakini tatizo ndo alikuwa ameanzisha mahusiano na mimi.baada ya kugundua hivyo nikaanzisha mchakato wa kumshawishi yeye aendelee na mchumba ake na nikamwambia kuwa wanaume siku hizi hatuna jipya, anaweza akamkimbia yule akahisi anakuja kwangu labda kuna unafuu kumbe huku ndo balaa yaani anakuwa anaruka mkojo na kukanyaga kinye.......,na nilimtamkia kuwa mi nitampenda tu hata akiolewa na kwasababu wamezaa naye mtoto nikamwambia ni vyema waoane ili walee mtoto ktk misingi na malezi mema na mtoto afaidi ule upendo wa babab na mama.da! maskini! ckujua! kumbe ushauri wangu ndo ulniongezea maksi akazidi kunipenda zaidi.

Jamaa yake juzi tu alipoona mchumba ake amebadilika akona asije akamkosa ndo kamtangazia ndoa, amini usiamin kwa maelezo yake ni kuwa hana hamu na huyo jamaa sababu jamaa amezaa pia na mtu mwingine ila hakumwambia na ndo kisa kilichofanya wagombane kwa hiyo hata hamitaji na anatamani akimbilie kwangu sababu hata ndugu zake ni wapambe wa mchumba ake ambaye wamekuwa naye kwenye mahusiano kwa miaka saba.

kwa kweli tunaitana wapenzi na tunatumiana sms kwa siku zaidi ya mia tano, mimi kwangu naona poa sababu namuenjoy ila yeye ndo yuko serious sana na hii ishu, kinachozidi kunishangaza mwanamke ana wivu na mimi cjapata ona japo nimemwambia nina mchumba ila yeye kasema poa. usiku akiwa hana usingizi huwa ananipigia cm kisha tunaongea mbaka asubuhi kama mapenzi ya wanafunzi yalivyo.saa hizi anafanya juu chini aje anisalimie pamoja na kubadilishana ujuzi wa kiutu uzima.

da! cjafurahi hata kidogo najaribu bado kumkatisha tamaa na kumsihi arudishe moyo kwa bwana ake ila hataki, na mimi tatizo langu ni mdadisi mno yaani nasubiri kuuona mwisho wake ni nini? na pia kwasababu tumekubaliana kuwa ye akubali kuolewa"kitu ambacho kitanisaidia mimi" kisha mimi nitaendelea kuwa naye hata kama kaolewa, hapa tena nadadisi je atawezaje kuwasiliana na mimi na mwisho ataamua nini?

waungwana kwenye cm kanipenda sana, kafa kaoza, muda mwingi anapoteza kuchati na kuongea na mimi kwa simu, usiku huanzisha maneno ya kimahaba kisha husema kuwa eti ananitamani.

dah mbona usanii sana huo ,ila pole unatuma sms 500 kwa cku si dole gumba litavimba sasa mpotezee huyo limbukeni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom