piper
JF-Expert Member
- Jan 17, 2012
- 3,253
- 612
Mtoto mmoja alipoteza yeboyebo hivyo akawa analia njiani kuelekea kwao akakutana mzee akamuuliza:
Mzee: unalilia nini mtoto mzuri?
Mtoto: (huku akigugumia kwa kilio) nimepoteza yeboyebo zangu.
Mzee: usijali mwachie mungu utapata zingine.
Mtoto: ni ndogo sana hazitamtosha.
Mzee: unalilia nini mtoto mzuri?
Mtoto: (huku akigugumia kwa kilio) nimepoteza yeboyebo zangu.
Mzee: usijali mwachie mungu utapata zingine.
Mtoto: ni ndogo sana hazitamtosha.