Mtoto Azaliwa Na Vichwa Viwili Mkoani Mara

Gumzo

JF-Expert Member
Jan 2, 2012
211
7
Mtoto azaliwa na vichwa viwili katika hospital ya DDH Bunda Mara mtoto huyu alikaa kwa saa moja ni kisha kufariki dunia picha imepigwa na Berensi Alikadi mshiriki wa mafunzo ya Online Journalism yanayoendelea Mkoani Mara , Mafunzo hayo yanayoendeshwa na Mkufunzi Msaidizi Mkami Jr , Yakiratibiwa na UTPC


CHANZO : GUMZO LA JIJI
 
pole mfiwa ni mipango ya Mungu, atakujali utapata mimba na kuzaa mtoto mzima
 
Duh! Ama kweli tunakoelekea tunahitaji kumtaja Mwenyezi MUNGU sana!

Sisi tu wakosaji kila wakati MUNGU wetu na tunakuomba u2samehe!
 
Back
Top Bottom