Mtoto apewe last name gani

Yaani ukimuona mtoto wala huulizi ni wa nani copyright ya babaye.. Sema tu bibie anakereka na kutowajibika kwa jamaa.. Ndo anataka amdelete kbs kwny makaratasi yanayomhusu mtoto..

teh teh teh,hajafanana na 'babu' DNA analysis pekee ndio inayoweza kuthibitisha uhalisia wa mtoto.
Hakuna haja ya kum-delete kuna siku atamkumbuka mtt wake na matunzo yatakuwa makubwa.fikiria sana mtt akikua atahitaji kumjua baba yake wa ukweli.
 
babuyao nawafahamu wawili ambao hawataki hata kuwasikia hao baba zao!na wanasema kabisa kua wa kambo ndio baba coz yeye ndie alimlea na jina alikua na la baba mzazi ila kabadilisha kwa hiari...sasa anatumia la baba wa kambo!kila mtu ana uhuru wakuchagua...sasa hivi mtoto hawezi kuchagua kwa hiyo mama amchagulie linalompendeza..akikua atabadilisha akitaka!alafu kwani akiwa na jina la mama ndo hawezi kuonyeshwa baba yake akitaka??sioni uhusiano wa jina na kumfahamu baba!

thanks lizzy
 
kama mtoto ni wangu ningemuita katarina perpetua sarwat gwandu, sijui mambo ya john lema hiyo ni kimpango wake....pambaf.....

preta,una mawazo kama mm. Kuna haja gani ya kumpa jina la mwanaume suruali! Hivi anajua thamani ya neno baba? Au ye anadhani kwakua amemtoa kiunoni basi ndo yatosha kupewa ubini wake na kuitwa baba! What a shame!
 
kwanini uwe na jina la mtu ambae hataki kua na uhusiano na wewe????kama hataki kukutambua jina lake litakua vipi lako???

itakuwa ni kutomtendea haki mtoto kulazimisha kumpa jina la mtu asiyemtaka. Mwambie mama yake amdelete huyo mtu kabisa. Mtoto akikua amweleze ukweli then yy ataamua kumtafuta baba yake au la. Kwa sasa wala asiumize kichwa tena awe na amani kabisa ampe majina yake yoote anayoyataka yy.
 
Kwa kifupi ili uwe na sifa za ubaba yanaambatana sana na uwajibikaji wako kwa familia yako hapa namaanisha mpenzi wako (mke) watoto wazazi na ndugu wa mkeo kwanza na hata ndugu zako pia hao ndiyo wababa (Magent.) wa ukweli na siyo wababishaji.

Mfano mzuri mwangalieni alikuwa Rais wa Marekani Bill Clinton. Ila jamani twende mbele turudi nyuma mengine yanaumiza na kukera mtoto na hata kwa baba maana kama ulithubutu kumvulia nguo unashindwa nini kukumbuka jina lake japo mtoto akikua asipate utata.
 
Hakuna hata moja hapo tena yote hayo na matelekezaji kishenzi, hawasaidii kitu ni kujisifu tu nina mtoto na fulani tena wakiume aisee.

**** unajua ni watelekezaji kwanini unaachia? Ili upate matunzo kwa kisingizio cha mtoto? Kama hujabahatisha wako basi kula kwa jasho lako
 
preta,una mawazo kama mm. Kuna haja gani ya kumpa jina la mwanaume suruali! Hivi anajua thamani ya neno baba? Au ye anadhani kwakua amemtoa kiunoni basi ndo yatosha kupewa ubini wake na kuitwa baba! What a shame!

Sasa kama ulimkubaliana akaivua suruali yake, ukaachia bila hata kinga, mimba ikatunga, mtoto akazaliwa kwanini usimpe mtoto jina la baba? Hata kule kukushughulikia mpaka mimba ikatunga nayo ni kazi eti
 
Identity is something important

There is a point in life when a person discover that the identity he/she has is different to his background na wengi wamekuwa wakiumia

So the best way pamoja na kwamba baba hayuko responsible lakini mtoto apewe haki yake ya identiy na kinyume na hapo iko point kwenye maisha ataitaka na itakuwa gharama nyingine

Aandikishwa na ubini wa baba yake mzazi
 
preta,una mawazo kama mm. Kuna haja gani ya kumpa jina la mwanaume suruali! Hivi anajua thamani ya neno baba? Au ye anadhani kwakua amemtoa kiunoni basi ndo yatosha kupewa ubini wake na kuitwa baba! What a shame!


Brandon hiki ndicho nilichosema happo juu. Hutoi jina kwa faida ya huyo Mwanaume Suruali (nakunukuu) ila ni kwa faida ya mtoto hapo baadae.

Mimi nina jirani ambae alizaaa na mwanaume wa Karagwe na alibadilisha jina la mtoto wake akampa jina la mwanaume ambae anaishi nae kwa sasa kwa sababu tu alikubali ku-take custody ya mtoto. Ni kweli jamaa amejitahidi kumlea sawa na watoto wake wengine bila ubaguzi.

Lakini si unajua damu nzito kuliko uji, mtoto sasa amemaliza kidato cha 4 na uzito wa damu umeanza kumsumbua anamtaka baba yake na mama yake kamuunganisha na mtoto na mtoto anataka identity yake?? Huoni hili game!!!!!!!!!!

Finally wameenda kuapa na mtoto amebadili jina officially na anatumia la baba yake sasa
 
Asiangalie karibu. Aangalie mbali. Wanawake tuna moyo mwepesi wa kusamehe. Ipo cku baba atarudi na kuomba msamaha au mtoto atamtafuta baba yake huko b'dae. Mwambie ampe jina la baba kwavile tayari anatambulika. Damu ya mtu ni ya mtu tu. Hata akiamua kutompa mwanae jina kabisa bado ukweli kuwa yule ni baba utabaki pale pale. Asifanye maamuzi kwa hasira.
 
Kuna mdau mmoja aliandika:

Baba hachaguliwi,
mama hapigiwi kura...
 
Si haki, basi mtafute siku wewe na mamii ili mumrudishie mbegu yake mzee wa watu aliyoitoa( biological father) ili muwe free na maisha kabisa.

nilibadisha mwenyewe....
na siwezi mtafuta maana najua aliko ndo mahali wote tunaelekea....

unajua sisi hapa tunaongea tu lakini haya mambo achana nayooo..
huwezi jua au huwezi elewa mpaka uyapitie...
sasa hivi ndo niko free na maisha yangu..
And im very pride and more than happy to use my mums last name....
 
Back
Top Bottom