mtengenezee juisi ya ukwaju au limau mnyweshe saa 1 kabla ya kula chakula.mpunguzie vyakula vyenye mafuta.mengi pia penda kumpa mboga mboga zitamfanya apende kula kwani atahisi njaa na kumfanya apate hamu ya chakula.Ni mtoto wa kiume, ndio anatimiza mwaka mmoja. Hapendi kula, licha ya kumbadilishia chakula mara kwa mara. Mama yake humlazimisha kula angalao vijiko viwili.
Ni msaada kwa mtoto,hakikisha mtoto humkimbizii ugali mgumu na wali.Hao wanahitaji vyakula laini na matunda/juice za matunda.Samaki mchemsho,na kama mnaunga isiwe mafuta mengi,uji ule wa asili wakutengeneza wewe mwenyewe.Kuna mambo mengi sana juu ya watoto.mtengenezee juisi ya ukwaju au limau mnyweshe saa 1 kabla ya kula chakula.mpunguzie vyakula vyenye mafuta.mengi pia penda kumpa mboga mboga zitamfanya apende kula kwani atahisi njaa na kumfanya apate hamu ya chakula.
kwa hali hii napata ushawishi kufungua high quality children daycare center,ili watoto walelewe na wakuzwe katika misingi sahihi ya malezi na makuziWa kwangu pia hapendi kula 2yrs na wakati unamlazimisha kula hua anasinzia na kulala kabisa ila ukiacha kumpa anaamka na kuanza kucheza
Unaweza kunielekeza namna ya kuongea na mtoto wa mwaka mmoja?Tatizo wazazi wengi wanawaona watoto ni wadogo hivyo hawawaulizi wanataka kula nini. Ni uji tuuuu na vyakula vya kusonga.
Ongea na mtoto. Mbadilishie vyakula.
Ulianza kumpa chakula akiwa n miez mingapi?jaribu kutokumpa vyakula vya sukar.uji wekea karanga midogo zilizosagwa wek chumvi.Watot weng wanapenda ladha ya chumviNi mtoto wa kiume, ndio anatimiza mwaka mmoja. Hapendi kula, licha ya kumbadilishia chakula mara kwa mara. Mama yake humlazimisha kula angalao vijiko viwili.