Utrasaund bado na clinic bado
Utrasaund bado na clinic bado
wiki ya 20 alaf clinic hajaanza?
Wanajanvi, naomba msaada wa kutaka kujua ni mimba ya miezi mingapi mtoto anaanza kusikika akipiga au akicheza maana MDOGO wangu wiki ya 20 lakini bado hajasikia.
Weka ngoma za Diamond platnum hapo "Mdogomdogo" uone kama hatocheza mkuuu