Livanga
JF-Expert Member
- Apr 15, 2010
- 469
- 148
Za asubuhi?
Jamani mdogo wa rafiki yangu kapotea. Katoweka tokea jana saa nane mchana huku Tabata Chan'gombe
Anaitwa Tulhafa yupo darasa la 5 shule ya African Nursery and Primary School.Ni shombe wa kisomali
Mdogo wake rafiki yetu spread the news please..matukio yamekua mengi.
Anaitwa Tulhafa Yasin mtoto wa Mwanaido Kalaghe au Mama Tulhafa wa Tabata Changombe, ni mrefu mweupe mwembamba ana asili ya kisomali na kiafrika.
Bado haijajulikana alivyotoka nyumbani ila kuna kijana wa hapa nyumbani inasadikija walitoka nae ila kijana akarudi peke yake kama kachanganyikiwa na madawa kaulizwa mtoto yupo wapi hajui!