Head teacher
JF-Expert Member
- Mar 10, 2012
- 1,796
- 411
Nimefuatilia sheria ya makosa ya jinai sijaona ni kifungu kitakacho mtia hatiani mtoto kwa kukojolea Kurani. IWAPO mimi ningekuwa hakimu aliyesimamia kesi hii ningemuachia huru bila masharti yeyote. Kwa sababu mtoto aliruhusiwa na mwenye kitabu akojolee. Sioni kosa