kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,011
- 11,942
<br />lakini , kwani dagaa anaitwaje kwa kiingereza?
<br />
Kauzu
<br />lakini , kwani dagaa anaitwaje kwa kiingereza?
Ya nini??Source plz!
dagaa wanaitwa sardines!
Mkuu thanx. but Hawa ni wa baharini (Hasa bahari ya hindi) halafu umbile lao ni kubwa kidogo.
Je wale wa ziwa Tanganyika na Victoria wanaitwaje kwa kidhungu?
Hahahaha! JF bana, naweza timuliwa ofisini kwa kicheko! lol!Kwani Simba wa Serengeti anaitwa Lion kwa kiingereza yule Manyara anayepanda miti anaitwaje kwa kiingereza?
i just remember nikiwa class 3 miaka hiyooo ndo tunaanza kujifunza na kuruhusiwa kutumia kalam za wino.... na kuanza kujifunza chirengeza. walim akauliza nani anaweza kuniambia maana ya razor blade.... uuuuuwi sitaisahau ile siku mweee. watu haraka haraka vitoto tukafikiria na kuambizana.. ni rozari ( aka tasbihi) kiongozi wa kujibu akanyoosha mkono, ticha ticha mii mii hia. Eh mwalim akamwona. akajibu kwa sauti kuu ... iz tasbihi. tukajiandaa kumpigia mwenzetu makofi ya pongezi. wee mwl akatahamaki. akaendelea kuuliza mmoja mmoja. woooote tulishaambizana tukajibu ze sem weee. tukapewa muda tukaulize madarasa ya juu wakati wa breki... loooh hakuna aliejua. basi tukalambwa mojamoja then akatuonesha kiwembe.
<br />small fish! .. hehehe<br />
<br />
<a href="http://www.kamusi.org/en/lookup/sw?Word=dagaa" target="_blank">http://www.kamusi.org/en/lookup/sw?Word=dagaa</a><br />
<br />
<br />
dagaa mchele je..?
<br />small fish! .. hehehe<br />
<br />
<a href="http://www.kamusi.org/en/lookup/sw?Word=dagaa" target="_blank">http://www.kamusi.org/en/lookup/sw?Word=dagaa</a><br />
<br />
<br />
dagaa mchele je..?
hata mie ndio nimejua leo jina la dagaa. Nilijua ni 'small fish'.. Kweli hii lugha ya Kiingereza ni janga la Taifa, linafuatia baada ya Ukimwi..
Hapana mkuu, ila nimewahi kufundisha sana sunday school kanisani, watoto wana maswali hadi unaweza kuchanganyikiwa, kuna siku waliniuliza "mwalim, hapo zamani kulikuwa na utupu wakati Mungu anaumba dunia, ina maana kulikuwa hakuna kitu chochote duniani, sasa huyu Mungu wakati anaumba hiyo dunia alikaa wapi?
Labda mwalimu alikuwa amekula ugali na dagaa then akahisi kama mwanafunzi anamkejeli.
Siyo sardines ni sadins au salmons