Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,870
- 155,831
Mwanafunzi wa shule ya msingi Kakuyu amefukuzwa shule kwa kumuuliza mwalimu wake wa Kiingereza ambaye pia ni mwalimu mkuu wa shule hiyo kuwa dagaa kwa Kiingereza anaitwaje?
Mwalimu huyo aliposhindwa kujibu swali hilo alihamaki, akamcharaza mtoto huyo bakora sehemu mbalimbali za mwili wake na kumsababishia maumivu makali mwilini mwake na akahitimisha kwa kumwandikia barua ya kumfukuza shule kwa madai ya utovu wa nidhamu na kutumiwa kama kibaraka wa maadui wa mwalimu huyo.
My Take:
jamani elimu yetu Tanzania ni wapi inakoelekea?
Je tuna walimu ama tuna maamuma?
Mwalimu huyo aliposhindwa kujibu swali hilo alihamaki, akamcharaza mtoto huyo bakora sehemu mbalimbali za mwili wake na kumsababishia maumivu makali mwilini mwake na akahitimisha kwa kumwandikia barua ya kumfukuza shule kwa madai ya utovu wa nidhamu na kutumiwa kama kibaraka wa maadui wa mwalimu huyo.
My Take:
jamani elimu yetu Tanzania ni wapi inakoelekea?
Je tuna walimu ama tuna maamuma?