Hivi huyo mtoto hakupaswa kuwa shuleni wakati huo?
kulikuwa na ulazima wa yeye kuwepo msibani?
ningekuwa mzazi ningeanza na bakora kwa mtoto
nani alimtuma kwenda?
Raha tunapata wote iweje mie nilipie gharama?ulitaka ule bure?
Nawasikia SI.
watoto hawakwenda shule
umesahau ni msiba wa shemeji ule
walimsindikiza mwalimu wao
uoga na uelewa mdogo unasababisha watoto wa kike kudhalilishwa sana.mimi niliponea kubakwa mara 3 mara mbili na mtu mmoja na sikuwai kumwambia mtu hadi keshounadhani atasema kwao??
Wala hawezi sema, ni aibu sana.
Smile, mimi ni mwanaume lakini hiyo kwangu ni mpya, yaani jamaa alichomoa kiungo chake cha siri na kumwaga! ili iweje? Sipati picha hata kama ni ukame, ukame gani huo.
uoga na uelewa mdogo unasababisha watoto wa kike kudhalilishwa sana.mimi niliponea kubakwa mara 3 mara mbili na mtu mmoja na sikuwai kumwambia mtu hadi kesho
but huyo bazazi nilipokuwa mkubwa mwaka juzi nilimface nikamwambia unakumbuka zamani ulitaka kunidfanya nini wewe mbuzi ananiogopa kweli kweli huyo mzee
Ngumu gundua wkt mzigo unamwagiwa kwenye nguo baadae ukipoa utagundua kitu cha baridi kimepenya mwilini ukishika unakutana na mtelezo mithiri ya mlenda wkt huo njemba imeshuka kituo kilicho pitamtu akininajisi haki naondoka na huyo mdudu wake
Kuepuka janga hili wazazi watengeeni bajeti ya chipsi kuku na sodaKusema ukweli inasikitisha. Hasa na hili wimbi la wababa kupenda watoto wadogo, mbona wenetu wako mashakani jamani?? Na huo uwoga wanaouzingumzia Dada Kongosho na Da Smile ndo kabisaaa, tutajashtukia tunauguza maradhi na kulea wajukuu tusiowatarajia. Eh Mola tunusuru.
msichana utaingiaje katikati ya wanaume? Si katulie nyumbani kasome .. Hii ni kazi ya dunga dunga
ndio maana sipendi msongamano na wanamme, alinikosa kosa mmoja.
Na daladala kama imejaa sipandi, vinginevyo nikachuchumae kwenye gia ya dereva.
SI si alikwenda naye kuaga mwili wa Kamanda wake jamani? Au hana haki?
Ila tukumbuke kuwa si kila mtu huwa na nia iliyo njema kila wakati, humo humo kwenye mkusanyiko kuna walokwenda kwa nia ya kuiba ingawa sidhani kama huyo alotenda kitendo hicho alikwenda kwa nia ya kutenda hivyo au ni kawaida siku hizi??
Hivi huyo mtoto hakupaswa kuwa shuleni wakati huo?
kulikuwa na ulazima wa yeye kuwepo msibani?
ningekuwa mzazi ningeanza na bakora kwa mtoto
nani alimtuma kwenda?
Mie sishangai mimi ilinitokea kwenye daladala nikitoka Mwenge kwenda Posta miaka ya 19s tukampeleka Oyesterbay jamaa mpaka nilishanga tena sikuwa nimesimama tumekaa na yeye kwenye siti moja nikasikia kitu cha moto kinanimwagikia kha???