Yawezekana maisha ya watu wangapi yanateketea kwa mgomo wao. Wenye mawazo mafupi hutukana humu. Sasa yeye anatibiwa na nani au mgomo kwao na familia zao hauhusiki?
hiyo ndio democrasia uliyofundishwa na slaa??!Mtazamo wako umetoka kwenye tundu lako la nyuma! Pambaff gamba weee!
nani alikutuma kuwa doctor,si bora uwe mwanasiasa kama kina c.lissu upate ofa bure za pombe!acha ungese ww....nisome kwa shida...nilipwe kidogo...nifanye kazi kwa shida....na ujue kabisa madaktari ni tofauti na walimu...kuanzia qualifications zinazotakiwa ili kujiunga na masomo hayo.....waliofeli hupelekwa kuwa walimu.....
Mtazamo wako umetoka kwenye tundu lako la nyuma! Pambaff gamba weee!
Nadhani somo amelipataYawezekana maisha ya watu wangapi yanateketea kwa mgomo wao. Wenye mawazo mafupi hutukana humu. Sasa yeye anatibiwa na nani au mgomo kwao na familia zao hauhusiki?
Wana JF
Tuwe tunajaribu kufikiri zaid ya maono yetu kwan macho siku zote upoteza uwezo wa kufikiri zaidi,kwa mtazamo wangu napata picha ya watu wenye kuuguliwa sana na ndugu zao wameamua kumpa somo Dr. Ulimboka kuwa kuongoza kwake mgomo kunawapa watu maumivu na vifo, hivyo basi nae aonje joto la jiwe ile asiongoze mgomo tena dhidi ya uhai wa binadamu kwa maslai yake..
NAWASILISHA WANA JF,NI MTAZAMO TU.
Mtazamo wako umetoka kwenye tundu lako la nyuma! Pambaff gamba weee!
Umefika kwenye shule zetu? Kuna walimu wanajisaidia porini, wanafunzi wanakaa chini. Nenda ofisi za ardhi, wafanyakazi hawana vitendea kazi hata ofisi hawana. Nenda viwanja vya ndege, matatizo tele. sasa kwa nini madaktari tu ndio wagome? Na unapogomea kudai kuboreshwa mazingira unataka kutuambia serikali inaweza kuboresha mazingira hayo over night?
naona yalio tokea libya , na syria sasa yanakuja tanzania ..utabiti wa mrema....
huko libya wakundi ya kutumika walikua wakiua watu then akisingiziwa ghadafi na serikali yake..hatimae tunajua kilichofata...
na huko syria wauaji walio funzwa vyema wanauwa vichanga , watoto na wanawake then wanasingiziwa majeshi ya serikali...propaganda zinapigwa dunia nzima kwamba serikali ya Bashar assad inaua...mbona huko nyuma hajamuua hata sisismizi ?
mbinu hizi zilitumika sehemu nyingi ..lengo kuifanya jamii waichukie serikali yao....
naomba serikali ichuke tahadhari kubwa na kufanya uchunguzi wa kina na pia ushauri wa mrema na kauli yake kwamba aliwahi kuitwa na ubalozi mmoja ili kufanya mambo kama haya lakini mrema alikua shujaa na mzalendo halisi akakataa.
hakuna mantiki kwa serikali au pinda au kikwete kuwa wanahusika...serikali sana sana ingewafukuza hawa madaktari na kuwapiga marufuku kufanya shughuli yoyote ndani ya nchi.basi ingetosha kuwa ni adabu ya kwao kugoma kwa sababu za kisiasa.
tujihadhari...
MIMI NASHANGAA SANA WATU WANAPOTEZA MUDA WAO KUTAKA KUMUUA MTU AMBAYE NYUMA YAKE WAKO WATU KAMA MILIONI KADHAA KAMA YEYE.JE WANATAKA KUWATISHA WATANZANIA TUSIDAI HAKI ZETU?FINE.NINACHOTAKA KUWAAMBIA HAO WAHUSIKA WAKIWEZA KUNYAMAZISHA WATU 'HATA MAWE YATAONGEA.ee MWENYEZI MUNGU MPE NGUVU ULIMBOKA SHETANI APATE AIBU
Nimefurahi sana kupigwa kwako,migomo ya kipuuzi Kabisa,Watu wangapi wameteketea?halafu wao wanatibiana. kwahiyo walimu nao wagome? maengineer nao wagome?wafagizi nao wagome? Upuuzi mtupu.operation chakaza wachakazeni hao madaktari wapuuzi tena ninahasira nao kweliMIMI NASHANGAA SANA WATU WANAPOTEZA MUDA WAO KUTAKA KUMUUA MTU AMBAYE NYUMA YAKE WAKO WATU KAMA MILIONI KADHAA KAMA YEYE.JE WANATAKA KUWATISHA WATANZANIA TUSIDAI HAKI ZETU?FINE.NINACHOTAKA KUWAAMBIA HAO WAHUSIKA WAKIWEZA KUNYAMAZISHA WATU 'HATA MAWE YATAONGEA.ee MWENYEZI MUNGU MPE NGUVU ULIMBOKA SHETANI APATE AIBU