Mtizamo: Let love lead the way

<br />
<br />
penzi unapolilinda sana ni kama unalilazimisha.
Labda utuambie penzi linalindwa vipi kwa mtazamo wako? Vipi kama mapenzi kwa mwenzi wako kama yashaisha jitihada utakazofanya kurudisha (nafikiri ndio kulinda kwenyewe ulikomaanisha) huoni kama utakuwa unafanya kazi ya kulilazimisha?
Inawezekana hatujaelewa wote, huyu babu teamo atufafanulie vizuri.

Sawa nimekuelewa kulilinda sana ndio tofauti yenyewe ila dada jua penzi lina lindwa. Nimejaribu kumweleza Babu hapo just kuwa mwaminifu, jithamini, jiheshimu, palilia kuwa mke mwema kiasi kwamba kama mumeo atakuacha na kuhamisha penzi kabisa basi jua kuwa ni taa au karogwa. But mwanaume mwenye akili zake timamu, mwenye kuheshimu mamlaka ya MUNGU katu hawezihamisha penzi lake toka kwako. Na hiyo ndio maana halisi ya kulinda penzi lako si ulinde kwa mawivu na ukaguzi usio na msingi!
 
Teamo Ti,
Hebu waelezee unaposema "lets love lead the way" maana may be watu wanatafsiri tofaut hapa.
 
Babu kama niliamini mwanzo kuwa ulinipenda na ukanioa kwa kuwa ulinipenda, mi jukumu langu kuhakikisha kuwa hujutii kunioa right?? nijitahidi niwe mwaminifu kwako, nisikuvunjie heshima kama mume wangu, nikupende, nikutii pale inavyoistahili yaani niwe mke mwema.....kiasi kwamba ukiamua kuua penzi lako kwangu itakuwa ni kwa tamaa zako tu na si kuwa eti nimeshindwa kulilinda penzi langu kwako!!

Na ndio maana ninasema utakuwa umejitahidi ingawaje haiguarantee kulilinda 100 percent! Na tunaposema kulilinda hatumaanishi kuzuia msichepuke NO coz hiyo ni nature yenu. Kulilinda ni kwa maana ya kuwa wewe ni mume wangu wa ndoa ninayeamini tutazikana, utachepuka but utarudi kunizika nikuzike!......... utarudi kwenye territory yako.
Kumbe tulikuwa hatujaelewana.... hapo kwenye bold huko ni kuhangaika au ndo wajibu wako katika mapenzi???....... Kuna tofauti kubwa sana wa wajibu wako katika penzi na kulihangaikia penzi.... kuwa mwaminifu kwangu si kuhangaika MJ1, kama ilivyo kutonivunjia heshima, kunitii na kunijali.........

Sasa kama vyote hivyo unanifanyia kama wajibu wa kimapenzi na mimi sielewi somo, ndio mahangaiko hayo tumnayoyasema sasa... utaanza kwenda kuomba ushauri, utakuwa unalazimisha mambo hata kwa kujitesa, wengine kukimbilia mpaka kwa waganga......... Hoja hapa ndiyo hii kwamba huwezi hangaikia penzi pasipo na penzi na ukafanikiwa. Mapenzi yana mkondo wake na hayana formula.
 
Nyie watu, ngoja nikale ugali afu nirudi hapa.......

Mpaka kieleweke leo.
 
Hivi mlishawahijiuliza mkeo anapokwenda kufanya shopping wakati anachagua nguo/kiastu/syle ya nywele/ perfume n.k huwa anawaza nini? Je ananunua ili akamkoge jirani, au? Anapoamua kukupikia chakula kizuri na kuhakikisha kuwa unakipenda huwa anafanya hayo kwa ajili ya nini? wajibu??!!
 
ndugu yangu ashadii........!

hiyo bolded tungeiacha tu manaake uzoefu wangu kwenye ndoa ni mdogo sana
kwenye hiyo blue naona tutatofautiana zana kwa kuwa tu mimi nina mtizamo tofauti sana tu....!yani unampenda mtu...anakuoa again humpendi tena...even worse ni kwamba you fall for another man...no no!ni udhaifu tu wa kibinadamu wa kushindwa kuyakabili mawimbi ya maisha (ukiwa ndani ya ndoa)


Teamo I am sorry to say kua hapo penye bolded uliposema tuache sababau huna uzoefu kwenye ndoa... ndio haswa ambapo pamenifanya nijibu hipo post hivo... for kama una uzoefu ni rahisi saana ikakupa picha ya hilo jibu in blue....

Naomba usichanganye yale ambayo naamini na yale nilozungumza katika hio post... katika jamii hatuishi in isolation.... for haya mambo tunaona... In most cases ile hali ya kusema unaishi na Mpenzi wako ambae ni mume ama mke jinsi mnavoishi ndani ya nyumba na ndoa hio ni mzungukuko na matter mnapendana vipi... kuna wale walojaliwa kupendana moja kwa moja bila matatizo yoyote.... Kuna wale ambao wana pita mno ups and downs... Ndoa inaenda vizuri alafu inafika mda ndoa inafaka katika "rut stage" Stage ambayo wanandoa wako soo indifferent to each other to the extent ni rahisi kuvutiwa na mtu wa nje... (ukirejea katika post yangu utakuta nimekwambia unatkuta saa ingine ni tamaa but mtu anachanganya na kushindw tofautisha akadhani ni Mapenzi.....) Hopefully umenipata....
 
Kumbe tulikuwa hatujaelewana.... hapo kwenye bold huko ni kuhangaika au ndo wajibu katika mapenzi....... Kuna tofauti kubwa sana wa wajibu wako katika penzi na kulihangaikia penzi.... kuwa mwaminifu kwangu si kuhangaika MJ1, kama ilivyo kutonivunjia heshima, kunitii na kunijali.........

Sasa kama vyote hivyo unanifanyia kama wajibu wa kimapenzi na mimi sielewi somo, ndio mahangaiko hayo tumnayoyasema sasa... utaanza kwenda kuomba ushauri, utakuwa unalazimisha mambo hata kwa kujitesa, wengine kukimbilia mpaka kwa waganga......... Hoja hapa ndiyo hii kwamba huwezi hangaikia penzi pasipo na penzi na ukafanikiwa. Mapenzi yana mkondo wake na hayana formula.

ODM Valuer ya jana ilichakachuliwa nini?
Leo naona unawapa wajukuu vitu adimu!
Baeleze baelewe bana hakuna ku force love utakua unajiumiza tu tu!
Mi kwangu huna nasema "Bora yaeeiiisheee"
 
Sawa nimekuelewa kulilinda sana ndio tofauti yenyewe ila dada jua penzi lina lindwa. Nimejaribu kumweleza Babu hapo just kuwa mwaminifu, jithamini, jiheshimu, palilia kuwa mke mwema kiasi kwamba kama mumeo atakuacha na kuhamisha penzi kabisa basi jua kuwa ni taa au karogwa. But mwanaume mwenye akili zake timamu, mwenye kuheshimu mamlaka ya MUNGU katu hawezihamisha penzi lake toka kwako. Na hiyo ndio maana halisi ya kulinda penzi lako si ulinde kwa mawivu na ukaguzi usio na msingi!

cista.....!

hiyo mambo bolded hapo juu haina shida kabisa yani.....!kikubwa tu isiwe katika atmosphere ya kupretend (vinaweza kuleta shida baadaye mwanamke akiizoea ndoa)

kuna mambo mengine jamani hatuwezi sema ni kulinda penzi..kwa mfano:
1-kuzama kwenye inbox ya simu yangu
2-kuacha nguo zako au vipodoz kwenye gari
3-kuja kuja ofisini ninakofanyia kazi mara kwa mara hadi inakuwa kero kwa masekretare
4-viupuuzi vya kutojiamini amini vyote hivyo

wanawake wa karne hii hawatishwi kabisa na hayo mambo ya kitoto....!naweza kuwa natembea na sekretare,halaf wife akawa anakuja pale kila baada ya dakika tano na asihisi chochote kwa maisha yake yote....!

guys....

tujaribu kuishi maisha halisi....!I LOVE MY WIFE....I LOVE HER....done and over!she loves me or not ni jukumu lake!ataamua yeye!kumchunguza sana bata utashindwa kumla
 
Kumbe tulikuwa hatujaelewana.... hapo kwenye bold huko ni kuhangaika au ndo wajibu wako katika mapenzi???....... Kuna tofauti kubwa sana wa wajibu wako katika penzi na kulihangaikia penzi.... kuwa mwaminifu kwangu si kuhangaika MJ1, kama ilivyo kutonivunjia heshima, kunitii na kunijali.........

Sasa kama vyote hivyo unanifanyia kama wajibu wa kimapenzi na mimi sielewi somo, ndio mahangaiko hayo tumnayoyasema sasa... utaanza kwenda kuomba ushauri, utakuwa unalazimisha mambo hata kwa kujitesa, wengine kukimbilia mpaka kwa waganga......... Hoja hapa ndiyo hii kwamba huwezi hangaikia penzi pasipo na penzi na ukafanikiwa. Mapenzi yana mkondo wake na hayana formula.

Hapo sasa umenisaidia kuondoa mgando kwenye akili yangu. Aksante. So kuna wajibu wa mapenzi na kuhangaika.
Hapo kwenye wajibu wa mapenzi, unawajibika ili iweje? kulinda ndoa?? ukilinda ndoa kwa kutimiza wajibu wako kwenye mapenzi unaexpect mwenzio afanyeje?? Je inawezekana kutimiza wajibu wao kimapenzi kupelekee mwenzio kukupenda zaidi? Na unapokuwa unapendwa zaidi si kwamba umefanikiwa kulilinda penzi lako au kukupenda pia ni wajibu wa mapenzi?? eh
 
Ukisema let love lead the way nadhani watu walio kwenye ndoa msemo huu utawapeleka pabaya kwani naamini kuoa/kuolewa hakumfanyi mtu asipende/asipendwe.
Nachoamini ni kwa walio kwenye ndoa wanatakiwa kushinda majaribu ili kuokoa ndoa yao...maana naamini kukaa na mtu ni kujiingiza kwenye vita isiyoisha hadi mmoja wenu atangulie mbele ya haki....

 
Teamo I am sorry to say kua hapo penye bolded uliposema tuache sababau huna uzoefu kwenye ndoa... ndio haswa ambapo pamenifanya nijibu hipo post hivo... for kama una uzoefu ni rahisi saana ikakupa picha ya hilo jibu in blue....

Naomba usichanganye yale ambayo naamini na yale nilozungumza katika hio post... katika jamii hatuishi in isolation.... for haya mambo tunaona... In most cases ile hali ya kusema unaishi na Mpenzi wako ambae ni mume ama mke jinsi mnavoishi ndani ya nyumba na ndoa hio ni mzungukuko na matter mnapendana vipi... kuna wale walojaliwa kupendana moja kwa moja bila matatizo yoyote.... Kuna wale ambao wana pita mno ups and downs... Ndoa inaenda vizuri alafu inafika mda ndoa inafaka katika "rut stage" Stage ambayo wanandoa wako soo indifferent to each other to the extent ni rahisi kuvutiwa na mtu wa nje... (ukirejea katika post yangu utakuta nimekwambia unatkuta saa ingine ni tamaa but mtu anachanganya na kushindw tofautisha akadhani ni Mapenzi.....) Hopefully umenipata....

nimekuelewa vizuri sana...........!

hasa hapo kwenye bold hapo.

na ninavyowafahamu mimi wanawake wengi.....akifikia hiyo stage ya kuanza kupenda nje ya ndoa...aisee anakuwa amevumilia mambo mengi mno!
 
Hivi mlishawahijiuliza mkeo anapokwenda kufanya shopping wakati anachagua nguo/kiastu/syle ya nywele/ perfume n.k huwa anawaza nini? Je ananunua ili akamkoge jirani, au? Anapoamua kukupikia chakula kizuri na kuhakikisha kuwa unakipenda huwa anafanya hayo kwa ajili ya nini? wajibu??!!
Yep! Huo ni wajibu wake mama. Sasa asipofanya yeye, atafanya nani?......Isitoshe hata akapika chakula kisiwe kitamu, penzi bado liko palepale for sikumwoa ili nile chakula kizuri, hotelini si vimejaa?..... Na hivyo viwalo anavyoenda kununua, anavinunua peke yake? si wananunua na kuvaa wengi tu? Mbona sikuwachagua wao?......... Penzi liko moyoni........ hujawahi kuona wanaume wanatukanwa na wake zao na bado hawawaachi? Kuna wanawake wangapi wanapika kama wapishi wa magerezani na bado ndoa zinasonga mbele?
 
Hivi mlishawahijiuliza mkeo anapokwenda kufanya shopping wakati anachagua nguo/kiastu/syle ya nywele/ perfume n.k huwa anawaza nini? Je ananunua ili akamkoge jirani, au? Anapoamua kukupikia chakula kizuri na kuhakikisha kuwa unakipenda huwa anafanya hayo kwa ajili ya nini? wajibu??!!
MJ1 nadhani bado hujaelewa pale tunaposema lets love lead the way, kama wewe moyo wako unakutuma kumnunulia mpenzi au kumfanyia kitu kizuri kwa kua unampenda thats the way it supposed to be, ila tunachosema hapa usifanye kitu kwa kua unataka mpenzi wako abadilike vile upendavyo wewe, na asipofanya basi wewe unaumuia roho. Kama wewe ukininunulia Nguo mie niakupeleka beach hayo ndio mapenzi, sio ukinunua na mimi ninunue, ukipeleka cinema na mimi nikupeleke. We fanya kile kitu roho yako inapenda na unapoona mpenzi wako hapendi kile ukifanyacho usilazimishe. hakuna formula hapa
 
Shem, am worried ujue........


Shem DON'T be worried for I am still in Love with your hommie.... only that i have to look at both sides of the coin... I am married thus means I am in most cases surrounded by married people&#8230; and I have seen with my naked eye kua kuna watu who are in Love but not with their spouses&#8230; for the simple reason I have explained to Teamo in post # 47&#8230; Thus what you should take note is that me saying this does not necessarily mean I am talking on my behalf&#8230; but looking at it realistically&#8230; Ndo maana I had to ask Teamo for naona kua if whenever one loves a follow their hearts&#8230; inakua problem kama yuko tayari committed&#8230;. Dah! hopefully nimeeleweka....
 


''KIONJO KIMOJA TU CHA ZIADA KUTAKA KULILINDA PENZI/KULINDA NDOA-
kitakuumbua''

ahsanteni sana wakuu
!

Mkuu kila kitu kinachofanyika sababu ya upendo ni kizuri na bila shaka kitaleta maendeleo…. Sasa basi ni vema kufanya kila kitu kulinda pendo/ndoa sababu bila upendo mtakapokuwa manaelekea siko kabisa…

Hivyo basi fanya kila uwezalo kulinda pendo/ndoa sababu hii ndio foundation na mengine yatakuwa mazuri tu..

Na jinsi ya kulinda pendo/ndoa ni kufanya yale yampendezayo mwenza wako na kufanya sacrifice za hapa na pale…, yaani ubaki kuwa yule mwenza wako aliyempenda na sio kubadilika na kuwa kituko….

“Love is the Act of endless Forgiveness” na kwa kusamehe na kuvumilia ndio tunalinda pendo ambalo litatulinda
 
MJ1 nadhani bado hujaelewa pale tunaposema lets love lead the way, kama wewe moyo wako unakutuma kumnunulia mpenzi au kumfanyia kitu kizuri kwa kua unampenda thats the way it supposed to be, ila tunachosema hapa usifanye kitu kwa kua unataka mpenzi wako abadilike vile upendavyo wewe, na asipofanya basi wewe unaumuia roho. Kama wewe ukininunulia Nguo mie niakupeleka beach hayo ndio mapenzi, sio ukinunua na mimi ninunue, ukipeleka cinema na mimi nikupeleke. We fanya kile kitu roho yako inapenda na unapoona mpenzi wako hapendi kile ukifanyacho usilazimishe. hakuna formula hapa
Thats my homeboy! Bingo!
 
MJ1 nadhani bado hujaelewa pale tunaposema lets love lead the way, kama wewe moyo wako unakutuma kumnunulia mpenzi au kumfanyia kitu kizuri kwa kua unampenda thats the way it supposed to be, ila tunachosema hapa usifanye kitu kwa kua unataka mpenzi wako abadilike vile upendavyo wewe, na asipofanya basi wewe unaumuia roho. Kama wewe ukininunulia Nguo mie niakupeleka beach hayo ndio mapenzi, sio ukinunua na mimi ninunue, ukipeleka cinema na mimi nikupeleke. We fanya kile kitu roho yako inapenda na unapoona mpenzi wako hapendi kile ukifanyacho usilazimishe. hakuna formula hapa

Ahaaa kwa maelezo haya nimeelewa sasa mwee!! akili za mbayuwayu hizi. Aksante Babu Kimey. KWa hiyo tuache love iongoze njia! na pale mtu akiongozwa kupenda mwingine nje ya ndoa basi mimi nikae tu chini na kushukluru MUNGU kuwa hii ndo njia ya love. Au mnataka tuamini kuwa once umeolewa/oa hutopenda sehemu nyingine tena ingawa utakuwa unatamani tu eh?
 
nimekuelewa vizuri sana...........!

hasa hapo kwenye bold hapo.

na ninavyowafahamu mimi wanawake wengi.....akifikia hiyo stage ya kuanza kupenda nje ya ndoa...aisee anakuwa amevumilia mambo mengi mno!


Mwanamke anaweza apende nje ya ndoa usimpoteze.... Ni bora mumeo a cheat
(sipendi ndio but ndo ukweli) kuliko apende nje ya ndoa - For akipenda ile kweli
acha ya hii tamaa inayomtoa nje... then ujue kua he is lost forever.... kumrudisha
it is almost impossible....
 
Mkuu kila kitu kinachofanyika sababu ya upendo ni kizuri na bila shaka kitaleta maendeleo&#8230;. Sasa basi ni vema kufanya kila kitu kulinda pendo/ndoa sababu bila upendo mtakapokuwa manaelekea siko kabisa&#8230;

Hivyo basi fanya kila uwezalo kulinda pendo/ndoa sababu hii ndio foundation na mengine yatakuwa mazuri tu..

Na jinsi ya kulinda pendo/ndoa ni kufanya yale yampendezayo mwenza wako na kufanya sacrifice za hapa na pale&#8230;, yaani ubaki kuwa yule mwenza wako aliyempenda na sio kubadilika na kuwa kituko&#8230;.

"Love is the Act of endless Forgiveness" na kwa kusamehe na kuvumilia ndio tunalinda pendo ambalo litatulinda

Hatimaye, aksante VoR.
 
Back
Top Bottom