jcb
JF-Expert Member
- Jul 6, 2010
- 280
- 66
Katiba hiyo hiyo katika kipengele kimoja kinachohusu tume ya uchaguzi na ambacho kiko nyuma ya pazia kinatamka kuwa;
kifungu kidogo na. 1:
Kutakuwa na tume ya uchaguzi itakayo teuliwa na raisi na kuhakikisha kuwa mgombea wa uraisi wa chama tawala anashinda katika kila uchaguzi ambao Tume itasimamia.
Kifungu kidogo na. 2:
Kukiwa na jambo lolote ambalo tume itahitaji ufafanuzi basi tume itarejea kifungu kidogo na. 1 hapo juu!
Mh! Thanx for information!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!