jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,989
- 22,521
Mkuu tuachane na hayo ya unabii kwasababu tafsiri zake ni tofauti kutegemea na dini.So mtapishana tu na mjadala utaharabikia.Ushauri tu.Mfano wake huwezi kufananisha na UNABII unless wewe unachukulia UNABII ni kitu kidogo sana..Sasa unataka kunambia yeye anapewa wahi na Mwenyezi Mungu au anapokea kutoka wapi kama sii maslahi yake mwenyewe. Na wala haitaji kuandikiwa barua, mchungaji angesimama kuonyesha mfano bora zaidi kabla hata ya wewe kufikiria.
Mfano wako ungekuwa sawa na uzito wa hoja zake maana hawakilishi watu bali yeye mwenyewe, mtu isha kula hela za Rostam unabii ataupata vipi. Kila kesi anayoshinda inamweka yeye mahala na sio wananchi. Demokrasia inapiganiwa pale hakuna Demokrasia lakini kachumbari ya demokrasia kwa manufaa yake yeye huwezi kuita ni demokrasia. Nimesema Mgombea Binafsi anayekubaliana na itikadi za CCM lakini hapatani na watu wengi CCM huyu hana deal ni Mbinafsi tu kama Shibuda..