Hivi ukichaa ni mtu kusema yeye kichaa au ni wataalamu kuthibisha mtu ni kichaa baada ya matendo yake?
Mtikila alikuwa unatafuta atoke vipi..........
Mimi paulss ni kichaa............Is this enough for me being crazy?................ I dont think so broda.Matamshi yake na kukiri mwenyewe ni ushahidi tosha,nini zaidi?
Matamshi yake na kukiri mwenyewe ni ushahidi tosha,nini zaidi?