Mtikila: Kagame amepenyeza Wanyarwanda 35,000 Tanzania, Burigi, katika Wilaya ya Muleba

Mtikila ni mwanasiasa na mwanaharakati wa kweli, tatizo yupo ofisi mbovu tu (chama chake)

Tukipata watu watatu tu walio kama Mtikila bila shaka tutashinda!

Nadhani aendelee hapo, si mtu wa kuweka karibu sana . Anajua mengi lakini ana matatizo yake mengi, kwa hili la wanyarwanda mie sipingi kwani viongozi wa mikoa ya kagera na kigoma wanaishi kwa sababu ya watu hawa hata Nchimbi anajua lakini anang'ang'ania CHADEMA
 
mh! Yaani kama ukweli vile. Nimesoma juzi ripoti ya yule mwandishi mtz aliyekwenda kumhoji kamanda wa m23 nikilinganisha na haya ninayosoma hapa ni ukweli mtupu. Lazima tuanzishe vuguvugu kujua undani na hatimaye kuondokana na hawa wanyarwanda huko kagera na kwingineko
 
Mi nilishaona tulikofikia ni pabaya. Huko mkoani kagera hali ni mbaya kutokana na wafugaji wa kinyarwanda kuvamia mapori na mashamba ya wananchi na kuua watanzania ila serikali iko kimya. Mf ni mgogoro uliotokea kati ya mtangazaji wa itv na aliyekuwa mkuu wa wilaya ya ngara, kisa ni kufichua madhambi haya yanayofanywa na wanyarwanda.

Jamani nchi yetu ilishamegwa na wahusika wakuu ni viongozi wala rushwa wanaolinda wanyarwanda. Ukienda huko wilaya za ngara na karagwe utashangaa makundi ya ng'ombe utakayoona. Inasadikika yote ni ya viongozi wa juu wa rwanda. Jk kwa muundo huu nchi inaelekea kuchukuliwa yote, sisi tumlaumu nani wakati wewe ndo unajukumu la kulinda nchi?
 
Bwana mkubwa tatizo ni nini? msomali au mtutsi? Mmalawi au mjaluo? Si bora hao watutsi tunaopakana nao kuliko wasomali, Je hujui kuwa mwanajeshi Nyirenda aliyepandisha bendera mlima kilimanjaro alikuwa mmalawi? Angalia ramani ya Tanzania, tunapakana na nchi lukuki na raia wa mipakani hata kabla mzungu hajachora hiyo mipaka walikuwa wana move kutoka sehemu moja hadi ingine. Chokochoko dhidi ya watutsi inatokana na dhana potofu inayohubiriwa na watu wa dini fulani kuwa watutsi wana asili ya kiyahudi, na hiyo dini haina mapenzi mema na wayahudi. Vinginevyo, wazee wa Kilosa walitamka hadharani kuwa Mkulo ni mmalawi lakini mkuu wa kaya aliendelea kumpa uwaziri wa fedha hadi kazi ilipomshinda, Wazalendo kama wewe mlikuwa wapi? Mkuu wa ccm ni msomali tena mwindaji wa tembo, mbona uko kimya?? biashara kubwa na raslimali zote za nchi yako haziko mikononi mwa raia, wewe unakasirikia wafugaji wa kinywaranda? hayo ndo mambo ya msingi ambayo unabidi ujiulize mara mbili mbili kuliko hao maskini watutsi ulio nao sua.
Ki historia wanyarwanda na warundi ni wafugaji na wafuagaji wanahama hama kutafuta malisho, wafugaji si wamefika na kufanya vita rufiji na maeneo mbali mbali ya morogoro?? Je huko nako ni wanyarwanda wamechukua ardhi ya tanganyika?Nakumbuka maisha yangu ya utotoni kwenye 1970's huku kwetu maeneo ya Musoma, hawa jamaa walikuwa wanakuja vijijini kuomba kazi ya kuchunga ng'ombe, walikuwa wanaitwa "abha kanga" kwa kilugha chetu, mshahara wao ulikuwa ni maziwa, akishakamua anajipimia kiasi cha maziwa anachotaka. Watu wa maeneo ya ukanda huu hawa ni ndugu zetu, hata lugha tunazoongea zina maneno mengi yanayofanana, majina ya watu, maeneo na vitongoji vinafanana kwa kiasi fulani, tumekuwa nao pamoja kabla ya kuwajua wazaramo au wandengeleko, Huko nyumba ukanda huu watu wahakuwa wapenzi wa RTD, walikuwa wana tune radio rwanda kigali, kupata miziki ya uhakika, sikinde sijui ngoma ya ukae yalikuwa ya huko daslam
a
Huwezi kuchagua dhambi ya kufanya mwisho a siku , unapelekwa jehanamu ya moto!!!
Tatizo lililopo hapa Watusi wameingia halafu wanapora mali za wazawa , wanaendesha biashara ya silaha, wanatesa watu, wamechukua ajira za Wataz, sasa hapa kuna tatizo , angalizo kwa serikali : Mzazi asiyewajali wa nyumbani mwake ni Mbaya!!!

Kule kwa Kagame Rwanda magari yetu yakisababisha ajali kesi ina kula kwako kwa maelezo kuwa gari yako isingekwenda Rwanda ajali isingetokea !!! Sasa unaona Kagame alivyo????

Hapa Wanarwanda wanapora ardhi harafu viongozi wa Serikali wanawanyenyekea :Haya ni matusi makubwa kwa watawala na Kikwete!!!
 
nimesoma riport mpaka pale inaposema wabantu ni mataahira.... najaribu kui digest kwanza hiyo kauli nta malizia kusoma baadae.....
 
Sidhani kama kuna ubaya wa mtutsi kuishi tanzania,kama wamarekani wangekuwa hivyo,africa msingekuwa mnajivunia barack Obama hata wakishika nafasi za juu sawa ila la msingi ni serikali ndio iwajibike kwa wahamiaji holela.
Mimi nimefurahi kuona kwamba hata Wanyarwanda wanachangia Thread hii kujitetea!!!
Lakini muwe wakweli , ni watanzania wangapi wamepora ardhi ya Kagame Rwanda???

Ni Watanzania Wangapi wameshika madaraka Rwanda??
Kwa nini Kgame anafukuza Wahuntu???
 
Bwana mkubwa tatizo ni nini? msomali au mtutsi? Mmalawi au mjaluo? Si bora hao watutsi tunaopakana nao kuliko wasomali, Je hujui kuwa mwanajeshi Nyirenda aliyepandisha bendera mlima kilimanjaro alikuwa mmalawi? Angalia ramani ya Tanzania, tunapakana na nchi lukuki na raia wa mipakani hata kabla mzungu hajachora hiyo mipaka walikuwa wana move kutoka sehemu moja hadi ingine. Chokochoko dhidi ya watutsi inatokana na dhana potofu inayohubiriwa na watu wa dini fulani kuwa watutsi wana asili ya kiyahudi, na hiyo dini haina mapenzi mema na wayahudi. Vinginevyo, wazee wa Kilosa walitamka hadharani kuwa Mkulo ni mmalawi lakini mkuu wa kaya aliendelea kumpa uwaziri wa fedha hadi kazi ilipomshinda, Wazalendo kama wewe mlikuwa wapi? Mkuu wa ccm ni msomali tena mwindaji wa tembo, mbona uko kimya?? biashara kubwa na raslimali zote za nchi yako haziko mikononi mwa raia, wewe unakasirikia wafugaji wa kinywaranda? hayo ndo mambo ya msingi ambayo unabidi ujiulize mara mbili mbili kuliko hao maskini watutsi ulio nao sua.
Ki historia wanyarwanda na warundi ni wafugaji na wafuagaji wanahama hama kutafuta malisho, wafugaji si wamefika na kufanya vita rufiji na maeneo mbali mbali ya morogoro?? Je huko nako ni wanyarwanda wamechukua ardhi ya tanganyika?Nakumbuka maisha yangu ya utotoni kwenye 1970's huku kwetu maeneo ya Musoma, hawa jamaa walikuwa wanakuja vijijini kuomba kazi ya kuchunga ng'ombe, walikuwa wanaitwa "abha kanga" kwa kilugha chetu, mshahara wao ulikuwa ni maziwa, akishakamua anajipimia kiasi cha maziwa anachotaka. Watu wa maeneo ya ukanda huu hawa ni ndugu zetu, hata lugha tunazoongea zina maneno mengi yanayofanana, majina ya watu, maeneo na vitongoji vinafanana kwa kiasi fulani, tumekuwa nao pamoja kabla ya kuwajua wazaramo au wandengeleko, Huko nyumba ukanda huu watu wahakuwa wapenzi wa RTD, walikuwa wana tune radio rwanda kigali, kupata miziki ya uhakika, sikinde sijui ngoma ya ukae yalikuwa ya huko daslam

ASANTE SAANA SANA kwa hii Analysis Mkuu.... mitanzania mingine inapelekwa tuuuu!! umeongea la maana saaaana
 
Nashukuru na ninafurahi ninapokutana na watu wenye akili fupi kama yako.
Nafikiri ungejiuliza kwa nini barack obama alisaini muswada wa kupunguza masharti dhidi ya wageni kwa sababu imeonekana wageni wengi ndio wanacreate jobs USA.
Hahahhahahahhahahaha hahhahahahah
siwezi kukaa kujivunia utanzania na kuwaponda wengine ilhali mimi ni masikini,je hujui kuwa kuna viongozi wako nao wana mali huko nje ya nchi hii?je wewe kama mtanzania nini kinachokuzuia kwenda huko na wewe ukanunue unabaki kunung'unika tu,bora tungekuwa na ushahidi kuwa kuna watz walienda kununua ardhi huko wakapigwa chini hapo inabidi kuangalia zaidi lakini hii ya kulala mika?tutajenga taifa la watu wanaolalamika,mtu anakuja anamchukua mkeo badala ya kureact unalalamika,
STOP MURMURING


Mimi nimefurahi kuona kwamba hata Wanyarwanda wanachangia Thread hii kujitetea!!!
Lakini muwe wakweli , ni watanzania wangapi wamepora ardhi ya Kagame Rwanda???

Ni Watanzania Wangapi wameshika madaraka Rwanda??
Kwa nini Kgame anafukuza Wahuntu???
 
Nashukuru na ninafurahi ninapokutana na watu wenye akili fupi kama yako.
Nafikiri ungejiuliza kwa nini barack obama alisaini muswada wa kupunguza masharti dhidi ya wageni kwa sababu imeonekana wageni wengi ndio wanacreate jobs USA.
Hahahhahahahhahahaha hahhahahahah
siwezi kukaa kujivunia utanzania na kuwaponda wengine ilhali mimi ni masikini,je hujui kuwa kuna viongozi wako nao wana mali huko nje ya nchi hii?je wewe kama mtanzania nini kinachokuzuia kwenda huko na wewe ukanunue unabaki kunung'unika tu,bora tungekuwa na ushahidi kuwa kuna watz walienda kununua ardhi huko wakapigwa chini hapo inabidi kuangalia zaidi lakini hii ya kulala mika?tutajenga taifa la watu wanaolalamika,mtu anakuja anamchukua mkeo badala ya kureact unalalamika,
STOP MURMURING
Unataka kumudanganya nani??
Kagame na ardhi ya Rwanda ,kuna laana mbele za Mungu kwa kuwa damu imemwagika!!!
Hakuna mtu anayeweza kushawishika kwenda huko na hatutaki waje huku !!!
Kama wanakuja basi wafuate Sheria!!!
Wao wenyewe nchi yao imewashinda na kwao hakukaliki!!
Nakwanda Blasts US Over Military Aid Cut

By Edison Akugizibwe 3 hours 16 minutes ago

Paul Kagame
Huu ni Ukatili Wa Kagame Kwa Akina mama!!!
Rais Pau Kagame Kamwaga damu ya watu wasio na hatia!!!

Wanyarwanda ni wanyama wa kutisha hawana hofu ya MUNGU!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Mwamakula nimependa facts zako ulizotoa kwa sababu ni za msingi sio kama wengine wanaoongea kishabiki kisa wameona fulani anaoppose.

naomba kuweka wazi vitu vifuatavyo,vita inapopiganwa iwe africa sanasana ni biashara kwa mataifa makubwa.na chanzo cha vita nyingi huku africa ni mataifa makubwa.coz vurugu zikianza wao ndio wanapata soko la kuuza silaha zao,sio kwa cash bali kwa mkopo,na ambapo kama silaha moja inaghalimu efu 1,nyie mtalipa ef 80 kwa miaka 30,kwa hiyo vurugu zinapotokea wao wapo attention kuangalia what next,jiulize waasi wawe wa africa ama syria etc silaha huwa wanatoa wapi?tutaambiwa uganda na rwanda zinahusika lakini kama hatujajua ukweli halisi ni rahisi kuwatuhumu rwanda na uganda.

Suala la msingi,tusiwe na pupa tukiletewa taarifa za namna hii kwa sababu hatujajua chanzo chake ni kugombanisha ama kujenga coz naona mtoa mada kaleta conclusion ya jeshi liende, je ni kweli tupo tayari kupigana?na tutapigana na nani?kwa nini?isije ikawa watu wachache wanatumika na mataifa makubwa kujaribu kuleta mtafaruku ili wenyewe waingie kirahisi,angalia sadam hussein je alikutwa na nuclear? Angalia gadafi nchi yake ilikuwa na amani na mafuta yao wanayatumia vizuri angalia sa hv toka aondoke ni vurugu tupu na nchi ina deni inadaiwa coz ya vita.

Kote ambako mataifa makubwa walipokuwa wanataka malighafi huwa wanaleta instability.

Jiulize kwa nini kagame alisema anao uwezo wa kuleta amani congo if and only if akipewa support ya pesa je kuna taifa kubwa lolote lililosupport?hakuna na wanamuona kama dikteta na tusipoinuka kama wa east africa tutashuhudia hawa marais wakipinduliwa na waasi kwa msaada wa mataifa makubwa na badala ya kuleta hali ya amani kama mnayoiona sa hv rwanda na uganda wataleta instability.

Tusikubali kutumika kwa manufaa ya watu wachache kwa kujenga chuki.

Kabla ya kukamilisha hatua kwa haya mataifa makubwa huwa wanajaza watu uongo na chui kichwani dhidi ya mtu ambae hawampendi ili wakienda kumtoa kwa nguvu wala msiresist lakini baada ya hapo mtaona consequences. Kama tunataka watuseme vizuri ndio kama tunavyofanya kuwapa malighafi migodi ya dhahabu,almasi,uranium,gesi,mafuta etc ila tukijaribu kuwabana huko tukikomaa nakuambia utasikiasifa mbaya ya tanzania ikitangazwa kila mahali na taarifa kuwa inaongozwa kidikteta.
 
mtikila ni mwanasiasa na mwanaharakati wa kweli, tatizo yupo ofisi mbovu tu (chama chake)

tukipata watu watatu tu walio kama mtikila bila shaka tutashinda!



si tumfuate kwenye ofisi yake ili tumsaidie kuiimalisha,tunapokosoa ofisi yake ilihali tukikubali mawazo/utafiti wake ni sawa na kumdidimiza kisiasa na taifa kupata hasara ya wanasiasa makini kama hawa.
 
Tusiwatenge sana ndugu zetu Watutsi, na pia tusiwatukane wala kuwachukia, Tanzania na pia kenya zina makabila zaidi ya 30 zenye damu moja na Watutsi (nashauri tutumie neno AFRICANS na sio BANTU kwani si kila mwafrika ni mbantu, je wajua wasudani walioonewa miaka yote na waarabu kwa kosa la kuwa waafrika sio wabantu? ubantu ni kutubaguwa zaidi)
 
Prof. Esron Munyanziza, the Coordinator of MSC program Agroforestry and Soil Management at the National University of Rwanda (NUR) passed away Monday 18th June 2012 in his residence in Taba-Huye District. He was found by his houseboy on Monday morning.

Munyanziza's house boy said he broke the door to find the departed because it had reached 10h00AM and it was unusual that he would not yet have risen or answered the knocking on the door. The remains were taken to the University Teaching Hospital (CHUB) for autopsy and transferred to Kacyiru Police Hospital-Kigali on 19th June 2012. The investigation process by the police is ongoing to find out the cause of the death and the police have since arrested the houseboy.


Goretti Mukambanda, a relative to Munyanziza, said she cannot understand how her uncle died without complications of any disease. Mukambanda said: "I talked to my uncle one day before his death. He told me that his ankle was not at ease and nothing else of any worry about his health. The day he died I was on my way to his home to see him as he wanted to see my newborn".


Prof. Esron Munyanziza was well-known in the NUR community as a devoted follower of the 7th Adventist church and a preacher.


Family background

Prof. Esron Munyanziza was born in 1952 in Karongi district. In 1994, he married though unfortunately his wife and child died in a car accident in 1997. Munyanziza never remarried.


Professional backgroud
Research Fellow, Sokoine University of Agriculture, Tanzania (1995-1999) Senior Lecturer, Faculty of Sciences, Sokoine University of Agriculture (2000-2004) Masters of Public Health Student, Adventist International Institute of Advanced Studies (AIIAS), Philippines (2004-2006) Senior Scientist, Institut des Sciences Agronomiques du Rwanda, Rwanda (2006-2008) Professor, National University of Rwanda (2008 – till present) Vice Dean Faculty of Agriculture, National University of Rwanda (2008-2009) Coordinator of MSC program Agroforestry and Soil Management, National University of Rwanda (2009 – present)
 
Nashindwa kumuita Mtikila Rev, kwa sababu moja ya sifa kuwa mchungaji ama Padri ama Shemasi ama Shehe ni kuwa mwangalifu wa kutumia ulimi na kalamu yako vema, taarifa hii iliyoandikwa ni upotoshaji mkubwa wa ukweli na kuonyesha kutokuwa mkmavu wa fikra sasa hivi ukiona mtu anaanza kumkashifu Baba wa Taifa ujue basi..!!

Nchi ya Rwanda sasa na amani iliyopo na heshima inayopata kimataifa sio kitu cha kupuuzwa, angalia kiti kwenye umoja wa mataifa (Security council) kwa kura za kishindo, na mtikila na mkeo tunajua mlikotoka na ubini wenu - Burundi sasa unakaa hapa kupotosha ukweli acha kutudanganya na kama bado unabeba UHUTU wako huna nafasi katika dunia ya sasa..!!
 
Nashindwa kumuita Mtikila Rev, kwa sababu moja ya sifa kuwa mchungaji ama Padri ama Shemasi ama Shehe ni kuwa mwangalifu wa kutumia ulimi na kalamu yako vema, taarifa hii iliyoandikwa ni upotoshaji mkubwa wa ukweli na kuonyesha kutokuwa mkmavu wa fikra sasa hivi ukiona mtu anaanza kumkashifu Baba wa Taifa ujue basi..!!

Nchi ya Rwanda sasa na amani iliyopo na heshima inayopata kimataifa sio kitu cha kupuuzwa, angalia kiti kwenye umoja wa mataifa (Security council) kwa kura za kishindo, na mtikila na mkeo tunajua mlikotoka na ubini wenu - Burundi sasa unakaa hapa kupotosha ukweli acha kutudanganya na kama bado unabeba UHUTU wako huna nafasi katika dunia ya sasa..!!

kwa hakika wewe ni mnyarwanda,in short mwisho wa utawala legelege ni 2015 so wote mtarudi kwenu.
 
Nashukuru na ninafurahi ninapokutana na watu wenye akili fupi kama yako.
Nafikiri ungejiuliza kwa nini barack obama alisaini muswada wa kupunguza masharti dhidi ya wageni kwa sababu imeonekana wageni wengi ndio wanacreate jobs USA.
Hahahhahahahhahahaha hahhahahahah
siwezi kukaa kujivunia utanzania na kuwaponda wengine ilhali mimi ni masikini,je hujui kuwa kuna viongozi wako nao wana mali huko nje ya nchi hii?je wewe kama mtanzania nini kinachokuzuia kwenda huko na wewe ukanunue unabaki kunung'unika tu,bora tungekuwa na ushahidi kuwa kuna watz walienda kununua ardhi huko wakapigwa chini hapo inabidi kuangalia zaidi lakini hii ya kulala mika?tutajenga taifa la watu wanaolalamika,mtu anakuja anamchukua mkeo badala ya kureact unalalamika,
STOP MURMURING

Tatizo hapa ni watanzania kukosa uzalendo,na tunawapa nafasi hata wajinga kama wewe kuchangia ujinga wako ndani ya nafsi zetu tena kwa kebehi.


Ebu nenda kigali halafu uliza chumba cha kulala guest house kama hutapokewa kwa kuitwa mnyamahanga.
Wewe unatuambia habari ya watanzania kuwekeza nje au kuishi nje ya nchi.

*Je? Wanaishi na mifugo kwenye mapori au wanaishi kwa kufuata sheria za nchi husika?
*wewe unajua maana ya wivu? Au wewe nae ndio walewale unaandika kutoka msituni
*kwa kuyaona yote haya ndio maana tunauchungu na serikali iliyoko madarakani,kwani inashirikiana na waporaji wa maliasili yetu kutuibia

rev, mtikila tunamheshimu kwani ni mtu mahili anayeujua uchungu wa nchi yake na ameibwaga mahakamani
Serikali hii mara kadhaa,hivyo sai mtu wa kupuuzwa.
 
Watutsi ni watu hatari sana,machafuko yote yanayotokea ukanda huu wa maziwa makuu kwa zaidi ya asilimia 90 utaona watutsi wanahusika! Madai ya Mtikila naomba yafanyiwe kazi , watutsi ni watu hatari sana na si wakuwachekea hata kidogo.
 
Mzee Jomo Kenyatta alisema maneno haya kweli!!!??
“Hakika Nyerere anatawala maiti”
 
Back
Top Bottom