Mtikila: Kagame amepenyeza Wanyarwanda 35,000 Tanzania, Burigi, katika Wilaya ya Muleba

Inamaa yote haya usalama wa taifa hawayajui?

Padre alivyopigwa risasi unguja usalama wa taifa hawajui?

Hizi propaganda za Tutsi empire nilizisikia kwa mara ya kwanza 2006 nchini Uingereza nilipomtembelea rafiki yangu mwislam, ambaye ni msomi mzuri tu wa elimu dunia, nilijaribu kubishana nae kwa sababu mwanzoni nilidhani kuwa ni maongezi ya kawaida na alikuwa anakoleza tu ili tuendelee kuchangamka lakini baadae nikagundua kuwa ni habari ambayo inaaminiwa kuwa ni sahihi na watu wenye mtazamo kama wa kwake. Namsikitikia sana Mtikila kwa kutumika ama kwa kutojitambua au kwa shinikizo la pesa.

Waumini wa habari hii wanadai kwamba
1. Watusi wana asili ya kiyahudi (pata jibu la nani ni adui yao mkuu na yupo nyuma ya hizi propaganda)
2. Ina elezwa kuwa watutsi kupitia conspiracy yao wamejipenyeza na kushika madaraka kweye baadhi ya nchi wakiwa na lengo la kueneza Tutsi empire (Jewish?)
3. Viongozi wa Kiafrika wanao tuhumiwa kuwa watutsi kulingana na mtu niliyeongea naye 2006 walikuwa ni Nyerere (RIP) na Robert Mgabe naona Mseveni na Kabila are new additions

Habari hii ya Mtikila na ile niliyoisikia 2006, imenihamasisha kutaka kufanya utafiti wa kama kulikuwa na mkono wa alqaida/uamsho/boko haram/alshabab katika kuchochea mauaji wa watutsi ambao wanadaiwa kuwa jamii ya kiyahudi.
 
Sidhani kama kuna ubaya wa mtutsi kuishi tanzania,kama wamarekani wangekuwa hivyo,africa msingekuwa mnajivunia barack Obama hata wakishika nafasi za juu sawa ila la msingi ni serikali ndio iwajibike kwa wahamiaji holela.

kama wewe ni mtanzania basi hujui unaloliandika, tatizo siyo mtusi kuishi tanzania! kwani hata tunaojiita watanzania sasa uki trace historia yetu wenye asili ya hapa ni wachache sana au hamna kabisa! ninachomaanisha hapa ni ULE UZALENDO WA KITANZANIA! hawa jamaa wamekuja kwa malengo yao tofauti na si kuijenga Tanzania! wanatafuta njia, fuatilia vizuri kongo.
 
Nashukuru kwa uelewa wako,
lakini sidhani kama kuna kipimo cha kupima moyo wa mtu,
na pia msianze kupandikiziwa chuki yakaja tokea kama ya adolph hitler kutaka kumaliza kizazi cha wayahudi kwa chuki zake so be watchfull.
Naomba nikuulize swali Malema baba yupi ni mzuri kati ya hawa wawili
1.anayetoa ofa kwenye mabaa kwa pesa anazozipata ilhali huku nyumbani watoto wanahangaika pamoja na mke wake hawana chakula wanarudishwa shule xul fees ilhali nje anatamba mimi ni tajiri sana na kuwapa watu pesa mingi
2.anayejali familia yake inakula vizuri watoto wanaenda shule,nyumba nzuri,ilhali ukienda nje watu wanamsema vibaya kwamba ndio chanzo cha kuleta ugomvi ama umasikini ktk nyumba ya jirani.
Those are two states of tanzania and rwanda


kama wewe ni mtanzania basi hujui unaloliandika, tatizo siyo mtusi kuishi tanzania! kwani hata tunaojiita watanzania sasa uki trace historia yetu wenye asili ya hapa ni wachache sana au hamna kabisa! ninachomaanisha hapa ni ULE UZALENDO WA KITANZANIA! hawa jamaa wamekuja kwa malengo yao tofauti na si kuijenga Tanzania! wanatafuta njia, fuatilia vizuri kongo.
 
Last edited by a moderator:
kama huelewi usibishe, wapo sua wengi sana wakidai ni watu wa kigoma! na wengine walishateuliwa kuwa hata makatibu wakuu na wakurugenzi katika wizara mbalimbali. Daima Mungu yupo upande wetu na tutashinda! chamsingi tuendelee kuwa wamoja na kuimarrisha zaidi uzalendo wetu. Kagame ni adui namba moja wa bara la afrika ipo siku tutamsambaratisha.

Bwana mkubwa tatizo ni nini? msomali au mtutsi? Mmalawi au mjaluo? Si bora hao watutsi tunaopakana nao kuliko wasomali, Je hujui kuwa mwanajeshi Nyirenda aliyepandisha bendera mlima kilimanjaro alikuwa mmalawi? Angalia ramani ya Tanzania, tunapakana na nchi lukuki na raia wa mipakani hata kabla mzungu hajachora hiyo mipaka walikuwa wana move kutoka sehemu moja hadi ingine.

Chokochoko dhidi ya watutsi inatokana na dhana potofu inayohubiriwa na watu wa dini fulani kuwa watutsi wana asili ya kiyahudi, na hiyo dini haina mapenzi mema na wayahudi. Vinginevyo, wazee wa Kilosa walitamka hadharani kuwa Mkulo ni mmalawi lakini mkuu wa kaya aliendelea kumpa uwaziri wa fedha hadi kazi ilipomshinda, Wazalendo kama wewe mlikuwa wapi? Mkuu wa ccm ni msomali tena mwindaji wa tembo, mbona uko kimya?? biashara kubwa na raslimali zote za nchi yako haziko mikononi mwa raia, wewe unakasirikia wafugaji wa kinywaranda? hayo ndo mambo ya msingi ambayo unabidi ujiulize mara mbili mbili kuliko hao maskini watutsi ulio nao sua.
Ki historia wanyarwanda na warundi ni wafugaji na wafuagaji wanahama hama kutafuta malisho, wafugaji si wamefika na kufanya vita rufiji na maeneo mbali mbali ya morogoro??

Je huko nako ni wanyarwanda wamechukua ardhi ya tanganyika?Nakumbuka maisha yangu ya utotoni kwenye 1970's huku kwetu maeneo ya Musoma, hawa jamaa walikuwa wanakuja vijijini kuomba kazi ya kuchunga ng'ombe, walikuwa wanaitwa "abha kanga" kwa kilugha chetu, mshahara wao ulikuwa ni maziwa, akishakamua anajipimia kiasi cha maziwa anachotaka. Watu wa maeneo ya ukanda huu hawa ni ndugu zetu, hata lugha tunazoongea zina maneno mengi yanayofanana, majina ya watu, maeneo na vitongoji vinafanana kwa kiasi fulani, tumekuwa nao pamoja kabla ya kuwajua wazaramo au wandengeleko, Huko nyumba ukanda huu watu wahakuwa wapenzi wa RTD, walikuwa wana tune radio rwanda kigali, kupata miziki ya uhakika, sikinde sijui ngoma ya ukae yalikuwa ya huko daslam
 
Mrdash1 nimekubali mawazo yako ni ya msingi,hizo ni chuki binafsi ni kama chadema kinavyoitwa chama cha wachaga.
Sioni maana ya kuwasema vibaya ilhali na sisi watatz wenzetu ni illegal imigrants ukienda southafrica,hata na msumbiji.
Katika uongozi wa nchi ya rwanda ni rais gani mhutu aliyeweza kuleta mshikamano kwa wananchi kama walivyo sasa?ni rais yupi aliyeleta maendeleo rwanda?ni mtutsi ambaye ni kagame,but hv u heard akijitapa?
Never ni nyie wenye mawazo finyu ndio mnaanza kuleta za kuleta
Big up tutsi's
 
Last edited by a moderator:
Sidhani kama kuna ubaya wa mtutsi kuishi tanzania,kama wamarekani wangekuwa hivyo,africa msingekuwa mnajivunia barack Obama hata wakishika nafasi za juu sawa ila la msingi ni serikali ndio iwajibike kwa wahamiaji holela.

Tofauti ya huyo uliyomtaja hapo na watusi ni kwamba watusi nia yao ni ku-take over power na kuiweka chini ya himaya ya kitusi kwa manufaa ya watusi.
Na ndio maana hata wanaume wengi waliowaoa wanawake wakitusi walipata matatizo ya kubambikiwa watoto, wanawake wa kitusi walikuwa wanahakikisha hawapati mimba ndani ya ndoa zao, walikuwa wanatembea kisirisiri na watusi wenzao ili watoto wawe na damu ya kitusi bila kuchanganya ili baadae wakiwa kwenye uongozi waweze kuwa-favor watusi.
 
Burundi na Rwanda matatizo Yao yanafahamika..ni ardhi....,na hizo mbinu za kujipanua sio Siri......
Haya yanajulikana ....na Sioni Kama yanayotokea Goma ...hayatatokea Kagera na Kigoma Kama harutaendelea kuwa macho...,Kama ni lazima kuwapa makazi hawa....tuendelee kuwapeleka mbali kabisa na mipaka,watapelekwa mikoa ya Kati Kati ....
Tuendelee kuweka makambi ya kijeshi pembezoni kwenye mapori yote yaliyotajwa.
 
Hawa jamaa ni noma,hapa Tz wamo Jeshini,Polisi,Magereza,TRA,TCRA,TANESCO,PCCB,MUHAS,EWURA,DAWASCO,TISS,mpaka Task Force,wanaangalia saa tu siku moja mkuu wa majeshi atakuwa na Tutsi origin,TISS HIVYOHIVYO,PCCB NA SERIKALINI KOTE.Wameingiza watu mpaka wamefikia ngazi za ukurugenzi na ukuu wa idara.

Heshima yako mkuu, nafikili tatizo linatokana na sisi kuchukulia mambo kimza mzaa tu, nakumbuka wakati nasoma shule kuna jamaa wa Kenya aliwahi kushika nyadhfa nyeti nchini - sikumbuki alikuja kushtukiwa kivipi!! mark you nadhani hiyo ilikuwa kwenye awamu ya kwanza. Mkuu hakuna mtu anaweza kuingia nchini au kuzaliwa kwenye makambi ya ukimbizi au kupewa uraia bila kujulikana - wote wanajulikana baba/babu zao walikotoka, hata kama wamepewa nyadhifa gani ni rahisi kugundulika we sema labda vyombo vyetu vya dora visitake kulivalia njuga, DORA hawashindwi kitu mkuu; we sema watu wanayamaza tu sio kwamba hawajuhi. Sasa kama Serikali inaona hilo si tatizo kwa sasa hivi, SWALI NI: Lini watalishtukia BILA KUFANYA HIVYO THE SOONEST litakuja kuto-cost an arm and leg kadri muda unavyokwenda.

Kwa hali inavyokwenda in East and Central Africa mimi nafikili muda wa ku-act ni NOW not later! Labda niongezee kwa kusema nina imani na Serikali yetu inapokuja katika nyanza za ulinzi na usalama wa Taifa - ni rahisi sana kuwageuzia kibao kwa kuwakamata kama kuku wa kizungu - honestry. Kumbuka jamaa walio wahi kuambiwa kuwa sio raia wa TANZANIA licha ya kuishi miaka nenda rudi nchini - sijuhi kama walidhani kwamba siku moja wangeweza kuambiwa kitu kama hicho.
 
Bwana mkubwa tatizo ni nini? msomali au mtutsi? Mmalawi au mjaluo? Si bora hao watutsi tunaopakana nao kuliko wasomali, Je hujui kuwa mwanajeshi Nyirenda aliyepandisha bendera mlima kilimanjaro alikuwa mmalawi? Angalia ramani ya Tanzania, tunapakana na nchi lukuki na raia wa mipakani hata kabla mzungu hajachora hiyo mipaka walikuwa wana move kutoka sehemu moja hadi ingine. Chokochoko dhidi ya watutsi inatokana na dhana potofu inayohubiriwa na watu wa dini fulani kuwa watutsi wana asili ya kiyahudi, na hiyo dini haina mapenzi mema na wayahudi. Vinginevyo, wazee wa Kilosa walitamka hadharani kuwa Mkulo ni mmalawi lakini mkuu wa kaya aliendelea kumpa uwaziri wa fedha hadi kazi ilipomshinda, Wazalendo kama wewe mlikuwa wapi? Mkuu wa ccm ni msomali tena mwindaji wa tembo, mbona uko kimya?? biashara kubwa na raslimali zote za nchi yako haziko mikononi mwa raia, wewe unakasirikia wafugaji wa kinywaranda? hayo ndo mambo ya msingi ambayo unabidi ujiulize mara mbili mbili kuliko hao maskini watutsi ulio nao sua.
Ki historia wanyarwanda na warundi ni wafugaji na wafuagaji wanahama hama kutafuta malisho, wafugaji si wamefika na kufanya vita rufiji na maeneo mbali mbali ya morogoro?? Je huko nako ni wanyarwanda wamechukua ardhi ya tanganyika?Nakumbuka maisha yangu ya utotoni kwenye 1970's huku kwetu maeneo ya Musoma, hawa jamaa walikuwa wanakuja vijijini kuomba kazi ya kuchunga ng'ombe, walikuwa wanaitwa "abha kanga" kwa kilugha chetu, mshahara wao ulikuwa ni maziwa, akishakamua anajipimia kiasi cha maziwa anachotaka. Watu wa maeneo ya ukanda huu hawa ni ndugu zetu, hata lugha tunazoongea zina maneno mengi yanayofanana, majina ya watu, maeneo na vitongoji vinafanana kwa kiasi fulani, tumekuwa nao pamoja kabla ya kuwajua wazaramo au wandengeleko, Huko nyumba ukanda huu watu wahakuwa wapenzi wa RTD, walikuwa wana tune radio rwanda kigali, kupata miziki ya uhakika, sikinde sijui ngoma ya ukae yalikuwa ya huko daslam

Katika hili nawatetea Wanyarwanda, katika kukua kwangu walikuwa wanakuja na ng'ombe wao kiasi tu sio maelfu na maelfu, vile vile Wanyarwanda na Wanyankole hawana tabia ya kuharibu mazingira, walikuwa wanakuja kwa muda kunchunga ng'ombe wao na kuhuza maziwa alafu baada ya miezi kadhaa wanarudi kwao bila labsha; tulikuwa hatuna matatizo na wafugaji hawa may be kwa kuwa culture za kwao na za kwetu hazitofautiani sana.

Sasa haya ya Mtikila kusema Wanyarwanda wanavamia hifadhi ya Burigi na kuharibu mazingiza naona hizo ni porojo tu - mbona hifadhi ya Burigi ilikuwepo miaka nenda rudi, kwa nini Wasukuma wavamie hifadhi na kuanza kulima bila kujali sheria ya Hifadhi, Mtikila Bwana! Hapa anatoa impression kwamba bila wasukuma kulima hifadhi ya Burigi Wahaya watakufa kwa njaa, wakati mwingine ni vigumu kumuelewa Mtikila! Mtikila kasahau kwamba amemuoa Mhaya! Ni lini wakwe zako walikuja kuemea/kukuomba chakula??

Kwa nini umekazania Wanyarwanda Wanyarwanda mbona husemi chochote kuhusu uharibifu wa vyanzo vya maji mto Kilombero? Nani walihusika mkoa wa Katavi? Nini kilifanya eneo kubwa ya usukumani ligehuke semi desert?

Mh.Kagame na Mh.M7 wanaweza kuwa na matatizo yao kama binadamu wengine tulivyo historia ndio itawahukumu, lakini wenyewe wanahusika kivipi na mwenendo wa Wafugaji wa Kinyarwanda ambao walikuwa na kawaida ya kuleta ngombe wao mkoani Kagera miaka nenda rudi tangu Kagame yungali mtoto mdogo tuseme hajazaliwa. Wafugaji wa Kinyarwanda nawatetea kwa kuwa nafahamu wanavyo ji-conduct wakiwa kwenye nchi ya kigeni/majirani.
 
Padre alivyopigwa risasi unguja usalama wa taifa hawajui?

Hizi propaganda za Tutsi empire nilizisikia kwa mara ya kwanza 2006 nchini Uingereza nilipomtembelea rafiki yangu mwislam, ambaye ni msomi mzuri tu wa elimu dunia, nilijaribu kubishana nae kwa sababu mwanzoni nilidhani kuwa ni maongezi ya kawaida na alikuwa anakoleza tu ili tuendelee kuchangamka lakini baadae nikagundua kuwa ni habari ambayo inaaminiwa kuwa ni sahihi na watu wenye mtazamo kama wa kwake. Namsikitikia sana Mtikila kwa kutumika ama kwa kutojitambua au kwa shinikizo la pesa.

Waumini wa habari hii wanadai kwamba
1. Watusi wana asili ya kiyahudi (pata jibu la nani ni adui yao mkuu na yupo nyuma ya hizi propaganda)
2. Ina elezwa kuwa watutsi kupitia conspiracy yao wamejipenyeza na kushika madaraka kweye baadhi ya nchi wakiwa na lengo la kueneza Tutsi empire (Jewish?)
3. Viongozi wa Kiafrika wanao tuhumiwa kuwa watutsi kulingana na mtu niliyeongea naye 2006 walikuwa ni Nyerere (RIP) na Robert Mgabe naona Mseveni na Kabila are new additions

Habari hii ya Mtikila na ile niliyoisikia 2006, imenihamasisha kutaka kufanya utafiti wa kama kulikuwa na mkono wa alqaida/uamsho/boko haram/alshabab katika kuchochea mauaji wa watutsi ambao wanadaiwa kuwa jamii ya kiyahudi.
Sasa nimeanza kuelewa kitu kilichojificha,nashukuru sana kwa ufafanuzi mzuri!
 
Appreciation mkuu!
Daima kama ethnicity ikionekana ina prosper sana mfano jews hawa ndugu zetu huleta mambo yasiyo na msingi ilimradi kuchochea chuki.



Katika hili nawatetea Wanyarwanda, katika kukua kwangu walikuwa wanakuja na ng'ombe wao kiasi tu sio maelfu na maelfu, vile vile Wanyarwanda na Wanyankole hawana tabia ya kuharibu mazingira, walikuwa wanakuja kwa muda kunchunga ng'ombe wao na kuhuza maziwa alafu baada ya miezi kadhaa wanarudi kwao bila labsha; tulikuwa hatuna matatizo na wafugaji hawa may be kwa kuwa culture za kwao na za kwetu hazitofautiani sana.

Sasa haya ya Mtikila kusema Wanyarwanda wanavamia hifadhi ya Burigi na kuharibu mazingiza naona hizo ni porojo tu - mbona hifadhi ya Burigi ilikuwepo miaka nenda rudi, kwa nini Wasukuma wavamie hifadhi na kuanza kulima bila kujali sheria ya Hifadhi, Mtikila Bwana! Hapa anatoa impression kwamba bila wasukuma kulima hifadhi ya Burigi Wahaya watakufa kwa njaa, wakati mwingine ni vigumu kumuelewa Mtikila! Mtikila kasahau kwamba amemuoa Mhaya! Ni lini wakwe zako walikuja kuemea/kukuomba chakula??

Kwa nini umekazania Wanyarwanda Wanyarwanda mbona husemi chochote kuhusu uharibifu wa vyanzo vya maji mto Kilombero? Nani walihusika mkoa wa Katavi? Nini kilifanya eneo kubwa ya usukumani ligehuke semi desert?

Mh.Kagame na Mh.M7 wanaweza kuwa na matatizo yao kama binadamu wengine tulivyo historia ndio itawahukumu, lakini wenyewe wanahusika kivipi na mwenendo wa Wafugaji wa Kinyarwanda ambao walikuwa na kawaida ya kuleta ngombe wao mkoani Kagera miaka nenda rudi tangu Kagame yungali mtoto mdogo tuseme hajazaliwa. Wafugaji wa Kinyarwanda nawatetea kwa kuwa nafahamu wanavyo ji-conduct wakiwa kwenye nchi ya kigeni/majirani.
 
hii naskia ipo, na ukikutana na wakongo walio UN agencies au international agencies zenye intel wanasema hivyo, ila tukianza kutafutana uchawi, basi hamtaamini kitakachotokea

cha maana ni cross breeding na neutralization, kuwatafuta na kuwadhuru ni another war wazungu wanataka tuifanye ili waturambe vizuri

KINGINE MUHIMU NI KUKUBALI KWAMBA KUNA WATU WANAOTUMIA GENOCIDE SYMPATHY KUNUFAIKA WENYEWE NA KUONEA WENZAO, LAKINI SOLUTION NI MOJA TU.... NEUTRALIZATION YA HIZI CLANS/TRIBES AND TRAITS THROUGH CROSS BREEDING. THERE IS AN ARTICLE YA RESEARCHER MMOJA ILITOKA LIKE 6 YEARS AGO ABOUT FUTURE PEOPLE.... WANAONEKANA WATAKUA MIXED RACE NA WOTE WATAKAOKATAA WATAPERISH, NA TUNAOPIGANA WENYEWE NA UPUUZI WETU TUTAFUATA HIZOHIZO NYAYO
 
Tusilete vita dhidi yetu...the only great thing we can do...tufanye cross breading sana ili tuwe wamoja labda itasaidia...sio kuwatafuta na kuanza pigana ama pingana nao
 
Hawa WATUSI ni WA ISRAEL wetu wa Africa,hilo lazima tulikubali,halafu hii hoja ni nzuri ila mletaji kaileta kichuki mnoo,kuh hiyo operesheni ya wasukuma kwa nini isiwe ni operesheni ya kuwaondoa wahamiaji,ambao yeye anawaona ni wasukuma,kumbuka earlier alishasema ya kuwa wamejazana na mpaka walihesabiwa kwenye sensa.Pia nimefurahi kukisikia hiki Kinywaji kama bado kipo kwenye kaunta zetu!!,nilijua siku hizi ni Ndovu na Chui chui ndio zivumazo.
 
Back
Top Bottom