PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,724
Mchungaji Mtikila aliongea na waandishi wa habari juzi(28/5/2011) mjini Arusha akisisitiza kuwa Ridhiwani aendelee na hatua ya kufungua kesi mahakamani, ili yeye na Dr Slaa wapate nafasi nzuri na wanayoisubiri, ya kuweka hadharani aliyoita 'Madudu' ya mtoto huyo wa Rais.
Kwenye picha hii, kilichonifurahisha zaidi ni SIMU ZA MTIKILA!...Je ni bahili, au mkoloni, au SIMU MAANA YAKE MAWASILIANO, na si zaidi ya hapo?...
Simcheki Mtikila , Laa!, ila nilitegemea kwa wadhifa alio nao angekuwa na simu ambayo japo anaweza kusoma e-mail hata akiwa mbali na pc's.
Nawasilisha kwa maoni yenu!
Kwenye picha hii, kilichonifurahisha zaidi ni SIMU ZA MTIKILA!...Je ni bahili, au mkoloni, au SIMU MAANA YAKE MAWASILIANO, na si zaidi ya hapo?...
Simcheki Mtikila , Laa!, ila nilitegemea kwa wadhifa alio nao angekuwa na simu ambayo japo anaweza kusoma e-mail hata akiwa mbali na pc's.
Nawasilisha kwa maoni yenu!