lifeofmshaba
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 867
- 219
Huyu Mtikila alisema atamfungulia Riz One mashitaka imefikia wapi?
RIZ ONE ndiye alisema kumshitaki mchungaji hapo umegeuza mambo
Huyu Mtikila alisema atamfungulia Riz One mashitaka imefikia wapi?
Linaitwa TANGANYIKA,linapatikana mahakamani anakoshinda kila sikuHivi jamani mtikila ni mchungaji wa kanisa gani? Lipo wapi? Nataka nimtembelee nkawaone waumini wake wanafananaje? Na pia anahubirije??
Mkuu wewe ni kondoo wa sheikh twain au kondoo wa almarhum sheikh yahya?Kama Wachungaji kwa Wachungaji wameshindwa kukaa meza moja kuelewana sisi Kondoo huku mitaani si ndio tutatoana Roho!!
Kanisani hamna utaratibu wa kusuluhishana bila kufikishana mahakamani? Mbona huwa wanahubiri ukipigwa shavu la kushoto mgeuzie na la kulia?
Inabidi tufukue makaburi
hhaaha kwa hiyo nanai ananyongwa hapo? Mtikila kazidi na kesi zake, mpaka aibu. Hivi ana watoto yule mzee? Mke? Ni kabila gani? I am confused kweli!
Daaa....... kwamba watakutana hukohuko?Hii kesi itaendelea huko mbinguni