Genekai
R I P
- Feb 9, 2010
- 12,517
- 4,987
Narudia tena mama kama busara, kwako ndo makao makuu yake. Msituangushe 31 October!hata mie ningekuwa na muda ningesaidiana nae kushinikiza wananchi kutokumchagua Kikwete kwa sababu sijaona alichofanya mpaka sasa