Mtihani wa kwanza anga za kimataifa kwa Rais ni mwezi August mwaka huu

Kama shida ni lugha ya Malkia, ataongea lugha yetu. Hii lugha yetu inatumika katika mikutano ya AU na wakalimani wapo. Rais wa China alikuja hapa na aliongea kichina, sioni ajabu Mkuu wangu wa Kaya akiongea Lugha yetu adhimu katika kikao cha kimataifa kwani atakuwa anaienzi lugha yetu. Kiswahili Oyeee!
Tatizo ni lipi? Kwani JPM hana speech writer? Si kweli kwamba hajui Kiingereza. Labda kama mnaona accent yake ni tatizo. Lakini kila rais wa Kiafrika ana accent yake anapoongea lugha ya kigeni.Mie naona ni wakati muafaka wa kuanza kutumia Kiswahili. Rais Chissano wa Msumbiji aliishafanya hivyo kwenye mkutano wa AU lakini akina JK hawakuaona umuhimu wa kumuunga mkono.
 
Kama shida ni lugha ya Malkia, ataongea lugha yetu. Hii lugha yetu inatumika katika mikutano ya AU na wakalimani wapo. Rais wa China alikuja hapa na aliongea kichina, sioni ajabu Mkuu wangu wa Kaya akiongea Lugha yetu adhimu katika kikao cha kimataifa kwani atakuwa anaienzi lugha yetu. Kiswahili Oyeee!
Teeeeeeeeh teeeeeeeeh teeeeeeeeeh, wasiwasi wangu ni ni kisukuma
 
Hivi kwa mfano siku mbili kabla ya mkutano aka jisingizia ugonjwa na kulazwa pale Kikwete C. Institute itakuwaje? Hawezi kuteua mwakilishi?
Maana heri nusu shari kukiko shari kamili
Pia ni uamuzi wa busara ili kulinusuru taifa letu na aibu
 
Natamani siku moja mkuu wa kaya azungumze kiswahili katika international meeting yoyote ile kwani ni lugha nzuri na ina wakalimani kwann tujitese na lugha za watu?
Ajifanye tu hamnazo na kufagilia lugha yetu kama mchina, hivi hivi atakwepa vikao kwa visingizio visivyo na maana.
 
Tatizo sio lugha shida mkuu wa kaya hajui Geographia wala diplomasia hajui tofauti ya libya .kiwai na iraq sasa usikute hata Gaborone na Windhoek hazifahamu ebooo
 
Hivi kwa mfano siku mbili kabla ya mkutano aka jisingizia ugonjwa na kulazwa pale Kikwete C. Institute itakuwaje? Hawezi kuteua mwakilishi?
Maana heri nusu shari kukiko shari kamili
Umeshavuruga plan za watu...itabidi itafutwe plan nyingine sasa.
 
Yeye ni Rais mzee!!! Hana haja ya kusingizia. Ataamua tu kwenda au kutokwenda. Marais wasiosafiri dunia hii ni wengi. Sijasikia hata safari za rais wa North Korea.
Umeambiwa anaenda kukabidhiwa Uenyekiti wa SADC na huo anakabidhiwa mkuu wa nchi, ndio hoja hapa. Mambo ya Korea yanalingana na sie?
 
Kama shida ni lugha ya Malkia, ataongea lugha yetu. Hii lugha yetu inatumika katika mikutano ya AU na wakalimani wapo. Rais wa China alikuja hapa na aliongea kichina, sioni ajabu Mkuu wangu wa Kaya akiongea Lugha yetu adhimu katika kikao cha kimataifa kwani atakuwa anaienzi lugha yetu. Kiswahili Oyeee!
Kwaivyo mleta uzi amemaanisha wasuwasi kwamba baba wa kaya atakipaka kwenye lugha ya malkia
 
HIVI NYINYI WATU MNAOKAA NA KUWAZA ATI KUNA "MTIHANI" KWA JPM MNATAKA KUTUAMBIA NINI HASWA? NINI KINACHOWADHANISHA KUWA VITU KAMA HIVYO NI MITIHANI KWAKE?
 
HIVI NYINYI WATU MNAOKAA NA KUWAZA ATI KUNA "MTIHANI" KWA JPM MNATAKA KUTUAMBIA NINI HASWA? NINI KINACHOWADHANISHA KUWA VITU KAMA HIVYO NI MITIHANI KWAKE?
Watu wana zarau sana humu ndani aiseeee......
Kuna mkuu mmoja aliwahi kusema kwamba baba wa kaya alitoa speech hadi akachanganya na ile lugha kubwa ya kanda za ziwa sikuzileee...... alipokua akifanya ufunguzi wa .........
 
Back
Top Bottom