leo ktk mapitio ya magazeti kuna kichwa cha habari juu ya kuhahirishwa kwa mitihani hiyo,je kuna ,mtu mwenye details zaidi?
leo ktk mapitio ya magazeti kuna kichwa cha habari juu ya kuhahirishwa kwa mitihani hiyo,je kuna ,mtu mwenye details zaidi?
:couch2:Kuhahirishwa ndio nini? Inabidi tupitie tena syllabus zetu kwani wengi wa wanaomaliza secondary siku hizi hawajui kuandika....