kufuatia shutuma wa baadhi ya madhehebu/dini kwamba watoto wao/dada/kaka/ndugu zao kwamba wamefelishwa au hakutendewa haki na necta, basi ni vizuri hii mitahi au somo lote kwa jumla likaondolewa katika sylabus yetu, kwa maana kila dhehebu litakuwa lina hisia kwamba wafuasiwa wao wameonewa kwa hili au lile. hivyo basi ili wote wawe katika usawa ni mitahani inayo fanywa na makundi yote ndio yaingie kwenye sylabus ya taifa, hayo mengineyo kila dhehebu lifuate huko huko kwenye mamlaka zao.