mtamanyali
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 1,161
- 613
Jambo la kuuawa kwa mwandishi wa habari lipo mahakamani hivyo sitalizungumzia. Pia kuhusu suala la vuigogo kuweka pesa uswisi huu ni uongo tu unaopikwa na benki ya dunia ukishirikiana na viwanda vya uongo vya hapa ndani. After all huu ni upepo tuu utapita.