Mtibwa mabingwa Tusker

Babuji

Senior Member
Nov 27, 2008
197
3
237.jpg


OMARI Gumbo wa Mtibwa Sugar atakuwa na haki ya kukumbuka na Watanzania baada ya kufunga bao safi na la ushidni kwa njia ya penati katika dakika ya 60 na kuiwezesha timu yake kutwaa kombe la Tusker baada ya kuifunga Mamlaka ya Mapato Uganda (URA) bao 1-0.

Penati iliyosababisha bao hilo ilitokana na beki wa URA, John Karangwa kumchezea vibaya Idrissa Rajabu aliyekuwa akichanja mbuga ndani ya eneo la hatari la timu hiyo kutoka Uganda.

235.jpg


Gumbo alipiga penati safi iliyomwacha kipa Abey Dhahiri, akiruka upande wa kulia na mpira kutinga wavuni upande wa kushoto. Katika mchezo huo, Mtibwa ilitengeneza nafasi nyingi za kufunga lakini ubutu wa washambauliaji wake uliioksesha mabao ya wazi hasa kipini cha kwanza

231.jpg
 
NIFAHAMISHE Tanzania news portal .: Habari za Tanzania :.

237.jpg


OMARI Gumbo wa Mtibwa Sugar atakuwa na haki ya kukumbuka na Watanzania baada ya kufunga bao safi na la ushidni kwa njia ya penati katika dakika ya 60 na kuiwezesha timu yake kutwaa kombe la Tusker baada ya kuifunga Mamlaka ya Mapato Uganda (URA) bao 1-0.

Penati iliyosababisha bao hilo ilitokana na beki wa URA, John Karangwa kumchezea vibaya Idrissa Rajabu aliyekuwa akichanja mbuga ndani ya eneo la hatari la timu hiyo kutoka Uganda.

235.jpg


Gumbo alipiga penati safi iliyomwacha kipa Abey Dhahiri, akiruka upande wa kulia na mpira kutinga wavuni upande wa kushoto. Katika mchezo huo, Mtibwa ilitengeneza nafasi nyingi za kufunga lakini ubutu wa washambauliaji wake uliioksesha mabao ya wazi hasa kipini cha kwanza

231.jpg


SOURCE: NIFAHAMISHE Tanzania news portal .: Habari za Tanzania :.



Habari kubwa sana hii. Tunashukuru kombe limebakia Tanzania.
 
Angalau Mtibwa wametutoa Watz kimasomaso!

Hivi Visiwani hakuna timu iliyoshiriki?

Visiwani hakuna timu iliyoshiriki...Nadhani sababu kubwa ni kwa sababu mashindano yanadhaminiwa na bia ya Tusker na visiwani hawaruhusu udhamini wa michezo unaolenga kutangaza vileo
 
237.jpg


OMARI Gumbo wa Mtibwa Sugar atakuwa na haki ya kukumbuka na Watanzania baada ya kufunga bao safi na la ushidni kwa njia ya penati katika dakika ya 60 na kuiwezesha timu yake kutwaa kombe la Tusker baada ya kuifunga Mamlaka ya Mapato Uganda (URA) bao 1-0.

Penati iliyosababisha bao hilo ilitokana na beki wa URA, John Karangwa kumchezea vibaya Idrissa Rajabu aliyekuwa akichanja mbuga ndani ya eneo la hatari la timu hiyo kutoka Uganda.

235.jpg


Gumbo alipiga penati safi iliyomwacha kipa Abey Dhahiri, akiruka upande wa kulia na mpira kutinga wavuni upande wa kushoto. Katika mchezo huo, Mtibwa ilitengeneza nafasi nyingi za kufunga lakini ubutu wa washambauliaji wake uliioksesha mabao ya wazi hasa kipini cha kwanza

231.jpg

Ongera Tanzania, Ongera Mtibwa kwa kututoa kimaso maso!
 
Visiwani hakuna timu iliyoshiriki...Nadhani sababu kubwa ni kwa sababu mashindano yanadhaminiwa na bia ya Tusker na visiwani hawaruhusu udhamini wa michezo unaolenga kutangaza vileo

Balantanda,
Ahsante mzee! Ila aslimia 30 ya pesa ya kodi ni vileo..na hata misaada toka Ulaya pia aslimia ya pombe ni kubwa!

heri kushiriki tu!! sasa bia sii ndo hujenga barabara? je unaweza kukataa kupita ktk barabara kwa vile imejengwa kwa bia?

Sorry ni out of topic kidogo!

Nami nawapongeza Mtibwa!
 
Balantanda,
Ahsante mzee! Ila aslimia 30 ya pesa ya kodi ni vileo..na hata misaada toka Ulaya pia aslimia ya pombe ni kubwa!

heri kushiriki tu!! sasa bia sii ndo hujenga barabara? je unaweza kukataa kupita ktk barabara kwa vile imejengwa kwa bia?

Sorry ni out of topic kidogo!

Nami nawapongeza Mtibwa!

Hayo ndo mambo ya Zenji mkulu
 
balantanda,
ahsante mzee! Ila aslimia 30 ya pesa ya kodi ni vileo..na hata misaada toka ulaya pia aslimia ya pombe ni kubwa!

Heri kushiriki tu!! Sasa bia sii ndo hujenga barabara? Je unaweza kukataa kupita ktk barabara kwa vile imejengwa kwa bia?

Sorry ni out of topic kidogo!

Nami nawapongeza mtibwa!

ikiwa pesa nyingi inapatikana kwa madawa ya kulevya jee ndio tukubali kuwa ni sawa ?
 
ikiwa pesa nyingi inapatikana kwa madawa ya kulevya jee ndio tukubali kuwa ni sawa ?

Tofauti na biashara ya pombe, biashara ya madawa ya kulevya hairuhusiwi Duniani. Siyo legal business, kwa hiyo inaweza kuwapo popote pale, hata Saudia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom