Mtekaji wa Ulimboka Joshua Mhindi ni mgonjwa wa akili

Mambo ya kuendekeza njaa tu!

Heri niwe mwenye njaa kuliko kuwa mjinga wa kuamini kamanda wa polisi amegawa rushwa kwa mikono yake kwa waandishi wote waliohudhuria press conference amidst hii uhusiano mbovu wa polisi na wanahabari. Ntabaki na njaa zangu na sehemu ya ubongo wangu inayofanya kazi.
 
Hii ni kwa mujibu wa mahojiano ya WAPO radio na wachungaji waliompeleka Joshua kituo cha polisi. Msomi ukisikia jambo lazima uliangalie analytically! Maelezo ya Gwajima tuyasubiri, hofu yangu tu ni kuwa amechukua muda mrefu kuyaandaa, na hii ina impact yake kwa atakachosema, yaani ikiwemo kuchimbwa mkwala asiseme ukweli wenyewe ili kuwaaminisha watanzania kuwa huyu mkenya ndo mtekaji!
Soma maana ya delusion hapa "A delusion is a belief held with strong conviction despite superior evidence to the contrary.[SUP][1][/SUP] Unlike hallucinations, delusions are always pathological(the result of an illness or illness process).[SUP][1][/SUP] As a pathology, it is distinct from a belief based on false or incomplete information, confabulation,dogma, illusion, or other effects of perception.Delusions typically occur in the context of neurological or mental illness, although they are not tied to any particular disease and have been found to occur in the context of many pathological states (both physical and mental). However, they are of particular diagnostic importance in psychoticdisorders including schizophrenia, paraphrenia, manic episodes of bipolar disorder, and psychotic depression."
Hili la kupokea rushwa ni kwa mujibu wa chanzo kilichokuwepo eneo lile pasipo na shaka yoyote!. Tunakihifadhi otherwise sinema nyingine inaweza kuanza kwa kukipeleka chanzo hiki mabwepande.
 
Yule jamaa wa Kova anayedaiwa kumteka ulimboka ni mgonjwa wa akili. Alikutwa kanisani anafanya fujo kwa kupiga watu na kutukana ovyo. Wakamkamata wakamfunga akawa anatoa vitisho kuwa yeye ni mtu hatari ndiye aliyemtesa ulimboka. Akapelekwa kituo cha polisi ili kanisani pawe shwari, hapo ndipo Kova na jamaa zake wakapata kichaka kingine cha kujifichia.
Utaalamu ni kuwa ugonjwa wa akili alionao huyu jamaa unajulikana kama MANIA. Na jinsi alivyojipresent ni kuwa alikuwa na delusions yaani mtu kujiona kuwa yuko katika hali fulani ya juu tofauti na ukweli. Mfano, mtu anaweza kuamini kuwa yeye ni Roho Mtakatifu au yeye ni Mungu na ndiye anayeishikilia dunia tofauti na kweli yenyewe.
Kanisa la Gwajima limemshangaa sana Kova na wenzake kwa kupotosha ukweli.

Kova katolewa kafara, lakini nae angetumia akili kidogo alipashwa kukataa kutoa kauli aliyoitoa kwa sababu Dhaifu alishasema serikali haiusiki, iweje tena aseme kuwa yule (Joshua Mhindi) ambaye ni Mrangi na wala sio Mkenya; kasema alitumwa na kigogo mmoja serikalini!?
 
Kweli Jf kuna watu bogus, kama hujui unachoandika kwa nini utupotezee muda? kuwa makini na kamilisha home work yako vizuri.
 
Jamani-jamani-jamani tumuogope Mungu.Uhuru bila mipaka nao ni tatizo ila CHANZO mrudie mungu wako.
Sitaki kuamini au kutoamini haya unayosema ila so long as ametumia muda kupost hili, look at ur own conscious na kama ni uongo tubu kwa mungu wako kupitia chanzo hikihiki. Diagnosis ya mshitakiwa na Kova kugawa rushwa kwa waandishi wa habari!!!!!!!!!!!!
Bado nashindwa kujizuia kuamini utekwaji wa Dr una element ya kisiasa n' some guys are playing this smartly.
Tumuombe mungu tuvuke hapa salama ila TUJUE KABISA YOTE TUNAYOYAFANYA YUPO MUNGU ANATUONA NA TUTAWAJIKA
 
maskini wee..isije ikawa wamempa sindano mtu wa watu ili achanganyikiwe...hii kweli ni bongo
 
hahaha! Hapa bado hatujaamini! Na swala la kova kutoa rushwa kwa style iyo kwa wanahabari wote na kukubali haiwezekani! Na kama imewezekana basi wanahabari wote wa tz ni wa......! Mtamalizia.
 
Wote mnaongea and all we have are your words. SOURCES??? Sisimami upande wowote ila uhakika beyond reasonable doubt unahitajika.
 
Wala si mgonjwa wa akili.
Ketengenezwa.
Kaenda pale kwa makubaliano na Kova/Msangi.
Ana ujira wake.
 
Mkuu Kova alikuwa na motivation ipi kuwapatia waandishi hela? Kwa nini hawakusema kuwa at least for the first time amewapatia hela? Sina hakika kama kweli hili tukio (kupeana hela) lina ukweli! Nashindwa kuamini kuwa ni utaratibu huuo, ama ndo utaratibu mpya au inatokana na tukio!
Pia habari za uhakika zinasema kuwa kabla ya kutoa habari hizi, Kova kwa mkono wake mwenyewe aliwagawia hela nyingi waandishi wa habari ili wauaminishe umma kuwa aliyowaeleza ni ya kweli. Hii ni kwa mujibu wa shuhuda aliyemwona kova kwa macho yake mwenyewe.
 
upo kwenye ibada mkuu??

Mh sasa hiyo diagnosis we umeipata wapi? Mania?? delusion??
Hebu tupeni taarifa za uhakika na sio za kuunganisha maneno ya kitaalamu, mania na delusion ambayo hata tafsiri ulizotoa hazipo sahihi.




Nadhani alitaka kusema "Manic depression" Mkuu; ambayo ni hatua ya juu kidogo kutoka level ya Neurosis. Kama unavyojua karibu kila mtu ana kiwango fulani cha Neurosis--hata mimi na wewe tunaweza kupatikana na kiwango fulani cha Neurosis. Manic Depression ipo juu. Ingawa delusions na paranoia (yaani kuamini mambo yasiyokuwa kweli kama kudhani mchawi anakuwinda. au kwamba wewe uneteuliwa na Mungu kuwa rais wa Afrika) zinapatikana zaidi katika watu wenye Schizophrenia, mtu mwenye depression anaweza kupata dilusions na kusema lolote na kufia hilo akiamini ni kweli kabisa. Nadhani mtoa mada unachojaribu kusema ni kwamba njia hii inaweza kutumiwa kama cover-up. Kichaa anaweza kupewa Mic akarekodiwa hata na TV camera akikiri uongo ambao anaamini ni kweli. Na kwa bahati mtu Schizophrenic au mwenye depression tena iliyokomaa kabisa anaweza akawa mtanashati na fundi wa kujieleza usihisi kitu kabisa. Tusubiri tuone ni uongo gani utakuja.
 
Nafikiri huyu jamaa alipewa kazi ambayo baada ya kuifanya wanatafuta njia ya kumtoa kwenye matatizo.
Wanataka tuamini alimuua Dr. Uli kwa sababu ya matatizo ya akili. Baada ya hapo watataka apelekwe hospitali kwa ajili ya matibabu. Am totally tired!!!
 
Back
Top Bottom