fikirikwanza
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 7,452
- 3,065
Hoja ya Mtei kimsingi haijadiliki bila kuona idadi ya wingi tajwa. Kwa mfano kama ni 40 kwa 60 sioni shida na hoja yake inakuwa haina mashiko. Lakini mfano ni kuanzia 30 kwenda chini kwa 70 kwenda juu, nadhani kuna jambo la kufikiria na kurekebisha japo sio kisheria bali kinamna tunavyoishi, yaani hapa TZ kuna Katiba, Sheria, Kanuni/Taratibu na Mazoea.
Ili kujadili kwa kina hoja ya Mtei tunaomba kama kuna mtu anayo orodha kamili aiweke kwa wanaJF
Ili kujadili kwa kina hoja ya Mtei tunaomba kama kuna mtu anayo orodha kamili aiweke kwa wanaJF