Mbunge wa Kigoma Kaskazini-CDM amesema Mzee Edwin Mtei amefilisika kimawazo kwa kauli yake kwamba tume ya Katiba ina Waislam wengi kuliko wakristo.
Source:JAMBO LEO.
Ina maana wakina Mbowe, Dr Slaa, Mnyika, Lissu na uongozi mzimz wa CDM walioona kauli ya Mzee Mtei ina mushkeri nao hawajaona kama watakuja kushurutishwa kufuga midevu? huwaamini kiasi hicho viongozi wako na unamtetea Mtei?Kitu kizuri pekee naweza kukwambia ni kuwa subiri uje kushurutishwa kufuga midevu ndipo ujue nani mpuuzi kati yako na hii tume!!!
Hata Mtei alichoongea ni ukweli mtupu. Just a simple research inaonesha kuwa katika yale majina ya wajumbe wa tume ya katiba waislam ni wengi kuliko wakristo. Zitto kusema mzee Mtei azomewe ni ukosefu wa adabu, ingawa na mzee Mtei kwa hadhi yake hakustahili kuongea kauli kama hizo.Nadhani ZITTO kasema ukweli wake, uasisi sidhani kama ni rungu la kuwanyima watu uhuru wa kutoa maoni
haaa jamani kufuga madevu na tume wapi na wapi?Ina maana wakina Mbowe, Dr Slaa, Mnyika, Lissu na uongozi mzimz wa CDM walioona kauli ya Mzee Mtei ina mushkeri nao hawajaona kama watakuja kushurutishwa kufuga midevu? huwaamini kiasi hicho viongozi wako na unamtetea Mtei? Halafu inaonekana hujui hata hiyo tume inafanya kazi gani masikini............
Mbunge wa Kigoma Kaskazini-CDM amesema Mzee Edwin Mtei amefilisika kimawazo kwa kauli yake kwamba tume ya Katiba ina Waislam wengi kuliko wakristo.
Source:JAMBO LEO.
Mbunge wa Kigoma Kaskazini-CDM amesema Mzee Edwin Mtei amefilisika kimawazo kwa kauli yake kwamba tume ya Katiba ina Waislam wengi kuliko wakristo.
Source:JAMBO LEO.
Zitto omba radhi