JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,442
- 54,991
Mkandara,
..Jasusi alitoa hoja kwamba huenda Mwalimu alichukizwa na kitendo cha Mtei kuwaandalia chai jamaa wa IMF wakati Mwalimu alimwambia waondoke nchini.
..hoja hiyo ya Jasusi ndiyo ilonifanya mimi kuuliza kwanini Mwalimu hakuwaagiza maofisa wake wengine kama Waziri wa Mambo ya Ndani etc wawafukuze nchini hao jamaa wa IMF?
Jasusi,
..lazima tuelewe kwamba Tanzania ni wanachama wa IMF. tulijiunga na shirika hilo wakati Mwalimu yuko madarakani.
..binafsi sidhani kama Mtei alipaswa kuwaacha solemba jamaa wa IMF kama walivyofanyiwa na Mwalimu Nyerere pale Msasani.
..kwa mtizamo wangu, Mwalimu alikuwa hataki kusikia mambo ya devaluation, na Mtei na jamaa wa IMF walikuwa wanaona kwamba we had no way out bila ku-devalue pesa yetu. nadhani hicho ndicho kilichomtibua Mwalimu.
Shwari,
..kuna mahali tulikosea ndiyo maana ikabidi tuende kuomba msaada/ushauri kwa IMF/WB.
..nchi "VIMEO" ndiyo zinazokimbilia kutafuta misaada na mikopo ya IMF na WB.
..kama tungekuwa tunaendesha mambo yetu vizuri wakati wa Mwalimu wala msinge wasikia hao IMF na WB.
..nchi zinazotafuta mikopo IMF na WB ni sawa na watu wenye bad credit, ambao ni risk kuwakopesha. sasa ukishakuwa na bad credit kwa kweli inabidi uwe na nidhamu ya hali ya juu ili kuweza kujikwamua.
..tatizo la nchi yetu siyo ushauri mbaya wa IMF na WB, bali nidhamu ndogo na kukosa uzalendo ktk maamuzi yetu.
..NCHI HII INA MATATIZO MAKUBWA SANA. UJAMAA ULITUSHINDA. UBEPARI NAO UNAELEKEA KUTUSHINDA.
Zakumi,
..kuna mahali Watanzania tulikuwa hatuambiwi ukweli wote.
..nadhani behind the scene mambo yalikuwa hayaendi vizuri.
..yale matatizo ya kiuchumi ya miaka ya mwisho ya utawala wa Mwalimu nahisi ni mlipuko wa matatizo madogo madogo yaliyokuwepo kwa miaka mingi.
..Jasusi alitoa hoja kwamba huenda Mwalimu alichukizwa na kitendo cha Mtei kuwaandalia chai jamaa wa IMF wakati Mwalimu alimwambia waondoke nchini.
..hoja hiyo ya Jasusi ndiyo ilonifanya mimi kuuliza kwanini Mwalimu hakuwaagiza maofisa wake wengine kama Waziri wa Mambo ya Ndani etc wawafukuze nchini hao jamaa wa IMF?
Jasusi,
..lazima tuelewe kwamba Tanzania ni wanachama wa IMF. tulijiunga na shirika hilo wakati Mwalimu yuko madarakani.
..binafsi sidhani kama Mtei alipaswa kuwaacha solemba jamaa wa IMF kama walivyofanyiwa na Mwalimu Nyerere pale Msasani.
..kwa mtizamo wangu, Mwalimu alikuwa hataki kusikia mambo ya devaluation, na Mtei na jamaa wa IMF walikuwa wanaona kwamba we had no way out bila ku-devalue pesa yetu. nadhani hicho ndicho kilichomtibua Mwalimu.
Shwari,
..kuna mahali tulikosea ndiyo maana ikabidi tuende kuomba msaada/ushauri kwa IMF/WB.
..nchi "VIMEO" ndiyo zinazokimbilia kutafuta misaada na mikopo ya IMF na WB.
..kama tungekuwa tunaendesha mambo yetu vizuri wakati wa Mwalimu wala msinge wasikia hao IMF na WB.
..nchi zinazotafuta mikopo IMF na WB ni sawa na watu wenye bad credit, ambao ni risk kuwakopesha. sasa ukishakuwa na bad credit kwa kweli inabidi uwe na nidhamu ya hali ya juu ili kuweza kujikwamua.
..tatizo la nchi yetu siyo ushauri mbaya wa IMF na WB, bali nidhamu ndogo na kukosa uzalendo ktk maamuzi yetu.
..NCHI HII INA MATATIZO MAKUBWA SANA. UJAMAA ULITUSHINDA. UBEPARI NAO UNAELEKEA KUTUSHINDA.
Zakumi,
..kuna mahali Watanzania tulikuwa hatuambiwi ukweli wote.
..nadhani behind the scene mambo yalikuwa hayaendi vizuri.
..yale matatizo ya kiuchumi ya miaka ya mwisho ya utawala wa Mwalimu nahisi ni mlipuko wa matatizo madogo madogo yaliyokuwepo kwa miaka mingi.