Chief Rumanyika
Senior Member
- Dec 29, 2010
- 138
- 0
Haijalishi taasisi gani (ICC) imesema Wa-Tanzania wkupitia TANESCO tukamplipe Dowans Billioni 185, kama hatuwezi kujuzwa wamiliki wake wazi wazi, mkataba wenyewe ulivyokua, na nyaraka zote za kesi, basi sisi kama walipa kodi tunahaki ya kuyagomea malipo hayo.
Lakini, kwa kuwa AG Werema kama msimamizi wa sheria zetu na utekelezaji wake ndio wakwanza kukimbilia kusema DOWANS KULIPWA NI LAZIMA na kwamba Jalada la Wananchi sisi kutaka majibu zaidi anadai kufunga mjadala bila sisi kuridhi, haifai hata kidogo.
HOJA YANGU JUU YA HILI:
Hoja yangu hapa sasa ni kwamba siku SERIKALI YA CCM ikichukua hatua ya kulipa mikataba ya Dowans ambayo hatujaridhika nayo, licha ya madai kwamba ni mali ya CCM kupitia EL na RA kwa ajili ya kuhongea uchaguzi, basi ieleweke kwamba siku hiyo ndiyo WATAKUA WAMEANDIKA RASMI TALAKA TOKOMEA kwetu sisi wapiga kura katika uhai wote wa chama hicho.
Wananchi kutokusikilizwa ni dhambi kubwa, kupuuzwa ni uhaini, na kutokupewa majibu juu ya mambo yanayotuhusu ki-ulipaji kodi ni kutokomeza kabisa uhusiano. CCM angalieni vizuri mtego huu!!!
Lakini, kwa kuwa AG Werema kama msimamizi wa sheria zetu na utekelezaji wake ndio wakwanza kukimbilia kusema DOWANS KULIPWA NI LAZIMA na kwamba Jalada la Wananchi sisi kutaka majibu zaidi anadai kufunga mjadala bila sisi kuridhi, haifai hata kidogo.
HOJA YANGU JUU YA HILI:
Hoja yangu hapa sasa ni kwamba siku SERIKALI YA CCM ikichukua hatua ya kulipa mikataba ya Dowans ambayo hatujaridhika nayo, licha ya madai kwamba ni mali ya CCM kupitia EL na RA kwa ajili ya kuhongea uchaguzi, basi ieleweke kwamba siku hiyo ndiyo WATAKUA WAMEANDIKA RASMI TALAKA TOKOMEA kwetu sisi wapiga kura katika uhai wote wa chama hicho.
Wananchi kutokusikilizwa ni dhambi kubwa, kupuuzwa ni uhaini, na kutokupewa majibu juu ya mambo yanayotuhusu ki-ulipaji kodi ni kutokomeza kabisa uhusiano. CCM angalieni vizuri mtego huu!!!