Alfred Daud Pigangoma
JF-Expert Member
- Mar 30, 2009
- 1,826
- 966
Sasa ni dhahiri kuwa huyu kijana anakoelekea ni pabaya kwani mbali na kuwakosanisha vijana ndani ya CHADEMA na wengine kunukuliwa visivyo na magazeti sasa imenipelekea kufuatilia anuani yake ya twitter na yafuatayo ndo niliyoyakut; Zitto Zuberi Kabwe ‏@zittokabwe"@Semkae: @Decenttz @zittokabwe @mamaisara kweli CCM italaumiwa kila kitu?" Kwa sababu wanafanya kila kitu, Zitto Zuberi Kabwe ‏@zittokabwe
"@mamaisara: Mh. mbona wanakuandama sana huku Jamii forums kuwa unasaliti CDM kulikoni wakati vijana wengi tuko nyuma yako?" Sijui. Waulize
MY TAKE: Kama kweli huyu Mtegemewa wa mafisadi kachukua nafasi hii ya kuamua kusaidia mafisadi kama walivyofanya wengine kwa NCCR-MAGEUZI, CUF, na kwingineko katika chaguzi mbalimbali nchini basi tumuepuke.
"@mamaisara: Mh. mbona wanakuandama sana huku Jamii forums kuwa unasaliti CDM kulikoni wakati vijana wengi tuko nyuma yako?" Sijui. Waulize
MY TAKE: Kama kweli huyu Mtegemewa wa mafisadi kachukua nafasi hii ya kuamua kusaidia mafisadi kama walivyofanya wengine kwa NCCR-MAGEUZI, CUF, na kwingineko katika chaguzi mbalimbali nchini basi tumuepuke.