Kitendo cha professor Baregu kutokutumia biblia au Quran wakati wa kuapishwa sioni kama ni tafsiri ya kuwa mpagani.
1,Naona fasihi yakutokuwa upande wowote wa dini wakati wa mchakato. wa katiba ilakusimamia usawa.
2.Kuapa kwa kutumia vitabu vya Mungu hakumaanishi atakuwa sahihi wakati wote kwa hiyo kwa upande mwingine utakuwa unamkufuru Mungu.
3,WAKRISTO HAWA RUHUSIWI KUAPA KWA KITU CHOCHOTE KAMA NDIO SEMA NDIO KAMA HAPANA SEMA HAPANA.MATHAYO 5;33-37.Kuna ushahidi. wa baadhi ya wachungaji wamewahi kuzigomea hata mahakama na kutumia njia nyingine kisheria lakini haikuwa tafsiri ya kuwa mpagani.Lkn kwa baadhi ya wachungaji wamasilahi hilo nikama hawalioni kama ni kosa.
4,mafisadi waliapa kwa vitabu hivyo hivyo lakini wakatuibia.
Chamsingi uwajibikaji,utu, haki na usawa bila kuegemea upande wowote kwa masilahi ya taifa.
1,Naona fasihi yakutokuwa upande wowote wa dini wakati wa mchakato. wa katiba ilakusimamia usawa.
2.Kuapa kwa kutumia vitabu vya Mungu hakumaanishi atakuwa sahihi wakati wote kwa hiyo kwa upande mwingine utakuwa unamkufuru Mungu.
3,WAKRISTO HAWA RUHUSIWI KUAPA KWA KITU CHOCHOTE KAMA NDIO SEMA NDIO KAMA HAPANA SEMA HAPANA.MATHAYO 5;33-37.Kuna ushahidi. wa baadhi ya wachungaji wamewahi kuzigomea hata mahakama na kutumia njia nyingine kisheria lakini haikuwa tafsiri ya kuwa mpagani.Lkn kwa baadhi ya wachungaji wamasilahi hilo nikama hawalioni kama ni kosa.
4,mafisadi waliapa kwa vitabu hivyo hivyo lakini wakatuibia.
Chamsingi uwajibikaji,utu, haki na usawa bila kuegemea upande wowote kwa masilahi ya taifa.