Mtazamo wa Gado kuhusu hali ya elimu Tanzania

Ngambo Ngali

JF-Expert Member
Apr 17, 2009
3,517
1,359
Nimeona cartoon ya Gado ( Godfrey Mwapembwa) kwenye gazeti la East Africa la wiki hii, nimejaribu kutundika sina ufahamu huo.

Cartoon hiyo ni zaidi ya kejeli na fedheha kwa watanzania
 
Hakuna cha kejeli hapo,yuko sahihi kabisa..elimu ya tz kwa sasa iko taaban kabisa,na hatua za dharura zicpo chukuliwa hii nchi itakua na wasomi wa vyeti tu.
 
Nimeona cartoon ya Gado ( Godfrey Mwapembwa) kwenye gazeti la East Africa la wiki hii, nimejaribu kutundika sina ufahamu huo.

Cartoon hiyo ni zaidi ya kejeli na fedheha kwa watanzania

Utaisadia jamii ya watz na hususani wewe binafsi iwapo utabainisha kejeli na fedheha ktk hiyo cartoon.
 
Utaisadia jamii ya watz na hususani wewe binafsi iwapo utabainisha kejeli na fedheha ktk hiyo cartoon.

Ndio maana nimesema nimejaribu kuweka cartoon hiyo lakini nimeshindwa, cartoon haiwezi kusimuliwa ila inakuwa percieved na mtu kama anavyoweza kuielewa, nikianza kubainisha naweza kupotosha maudhui ya cartoon hiyo
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom