Mtazamo wa akina dada kwa wanaume

mchakachuaji192

JF-Expert Member
Oct 19, 2010
366
68
Nimekuwa nikijiuliza mara kwa mara mdada anapokutana na kijana wa kiume anakuwa na mtazamo gani ndani ya nafsi yake? Kuna hadithi moja ya kijana na binti walikuwa wako katika maandalizi ya mitihani yao ya kumaliza mwaka wakawa wako kwenye discussion mda umeenda wakajikuta ni usiku na binti hawezi kwenda anapoishi wakakubaliana na jamaa alale tu pale kwake na keshi wataamkia shuleni kwenye pepa walipolala ktkt wakaweka mito ili kutengenisha wa huku asije kwa mwenzie, Mungu akasaidia kukawa kumekucha ila walichelewa kuamka na walipofika shule wakakuta geti limefungwa na hawakuwa na la kufanya, yule kijana wa kiume akatoa wazo turuke ukuta jibu lililotoka kwa binti likuwa ni hili nyoooooo umeshindwa kuruka ukuta mdogo ule ndio utaweza kuruka huu mkubwa?
Hivi hawa akina dada huwa vichwani mwao mnakuwa na mawazo gani katika hali kama hii? Hii ni hadithi inawezekana umeshawahi kuisikia lakini tuiwekee uhalisia tuone inavyo-apply in real world
 
Wanategemea response kutoka kwako na wanajaribu lolote ushawishike lkn ikishindikana kidume kufunguka,wanakuchukulia bweghe tu.
 
Inastajabisha kw mtizamo wa wanawake wengi ukikutana naye ni kuwa unampenda

mmmh......nilikuwa nadhani ningependa kukushauri kama hutajali ubadili user name yako lakini sijui kama utakubali......samahani lakini kama nitakuwa nimekukwaza
 
Dah wanawake ni watu wa ajabu sana. ila kiuhalisia mwanamke anamatamanio makubwa kuliko mwanaume ila2 wanaume ndio wanahuwezo wa kujielezea.
 
Kiufupi mungu kaumba mwanaume awaze vikubwa kwanza na vidogo vifuatie baadae. Na mwanamke wameumbwa awaze vidogo kwanza, halafu vikubwa. Kwa mfano mwanamke mawazo yake anunue kitanda, furniture kwanza alafu ndio ajenge nyumba. Wakati mwanamme mawazo yake aanze kujenga nyumba kwanza alafu ndio anunue furniture. Hata kipato, mfano: pesa za mwanamke zitaishia ktk nguo na vipambo, na ikiwa mwanamme atakubali kulala chini na pesa zake aziweke ili anunue gari.

Mawazo ya mwanamme na mwanamke ni opposite.
 
wanawake saa zingine wanakuwa na fikra potofu unakuta mwingine anajiaminisha kabisa kwamba yeye mwanaume yeyote atakayemtaka anaweza kumpata..sasa akikutana na mtu asiye na interest nae anamwona kama *****(kushney) tu..
 
Nimekuwa nikijiuliza mara kwa mara mdada anapokutana na kijana wa kiume anakuwa na mtazamo gani ndani ya nafsi yake? Kuna hadithi moja ya kijana na binti walikuwa wako katika maandalizi ya mitihani yao ya kumaliza mwaka wakawa wako kwenye discussion mda umeenda wakajikuta ni usiku na binti hawezi kwenda anapoishi wakakubaliana na jamaa alale tu pale kwake na keshi wataamkia shuleni kwenye pepa walipolala ktkt wakaweka mito ili kutengenisha wa huku asije kwa mwenzie, Mungu akasaidia kukawa kumekucha ila walichelewa kuamka na walipofika shule wakakuta geti limefungwa na hawakuwa na la kufanya, yule kijana wa kiume akatoa wazo turuke ukuta jibu lililotoka kwa binti likuwa ni hili nyoooooo umeshindwa kuruka ukuta mdogo ule ndio utaweza kuruka huu mkubwa?
Hivi hawa akina dada huwa vichwani mwao mnakuwa na mawazo gani katika hali kama hii? Hii ni hadithi inawezekana umeshawahi kuisikia lakini tuiwekee uhalisia tuone inavyo-apply in real world


kweli atakayeamini hili gumzo basi ataamini lolote lile atakaloelezwa..........................lakini tutegemee nini kutoka kwa mchakachuaji mwenye nambari ya 192
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom