Mtazamo: Mwenge unachangia maambukizi ya ukimwi, ni nini faida yake

Jumakidogo

R I P
Jul 16, 2009
1,851
417
Pamoja na kutumia gharama kubwa na pesa nyingi za walipa kodi wa nchi hii. Mwenge una madhara makubwa kwa jamii hasa katika suala la maambukizi ya ukimwi. Katika vijiji ambavyo mwenge unapolazwa huwa kuna matukio mengi ya ngono nzembe kutokana na wakimbiza mwenge kuchangamkia wanawake katika vijiji hivyo. Sasa hapa tujiulize, mwenge huu hulala vijiji vingapi tangu unapowashwa mpaka unapozimwa. Nimewahi kukimbiza mwenge katika wilaya ya Manyoni. Hali ilikuwa mbaya sana, kila mtu aliona ufahari kulala na mwanamke katika vijiji ambavyo mwenge ulilala. Naona mwenge umepitwa na wakati. Ni nini faida yake kwa sasa?
 
Pamoja na kutumia gharama kubwa na pesa nyingi za walipa kodi wa nchi hii. Mwenge una madhara makubwa kwa jamii hasa katika suala la maambukizi ya ukimwi. Katika vijiji ambavyo mwenge unapolazwa huwa kuna matukio mengi ya ngono nzembe kutokana na wakimbiza mwenge kuchangamkia wanawake katika vijiji hivyo. Sasa hapa tujiulize, mwenge huu hulala vijiji vingapi tangu unapowashwa mpaka unapozimwa. Nimewahi kukimbiza mwenge katika wilaya ya Manyoni. Hali ilikuwa mbaya sana, kila mtu aliona ufahari kulala na mwanamke katika vijiji ambavyo mwenge ulilala. Naona mwenge umepitwa na wakati. Ni nini faida yake kwa sasa?

Kwanza nakushauri usitoe hukumu kabla ya kujiuliza masuali haya yafuatayo
1. Lengo la Mwenge wa Uhuru kukimbizwa nchi nzima ni nini?
2.Je, hayo malengo yanafaa(yana manufaa kwa Taifa?) usiangalie manufaa yake kwako. Angalia katika ngazi ya Taifa
3. Je, hayo malengo bado tunayahitaji kwa muda huu?
4.UKIWI unasababishwa na nini?Je, Mwenge ni miongoni mwa majiubu yako?
5. Je, nchi zisizo kimbiza Mwenge, kuna UKIMWI?kama upo sababu ni nini?
6. Je, Wakimbiza Mwenge unao "watuhumu" ni waathirika wa UKIMWI na ndiyo wanao eneza UKIMWI?
7.Tukiacha kukimbiza Mwenge leo, UKIMWI utaisha Tanzania?

Naomba uchambue hayo masuali, then, utaamua kuukimbiza au kutokuukimbiza Mwenge. Kwangu mie ni wa Manufaa saana tu ila hatuutumii unavyotakiwa!
 
upo sawa kabisa kinachonishangaza wanakesha ili iweje
kwa mtu mwenye akili hawezi kukesha kisa mwenge huku wakitunia fedha nyingi
kunannchi gani duniani wana ujinga kama huu kama sio Tanganyika pekee??
 
hivi ww kwa akili yako huu mwenge tangu umeujua umeleta maendeleo gani?
kama kuzindua miradi hata mkuu wa wialaya husika atazindua sio lazima mwenge
tunaendekeza umaskini kwa kuabudu dude lisilosema.wauweke makumbusho
Kwanza nakushauri usitoe hukumu kabla ya kujiuliza masuali haya yafuatayo
1. Lengo la Mwenge wa Uhuru kukimbizwa nchi nzima ni nini?
2.Je, hayo malengo yanafaa(yana manufaa kwa Taifa?) usiangalie manufaa yake kwako. Angalia katika ngazi ya Taifa
3. Je, hayo malengo bado tunayahitaji kwa muda huu?
4.UKIWI unasababishwa na nini?Je, Mwenge ni miongoni mwa majiubu yako?
5. Je, nchi zisizo kimbiza Mwenge, kuna UKIMWI?kama upo sababu ni nini?
6. Je, Wakimbiza Mwenge unao "watuhumu" ni waathirika wa UKIMWI na ndiyo wanao eneza UKIMWI?
7.Tukiacha kukimbiza Mwenge leo, UKIMWI utaisha Tanzania?

Naomba uchambue hayo masuali, then, utaamua kuukimbiza au kutokuukimbiza Mwenge. Kwangu mie ni wa Manufaa saana tu ila hatuutumii unavyotakiwa!
 
Kwanza nakushauri usitoe hukumu kabla ya kujiuliza masuali haya yafuatayo
1. Lengo la Mwenge wa Uhuru kukimbizwa nchi nzima ni nini?
2.Je, hayo malengo yanafaa(yana manufaa kwa Taifa?) usiangalie manufaa yake kwako. Angalia katika ngazi ya Taifa
3. Je, hayo malengo bado tunayahitaji kwa muda huu?
4.UKIWI unasababishwa na nini?Je, Mwenge ni miongoni mwa majiubu yako?
5. Je, nchi zisizo kimbiza Mwenge, kuna UKIMWI?kama upo sababu ni nini?
6. Je, Wakimbiza Mwenge unao "watuhumu" ni waathirika wa UKIMWI na ndiyo wanao eneza UKIMWI?
7.Tukiacha kukimbiza Mwenge leo, UKIMWI utaisha Tanzania?

Naomba uchambue hayo masuali, then, utaamua kuukimbiza au kutokuukimbiza Mwenge. Kwangu mie ni wa Manufaa saana tu ila hatuutumii unavyotakiwa!

Wewe unaonekana ni mchambuzi mwenye maslahi na mwenge. Naomba unipe faida za mwenge tangu ulipowashwa kwa mara ya kwanza mpaka leo. Then ndiyo ntatoa mchanganuo wa hoja yako.
 
Katika mwenge hasa pale unapolala,kunakuwa na mkesha wa muziki,na watu hu2mia nafasi hiyo kufanya mapenzi ktk na hii huchangia maambukizi.
Kwa faida hata mie siioni zaidi ya kuandika mamilioni ya shilingi ktk bajeti na kuyatafuna!
 
Wewe unaonekana ni mchambuzi mwenye maslahi na mwenge. Naomba unipe faida za mwenge tangu ulipowashwa kwa mara ya kwanza mpaka leo. Then ndiyo ntatoa mchanganuo wa hoja yako.

Wewe usiyeona faida ndo utoe hasara kwanza za Mwenge toka Uhuru. Halafu nitakupa shule baadaye. Mie sina maslahi yoyote na Mwenge kibinafsi ila ninayo Kitaifa.
 
Wewe usiyeona faida ndo utoe hasara kwanza za Mwenge toka Uhuru. Halafu nitakupa shule baadaye. Mie sina maslahi yoyote na Mwenge kibinafsi ila ninayo Kitaifa.
Aaa! Shit, unataka hasara gani tena? Kusambaza na kueneza ukimwi ni moja ya hasara hizo. Unajua kuwa pesa nyingi sana inatumika katika zoezi zima la kukimbiza mwenge? Je, pesa hizo unaweza kulinganisha na majiwe ya msingi ambayo kiongozi wa mbio za mwenge huweka kwenye miradi ya kichovu? Viposho hivyo vinakudanganya ndugu yangu.
 
hivi ww kwa akili yako huu mwenge tangu umeujua umeleta maendeleo gani?
kama kuzindua miradi hata mkuu wa wialaya husika atazindua sio lazima mwenge
tunaendekeza umaskini kwa kuabudu dude lisilosema.wauweke makumbusho
Daaah nimekukubal kwa hzo facts

i phone-6
 
dili la wapigaji tu

/Akifa shekhe kazi ya Mungu/
/Akifa mlevi sababu ya Pombe/
 
Pamoja na kutumia gharama kubwa na pesa nyingi za walipa kodi wa nchi hii. Mwenge una madhara makubwa kwa jamii hasa katika suala la maambukizi ya ukimwi. Katika vijiji ambavyo mwenge unapolazwa huwa kuna matukio mengi ya ngono nzembe kutokana na wakimbiza mwenge kuchangamkia wanawake katika vijiji hivyo. Sasa hapa tujiulize, mwenge huu hulala vijiji vingapi tangu unapowashwa mpaka unapozimwa. Nimewahi kukimbiza mwenge katika wilaya ya Manyoni. Hali ilikuwa mbaya sana, kila mtu aliona ufahari kulala na mwanamke katika vijiji ambavyo mwenge ulilala. Naona mwenge umepitwa na wakati. Ni nini faida yake kwa sasa?
Hicho chama kinachopenda mwenge ni wazinzi kupindukia, hawawezi kuelewa kuufukia makumbusho!
 
Back
Top Bottom