Sema Chilo
JF-Expert Member
- Mar 24, 2012
- 324
- 24
Hii taarifa ya PASCO ina mtego sana huyu pasco si mwema kwa Makamanda kwani anabagua kanda kitu ambacho kwa cc wadanganyika kamwe tusikukubali
I am sorry to say this, you seem to be discriminatory. You think change can came as a result of dividing this country into sections of tribes and regions. I am not sure which political party stands for such dirty politics as you've displayed in your thread. At no single time in history of our country we have ever conducted any census categorizing people according to their tribes. The lake zone as you have put in your thread is inhabited by a large number of tribes, probably the only country section lived by a more diverse community than any other part of our country. To say that Sukumas are 6 million is a skewed opinion made purposely to propagate your tribalistic thinking. I will be very sorry if there is any political party sympathizing with such politically corrupt inclinations nor strategies to effect change in this country by dividing it on tribal sections. Any political party thinking this way will be hastening its demise.
True political change in this country will only came through independent voters (who are more in numbers than a total sum of all citizens with membership in the existing political parties). These are people who sway instantaneously, they are strongly influenced by current issues and reality on the ground during the material time. These include the young and elderlies, men and women of all classes and ages from all geographical areas of this country. Many who voted in the recent by-election were elderlies and the opposition side won. So discriminating our population on bases of gender, age, etc. is immaterial. If a political party lacks support in certain sections of the country the reason isn't because of the predominant age or tribe residing there. Rather it may be due to the fact that the political party in question hasn't done its homework there. Ref to the Chadema Operation Sangara in Lake zone prior to 2010 election. Such and other more creative strategies will improve voters/civic education. We need to see more of that rather than your cheap tribal sentiments you have put across.
umeanza vizuri umemaliza vibaya
Mtazamo wangu ni kuwa hatakama tangazo hilo lililotolewa na UVCCM Mkoa wa Pwani liliwakera lakini hao ndugu zetu hawajaonyesha uvumilivu hebu angalia toka tumepata uhuru nchi hii Mikoa hiyo miwili Arusha na Kilimanjaro imetoa Mawaziri Wakuu 4 tena katika Jimbo moja tu wametoka 2,Marehemu Edward Sokoine na Edward Lowasa, Frederick Sumaye katoka Manyara lakini bado ilikuwa sehemu ya Arusha na David Msuya katoka Kilimanjaro tena huyu Msuya alitoa kauli za kebehi kwenye Bunge lakini hao ndugu zake hawakumkemea kwa kuwa alikuwa wa kwao hivi mbona sehemu nyingine katika Tanzania watu walikuwa watulivu? Madaraka katika Nchi hii ni ya kugawana wao hawana hati miliki na uongozi pekee yao wasituchafulie hali ya hewa!Pasco hayo unayoyaona yanachagizwa na tamko la UVCCM la Pwani kuwa rais hatatoka Kaskazini. Kanda ya Kaskazini ni kama wanasema ngoja tuone, usije shangaa madiwani wengi kama si wote wa Arusha, Kilimanjaro na Manyara kuisusa CCM.
Leo Pasco nadhani ulitulia wakati unazipanga point zako,
Uchambuzi wako ni makini na ninakubaliana na wewe licha ya uswahiba wako na Lowasa sidhani kama umemdefend kuhusu jimbo la Monduli ni kweli Lowasa pale amejenga mizizi na ni yeye ndiye mwenye ushawishi mkubwa wa kumu endorse next Mp kama yeye Lowasa hatogombea tena ubunge
Kuhusu CCM kuchokwa hili wala halihitaji uwe Political Analyst na uzuri wake hata viongozi waandamizi wanalifahamu hili na ndio maana sasa chama kinajiendesha katika mfumo wa Auto Pilot.
Nikiangalia kuhusu kanda ya , Hii mikoa ya Mara, Shinyanga na Mara hapa somo limeshaeleweka na hasa watu wa Mara wala hawahitaji hamasa maana wao walishaamuwa siku nyingi kwamba CCM sas basi.
Katika kanda ya Ziwa sehemu ambayo nadhani inapaswa kufanyika kazi ya ziada ni mkoa wa Tabora, hawa wanyamwezi hata siwaelewi elewi akili zao zimekaaje!!
Ukija mkoa wa Kagera hapa napo somo limeeleweka ila bado kuna kazi inatakiwa kufanyika, mfano hai ni Jimbo la Bukoba Mjini matokeo ya Urais aliongoza Dr Slaa, lakini Ubunge akashinda wa CCM Balozi Kagasheki, kwa maono yangu Chadema inaweza kuscore vizuri sana kanda ya ziwa next Election.
Tatizo lililopo mpaka sasa hivi ni huu ukanda wa umakondeni na uzaramoni, huku ndiko kunapaswa kuwaweka sawa wazawa wa maeneo hayo hili waunge mkono na mbaya zaidi CUF hizi ndio ngome zake, maana hakuna siri kwamba sehemu hizo wanaamini kabisa kwamba CUF ni chama cha waislamu na jamii kubwa ni waislamu katika hayo maeneo.
Katika mambo mabaya ya ccm yanayoniudhi kuliko yote ni hili, halafu waziri husika hajaingizwa katika kundi la G8 ya mwaka huu. Hii ni mbaya kulika hata wakati wa ukoloni. kwa mfano matokeo ya kidato cha nne yaliyopita, Daraja la kwanza hadi la tatu 9% daraja la nne na sifuri 91% halafu tunatarajia nchi iwe na maendeleo chanya kwa takwimu za namna hii? sipendi uongozi tulionao kwa vile hili hawalizungumzii, hata kambi ya upinzani bungeni sijasikia wakikemea hili, tunajenga Tanzania ya namna gani? nimekasirika kidogo tu ningetukana lakini kwa bahati nzuri sijalelewa hivyo kama kibajaji.:embarrassed1:wanaichukia ccm kwa sababu tanzania inarudi nyuma -ve development.eg mtoto kafaulu darasa la 7 hajui reading,writting
Wanabodi,
Kama kawaida yangu, nipatapo fursa, hupita huku na kule na kubadilishana mawazo na watu mbalimbali wa kada tofauti. Kwa takriban siku 3 zilizopita, nimepata fursa ya kutembelea mikoa ya Kilimanjaro na Arusha ambayo ndiyo inayo dorminate Kanda ya Kaskazini, kiukweli CCM Imechokwa mpaka basi!.
Siku zote nimekuwa nikisema humu, CCM imekuwa ikichaguliwa na wengi sio kwa sababu ya kupendwa au kukubalika sana, bali kwa mazoea tuu wengi wakiwa ndicho chama pekee walichokifahamu tangu wamezaliwa, na wengine wakikichagua CCM kama asante ya kutuletea uhuru kupitia TANU, na idadi kubwa ya walio vijijini, wamekuwa wakiichagua CCM kwa ignorance tuu ya elimu ya uraia!. Sasa wale wanaichagua CCM kama asante ya kutupatia uhuru, ni oldguard, wanazidi kupungua na wachache waliobakia they days are numbered!. Wale wengi waliokuwa wakiichagua kwa ignorance, sasa wameamka!.
Kwa mujibu wa kada mbalimbali nilozungumza nao, wamethibitisha kuwa hakuna jinsi Ole Sendeka, Ole Medeye na Ole Nyaguro wataweza kusalimika, sehemu salama mpaka sasa ni Jimbo la Monduli tuu!.
Kama kasi ya upepo wa mwamko kama Kanda ya Kaskazini, utaingia kanda ya Ziwa kwa kasi hiyo hiyo, then hakuna jinsi yoyote ya kuiokoa CCM isipigwe mwereka uchaguzi wa 2015!.
Determinant ya nani anakuwa rais wa nchi hii, ni wapiga kura wa Kanda ya Ziwa ambayo ndiyo inayoongoza kwa idadi kubwa ya watu!. Kati ya watu milioni 40 wa sensa ya mwaka 2002 kwa Tanzania yenye makabila 120, Wasukuma peke yao wako milioni 6!. Sasa ukiwajumlisha na Kanda ya Kaskazini, hata kama mikoa yote iliyobakia wataipigia kura CCM, bado kwa kanda hizo mbili pekee, zinatosha kabisa kuipiga chini CCM!.
Mwelekeo huu ni uthibitisho kuwa ukombozi wa kweli wa pili wa Mtanzania, sio ndoto tena, ni kitu ambacho kinawezekana!.
Natoa mwito kwa Watanzania wenye mapenzi mema na nchi yetu, tusiendekeze hizi siasa za chuki za kukichukia chama fulani bila sababu za msingi ya chuki hiyo, au kukipenda na kikishabikia chama fulani kwa upenzi tuu, matokeo ya mwisho ya siasa hizi ni kujengeana chuki zisizo na sababu!. Tupingane bila kupigana, tutofautiane kisiasa bila kuchukiana bali tupingane huku tukipendana!.
Hata mimi uchaguzi wa Arumeru, nilisimama na Sioi, tumekutana na Nasari pale Dodoma, tumekumbatiana, na kiukweli kutoka moyoni mwangu, sina chuki na Nasari, namkubali kwa dhati japo namhurumia Sioi kwa sababu ni rafiki!.
Nyie watu wa Kanda ya Kaskazini, msiichukie hivyo CCM, kwani pamoja na mabaya yake, pia kuna mema mengi imelifanyia taifa hili!.
Namalizia kwa kusisitiza, huu ni mtazamo tuu!
Wasalaam.
Pasco
Arusha.
Hii taarifa ya PASCO ina mtego sana huyu pasco si mwema kwa Makamanda kwani anabagua kanda kitu ambacho kwa cc wadanganyika kamwe tusikukubali
Naona wewe una mawazo ya uongozi wa kupewa kutokana na sehemu unayotoka,Mtazamo wangu ni kuwa hatakama tangazo hilo lililotolewa na UVCCM Mkoa wa Pwani liliwakera lakini hao ndugu zetu hawajaonyesha uvumilivu hebu angalia toka tumepata uhuru nchi hii Mikoa hiyo miwili Arusha na Kilimanjaro imetoa Mawaziri Wakuu 4 tena katika Jimbo moja tu wametoka 2,Marehemu Edward Sokoine na Edward Lowasa, Frederick Sumaye katoka Manyara lakini bado ilikuwa sehemu ya Arusha na David Msuya katoka Kilimanjaro tena huyu Msuya alitoa kauli za kebehi kwenye Bunge lakini hao ndugu zake hawakumkemea kwa kuwa alikuwa wa kwao hivi mbona sehemu nyingine katika Tanzania watu walikuwa watulivu? Madaraka katika Nchi hii ni ya kugawana wao hawana hati miliki na uongozi pekee yao wasituchafulie hali ya hewa!
Mtazamo wangu ni kuwa hatakama tangazo hilo lililotolewa na UVCCM Mkoa wa Pwani liliwakera lakini hao ndugu zetu hawajaonyesha uvumilivu hebu angalia toka tumepata uhuru nchi hii Mikoa hiyo miwili Arusha na Kilimanjaro imetoa Mawaziri Wakuu 4 tena katika Jimbo moja tu wametoka 2,Marehemu Edward Sokoine na Edward Lowasa, Frederick Sumaye katoka Manyara lakini bado ilikuwa sehemu ya Arusha na David Msuya katoka Kilimanjaro tena huyu Msuya alitoa kauli za kebehi kwenye Bunge lakini hao ndugu zake hawakumkemea kwa kuwa alikuwa wa kwao hivi mbona sehemu nyingine katika Tanzania watu walikuwa watulivu? Madaraka katika Nchi hii ni ya kugawana wao hawana hati miliki na uongozi pekee yao wasituchafulie hali ya hewa!
Naombeni nijibu baadhi ya hoja nikianzia na hili la ubaguzi wa ukanda, ukabila na udini.
Facts are sturbon things na huu ni ukweli mchungu ambao Watanzania lazima tuukubali, tuumeze ndipo tusonge mbele!.
Unamaanisha Chadema wakijipanga watazoa kura Pemba?. Jee unazijua sababu zinazopelekea CCM kushindwa kupata hata kiti kimoja Pemba?. Kwa hiyo Chadema wakijipanga watavuna majimbo Pemba!.
Hivi unayo taarifaa kama sio Nyerere kufuta mitihani ya Cambridge kwa pass mark moja nchi nzima, shule zote za sekondari na vyuo vyote vingejaa watu wa makabila fulani fulani tuu?!. Na kuna makabila fulani fulani wangeishia shule za msingi tuu! Utake usitake sababu zipo na ni facts!. You can't deny facts!. Jee hizo sababu ni za kipuuzi?.
Sisi sote ni Watanzania na nchi yetu ni moja, jee unajua kuna watu wa dini fulani fulani wamepata fursa za kujiendeleza kielimu kuliko dini fulani fulani?. Unazijua sababu?. Sababu hizo ni facts!. Jee nazo ni upuuzi?.
Unajua moto nyikani huanza vipi?. Siku zote moto wa nyika huanzishwa na cheche moja tuu na kuenezwa na upepo. Unajua cheche ikianzia upande tofouti na upepo unavyovuma moto huo huzimika papo hapo!.
Kwenye siasa kuna kitu kinaitwa ngome. Ngome ndipo pale ambapo umeota mizizi na unapoanzishia cheche ya moto wa nyika yako ambapo utasambaa!.
CUF wana ngome yao na mtaji wao waliowekeza na ndio maana wanavuna walichopanda!. CDM nao wana ngome yao na mtaji wao ni watu. CCM kwa vile kilikuwa chama tawala chenyewe kote ni ngome zake na mtaji wake ni mtandao wake ulioenea hadi vijijini. Ili kuleta mageuzi ya kweli ni lazima waokombe huo mtaji wa CCM na ili kuukomba lazima moto wako ukauanzishie kwenye ngome yako ndipo usambae kote!.
Kubali kataa siasa za ukabila zipo ndio maana kuna makabila fulani hawawezi kuukwa urais wa nchi hii no matter how good they are!.
Huu sio uongo ni bitter truth ambazo lazima tukabiliane nazo kwa kuzi face na sio ni deny kwa kukanusha as if they don't exist!.
Lets face the bitter truth kwa kumeza the bitter pill ili kuutibu huu ugonjwa wa ukanda, udini na ukabila!.
Mimi binafsi ni muumini wa ukweli na hivyo naamini ukanda, ukabila na udini, upo kwenye siasa za Tanzania na dawa yake ni to set a thief to catch a thief, tuutumie ukabila huo huo, udini huo huo na ukanda huo huo kuutibu ugonjwa huo huo!.
Pasco!.
Naombeni nijibu baadhi ya hoja nikianzia na hili la ubaguzi wa ukanda, ukabila na udini.
Facts are sturbon things na huu ni ukweli mchungu ambao Watanzania lazima tuukubali, tuumeze ndipo tusonge mbele!.
Unamaanisha Chadema wakijipanga watazoa kura Pemba?. Jee unazijua sababu zinazopelekea CCM kushindwa kupata hata kiti kimoja Pemba?. Kwa hiyo Chadema wakijipanga watavuna majimbo Pemba!.
Hivi unayo taarifaa kama sio Nyerere kufuta mitihani ya Cambridge kwa pass mark moja nchi nzima, shule zote za sekondari na vyuo vyote vingejaa watu wa makabila fulani fulani tuu?!. Na kuna makabila fulani fulani wangeishia shule za msingi tuu! Utake usitake sababu zipo na ni facts!. You can't deny facts!. Jee hizo sababu ni za kipuuzi?.
Sisi sote ni Watanzania na nchi yetu ni moja, jee unajua kuna watu wa dini fulani fulani wamepata fursa za kujiendeleza kielimu kuliko dini fulani fulani?. Unazijua sababu?. Sababu hizo ni facts!. Jee nazo ni upuuzi?.
Unajua moto nyikani huanza vipi?. Siku zote moto wa nyika huanzishwa na cheche moja tuu na kuenezwa na upepo. Unajua cheche ikianzia upande tofouti na upepo unavyovuma moto huo huzimika papo hapo!.
Kwenye siasa kuna kitu kinaitwa ngome. Ngome ndipo pale ambapo umeota mizizi na unapoanzishia cheche ya moto wa nyika yako ambapo utasambaa!.
CUF wana ngome yao na mtaji wao waliowekeza na ndio maana wanavuna walichopanda!. CDM nao wana ngome yao na mtaji wao ni watu. CCM kwa vile kilikuwa chama tawala chenyewe kote ni ngome zake na mtaji wake ni mtandao wake ulioenea hadi vijijini. Ili kuleta mageuzi ya kweli ni lazima waokombe huo mtaji wa CCM na ili kuukomba lazima moto wako ukauanzishie kwenye ngome yako ndipo usambae kote!.
Kubali kataa siasa za ukabila zipo ndio maana kuna makabila fulani hawawezi kuukwa urais wa nchi hii no matter how good they are!.
Huu sio uongo ni bitter truth ambazo lazima tukabiliane nazo kwa kuzi face na sio ni deny kwa kukanusha as if they don't exist!.
Lets face the bitter truth kwa kumeza the bitter pill ili kuutibu huu ugonjwa wa ukanda, udini na ukabila!.
Mimi binafsi ni muumini wa ukweli na hivyo naamini ukanda, ukabila na udini, upo kwenye siasa za Tanzania na dawa yake ni to set a thief to catch a thief, tuutumie ukabila huo huo, udini huo huo na ukanda huo huo kuutibu ugonjwa huo huo!.
Pasco!.
... kuhusu masuala ya kufutwa kwa mitihani ya Cambridge na kuletwa kwa quota system, mimi sidhani kama hatua hizo zimesaidia kuleta equality ktk upatikanaji wa elimu. Tulichotakiwa kufanya ni kuboresha elimu ktk maeneo ya pembezoni na siyo kuwadanganya kwa kuwapa pass mark ndogo ili waweze kuendelea. mimi namjua jamaa mmoja wa "kaskazini" alitumia jina kama lako la ubini kukwepa quota system ya Mwalimu Nyerere!!!