tusiishie kurumbana kwenye mitandao nashauri kuitwa kwa kongamano la kitaifa na kisha waitwe viongozi wote wa dini .kwa upande wa eaislam nashauri waitwe wale wansoaminika kama watetezi wa waislam.wasitumike bakwata kwa kua inaaminika kua bakwata ni tawi latfr kanisa na hivyo kaxi yake ni kudhirikiana na kanisa kuwadhulumu waislam.kongamano liwekwe uwanja wa taifa na lirushwe na vyombo vyote vya habari nchini.huu ndio mwarobaini wa kusaka suluhisho kwa maslahi ya taifa letu.lkn matusi na kulaumiana ni juchichea chuki na hivyo kujitumbukiza wenyewe ktk machafuko ambayo hakuna atakae baki salama.