Ndugu Mtatiro naibu katibu mkuu wa CUF umekua ukisema kuwa CUF imekuwa haitoi posho kwa viongozi na upo CUF siyo kwa ajili ya kuchumia tumbo,Hamad Rashd ndani ya startv kasema ulipewa sh 128million wakat wa kampeni igunga,hilo unasemaje au nini maoni yenu wana JF?