Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaaaa.. panegkua na copy righ law humu ndani ningkuweka ndani kwani hiyo umekopi pesti liveNdio lengo langu haswa, hapo kwenye nyekundu kama ni tusi basi na wewe, dada yako, kaka zako, shangazi yako, mama yako, baba yako, babu yako, watoto wako, mume wako, mjomba yako, baba zako wadogo, haus geli wako, vikombe vyako, kama una paka na yeye pia, bila kumsahau bosi wako wooote MAMBAFU KILA MKIHEMA.
Acha uongo hapo red.Wadau,
Taarifa zilizonifikia hivi punde ni kwamba kamanda mpambanaji wa CUF na kiongozi wa kutumainiwa wa chama hicho JULIUS MTATIRO amepata ajali mbaya eneo la KILOMETA KUMI kutoka Morogoro mjini.
:
Wakubwa, hivi "studs" za tairi ndio nini?Kama nimesoma vizuri chanzo cha ajali hii ni kukatika kwa "studs" za moja ya matairi ya nyuma. Hili halina uhusiano wowote na Morogoro ....
Acha uongo hapo red.
Natoa pole kwa majeruhi wote
Julias ni kamanda ila sio mpambanaji, ni kiongozi ila si wa kutumainiwa
Ni mtu kama mtu like Marytina
Wakubwa, hivi "studs" za tairi ndio nini?
Kwa hiyo kifupi "studs" ni nati zinazoshikilia tairi. Sasa nati moja inayoshikilia tairi ikikatika tairi linachomoka? Habari imekaa kushoto.Ni nut zinazoshikilia taiiri ....