Mkuu MTM, Kwa taarifa ya bibikuku ambayo ameitoa kwa uhakika, ajali imetokea saa11, wanafamilia hao waliosoma thread hii na kuhamaki hawana mawasiliano ya karibu na ndugu yao. Kama hali ya Mtatiro ni nzuri kama ilivyoripotiwa lazima atakuwa ametoa taarifa kwa baadhi ya ndugu. Anyways tunashukuru na zaidi Namshukuru Mungu my Coursemate is doing ok. GET WELL SOON BRO.
Pole sn mwalimu mtatiro,ila siasa nzuri,unamiliki Toyota landcruiser!
Poleni na ajari
Wewe ndiyo Debe tupu kabisa! Watu tunajadili hii ajali kapata binadamu mwezetu wewe unaleta mada zingine za kipuuzi!Alitoka kueneza fitina zake lgunga. Wazee wa lgunga aliwaaga? Isije kuwa kafara. Pole zake bana, ila si mpambanaji wala kamanda ni mnafika!
Ukweli ni kwamba, Mtatiro kapata ajali umbali wa kilomita 15 kabla ya kuingia mjini Morogoro wakati akitokea Igunga na ajali imetokea saa 11 unusu. Hata hivyo Mtatiro yuko salama na amepata majeraha kidogo. Huu ndio Ukweli wa tukio hilo wakubwa!
thanx mdau,ALLAH atamuafu julius MTATIRONYONGEZA: Gari alilokuwamo limeharibika vibaya kama mtoa thread hii alivyoeleza ingawa kidoooogooooo alifanya watu wapate mstuko mkubwa kwa kusema huenda watu waliokuwamo garini wasitoke hai. Mwenyezi Mungu kawanusuru walau hadi wakati huu.
Tuendeleeni na majukumu yetu wakubwa
labda ni wa mkoa wa MARA,= ajali
I had my facts thats y I specificaly directed that 2 MTM. Kama umesoma comments zake utagundua kabisa hao wana familia hawakuwa na taarifa yoyote, nae akaanza kumpa lawama mleta mada, jambo la busara ilikuwa ni kuthibitisha taarifa kwanza kabla ya kutoa lawama kwa mtu ambae it turned out kwamba amewasaidia kupata taarifa ya 'mwanafamilia' taarifa ambazo hawakuwa nazo kabisa.kwenye bold hapo, think n have your facts before you write.
NYONGEZA: Gari alilokuwamo limeharibika vibaya kama mtoa thread hii alivyoeleza ingawa kidoooogooooo alifanya watu wapate mstuko mkubwa kwa kusema huenda watu waliokuwamo garini wasitoke hai. Mwenyezi Mungu kawanusuru walau hadi wakati huu. Tuendeleeni na majukumu yetu wakubwa