Wadau,
Taarifa zilizonifikia hivi punde ni kwamba kamanda mpambanaji wa CUF na kiongozi wa kutumainiwa wa chama hicho JULIUS MTATIRO amepata ajali mbaya eneo la KILOMETA KUMI kutoka Morogoro mjini.
Mtatiro ambaye ni NAIBU KATIBU MKUU wa CHAMA CHA WANANCHI CUF Tanzania bara alikuwa akitokea IGUNGA ambako alikuwa na ziara ya siku 5 kuimarisha ngome ya chama chake katika uchaguzi mdogo ambao utafanyika hivi karibuni.
Inasemekana Mtatiro alikuwa anatumia gari yake aina ya TOYOTA LANDCRUISER yenye namba T438 AZG.
Katika gari hiyo alikuwemo yeye, dereva wake, mlinzi wake na ndugu KATANI AHMED KATANI mgombea mchakachuliwa wa CUF jimbo la TANDAHIMBA.
Taarifa zimenieleza kuwa gari hiyo ilikata STADI za tairi moja ya nyuma na tairi ikachomoka hivyo gari ilipoteza mwelekeo na kupinduka mara tatu.
SHUHUDA aliyenijulisha anasema mamia ya wakazi wa Morogoro wanaelekea eneo la ajali na polisi wamekwishafika eneo la tukio kutoa msaada.
Gari imeharibika vibaya.
Kwa sababu mtatiro alikuwa anatoka kwenye harakati za kuwakomboa watanzania tunamtakia maumivu ya pole yeye na wenzie.
Mungu awe pamoja na mpambanaji huyu anayeaminiwa na maelfu ya watanzania. Mungu amponye na amnusuru na sana. Mungu awalinde wapambanaji wote wa CDM na CUF.
SINA TAARIFA ZINGINE ZAIDI HADI HIVI SASA ILA GARI HAITAMANIKI.
Amina
UPDATES:
Taarifa zilizonifikia hivi punde ni kwamba kamanda mpambanaji wa CUF na kiongozi wa kutumainiwa wa chama hicho JULIUS MTATIRO amepata ajali mbaya eneo la KILOMETA KUMI kutoka Morogoro mjini.
Mtatiro ambaye ni NAIBU KATIBU MKUU wa CHAMA CHA WANANCHI CUF Tanzania bara alikuwa akitokea IGUNGA ambako alikuwa na ziara ya siku 5 kuimarisha ngome ya chama chake katika uchaguzi mdogo ambao utafanyika hivi karibuni.
Inasemekana Mtatiro alikuwa anatumia gari yake aina ya TOYOTA LANDCRUISER yenye namba T438 AZG.
Katika gari hiyo alikuwemo yeye, dereva wake, mlinzi wake na ndugu KATANI AHMED KATANI mgombea mchakachuliwa wa CUF jimbo la TANDAHIMBA.
Taarifa zimenieleza kuwa gari hiyo ilikata STADI za tairi moja ya nyuma na tairi ikachomoka hivyo gari ilipoteza mwelekeo na kupinduka mara tatu.
SHUHUDA aliyenijulisha anasema mamia ya wakazi wa Morogoro wanaelekea eneo la ajali na polisi wamekwishafika eneo la tukio kutoa msaada.
Gari imeharibika vibaya.
Kwa sababu mtatiro alikuwa anatoka kwenye harakati za kuwakomboa watanzania tunamtakia maumivu ya pole yeye na wenzie.
Mungu awe pamoja na mpambanaji huyu anayeaminiwa na maelfu ya watanzania. Mungu amponye na amnusuru na sana. Mungu awalinde wapambanaji wote wa CDM na CUF.
SINA TAARIFA ZINGINE ZAIDI HADI HIVI SASA ILA GARI HAITAMANIKI.
Amina
UPDATES:
Ukweli ni kwamba, Mtatiro kapata ajali umbali wa kilomita 15 kabla ya kuingia mjini Morogoro wakati akitokea Igunga na ajali imetokea saa 11 unusu. Hata hivyo Mtatiro yuko salama na amepata majeraha kidogo. Huu ndio Ukweli wa tukio hilo wakubwa!
NYONGEZA: Gari alilokuwamo limeharibika vibaya kama mtoa thread hii alivyoeleza ingawa kidoooogooooo alifanya watu wapate mstuko mkubwa kwa kusema huenda watu waliokuwamo garini wasitoke hai. Mwenyezi Mungu kawanusuru walau hadi wakati huu.
Tuendeleeni na majukumu yetu wakubwa
Wamepelekwa hospitali, Mungu ni mwema.