Yahaya,Nafuatilia kipindi ingawa nimekikuta mwisho kabisa!Nashauri kwa Mwanza Mabuga asiwepo,kwakweli huwa anaonekana kama anahoja zanyuma yamlango anapohoji wanasiasa waupinzani.Tafuteni mwendesha kipindi mwingine kwaupande wa Mwanza!
Wazazi tatizo la CUF ni mpunga kuna wanao kula na wasio kula na ndoa yao kukubali kuwa Mrs CCM, kushidwa kukubali gharama za kuleta mabadiliko zanzibar na kuamua kupitia shortcut kirahisisi rahisi hicho chama kimekufa na muda si mrefu matatiro atatimuliwa.
kutokana na kuchelewa kwa zaidi ya nusu saa katika kipidni kwa wageni wetu mza kutokana na Jam iliyozuka huko maeneo ya misheni hatukuweza kuzishughulikia vema hoja hizi. Ila kimsingi tumeafikiana kuirejea mada hii Jumapili na michango yote imetunzwa na itasomwa siku hiyo.
Tukutane Jumapili katika matangazo ya Tuongee asubuhi kwa muendelezo wa Mada Hii.
Mtatiro,
Kwa kuwa wengi hawakupata fursa ya kuangalia kipindi, lakini maswali yapo kwenye JF, unaonaje ukitoa majibu ya maswali yaliyoulizwa kwa post maalumu. Kumbuka 99.99% ya Watanzania makini, wapo JF na wanafuatilia mustakabali wa nchi yao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.