Nikupateje
JF-Expert Member
- Dec 22, 2009
- 1,334
- 988
Leo asubuhi baada ya kipindi cha maswali Naibu Spika aliwasomea wabunge kichwa cha habari cha gazeti lililotoka leo ambalo ni MTANZANIA lenye kichwa kisemacho WABUNGE NGUVU YA SODA.
Ndugai alikerwa na habari hiyo kwamba inalidhalilisha bunge japo waandishi wanatumia uhuru wao wa kuhabarisha.
Alisema Bunge ni taasisi inayoheshimiwa na hivyo kuna haja ya kudhibiti uandishi wa aina ile.
Lakini akaongeza kwamba waandishi wanalipinga bunge kwa sababu wabunge wenyewe ndiyo wa kwanza kulipinga bunge lao badala ya kulitetea.
Binafsi sikutaka kusimuliwa nikalikimbilia gazeti hilo na nimeli-scan ili thinkers mjadili.
Scan iko katika page tatu na hivyo kuna document tatu za kudownload yaani Ndugai-01, Ndugai-02 na Ndugai-03.
Nimesita kwanza kuonyesha maoni au hisia zangu ili nisii-bias hii post ili ihukumiwe kwa haki humu JF.
Kazi kwenu.
Ndugai alikerwa na habari hiyo kwamba inalidhalilisha bunge japo waandishi wanatumia uhuru wao wa kuhabarisha.
Alisema Bunge ni taasisi inayoheshimiwa na hivyo kuna haja ya kudhibiti uandishi wa aina ile.
Lakini akaongeza kwamba waandishi wanalipinga bunge kwa sababu wabunge wenyewe ndiyo wa kwanza kulipinga bunge lao badala ya kulitetea.
Binafsi sikutaka kusimuliwa nikalikimbilia gazeti hilo na nimeli-scan ili thinkers mjadili.
Scan iko katika page tatu na hivyo kuna document tatu za kudownload yaani Ndugai-01, Ndugai-02 na Ndugai-03.
Nimesita kwanza kuonyesha maoni au hisia zangu ili nisii-bias hii post ili ihukumiwe kwa haki humu JF.
Kazi kwenu.