Atleast kidogo wewe unaonekana una akili na upo serious.Mtu anauliza swali wengine kazi yao ni utani 2.
Proffesor Kanywanyi-Miaka ya mwanzo ya sitiniWana jf nahitaji kumjua ni nani mtanzania kutunukiwa uprofesa na ni mwaka gani!
Proffesor Kanywanyi-Miaka ya mwanzo ya sitini
Wakuu mpaka leo sijapata jibu la swali hili
Daaa kumbe mpigamsuli ni mkongwe humu me nilidhani wa juzjuz...
Sio kweli, najua mtabisha lakini find out na utakuta kuwa "huyo Malima wenu" hata hiyo Doctorate ya
SABABU MUISLAM
huyu ndie mbaye nilipata kusikia alikwenda kuufanyia uchunguzi mwili wa Sokoine akapata uchizi?ninavyofahamu mimi, kama niko sahihi, Prof. Shaba is the first profesor in Pathology.
Hakupata uchizi. Tatizo nadhani ni kunywa pombe Kali kupita kiasi. Jambo lingine ni baada ya kifo cha mtoto wake aliyetarajia kumaliza masomo ya degree ya pili ya udaktari, professor alikuwa kama mtu aliyechanganyikiwa na hasa siku ya burial ceremony wakati desertation ya marehemu inasomwa.huyu ndie mbaye nilipata kusikia alikwenda kuufanyia uchunguzi mwili wa Sokoine akapata uchizi?