Mtanzania wa kwanza kuupanda Mlima Everest apewa zawadi ya Maziwa!

Alienda kuwakilisha Tanzania au mkoa wa Kilimanjaro? I thought tungeuliza Tanzania tumemfanyia nini!
 
hivi nikwel huyo ndo wakwanza,
au ye ndo wakwanza kutangazwa

Mi nshapanda mara kibao, napenda sana kumkiss demu wangu pale juu kileleni. Kipya hapa ni huyu jamaa wanayemtangaza. Wangesema Mtanzania wa kwanza kupanda mlima Everest bila sababu za msingi
 
Mi nshapanda mara kibao, napenda sana kumkiss demu wangu pale juu kileleni. Kipya hapa ni huyu jamaa wanayemtangaza. Wangesema Mtanzania wa kwanza kupanda mlima Everest bila sababu za msingi

Wewe sababu zako zilikuwa kwenda kujamba tu huko juu na kurudi au sio?
 
Ndio wa kwanza kuupanda hadi kileleni na kurudi salama. Ni achievement ya hali ya juu na anastahiki zaidi ya box la maziwa.

Wewe ulitaka apewe nini mkuu, tigo?

Kila watu wana namna yao ya kupongezana na wao wameona iwe hivyo kama ishara ya kumrudishia afya. Labda nikuulize swali; alipoondoka kwenda huko KILELENI (ambapo mimi na shemeji yako tunafika kila tunapokutana kwenye mambo yetu) aliagana na watu hawa ambao unawashutumu kuwa hawajampongeza vya kutosha?

Yule jamaa aliyemnasa Mzee Rukra makofi si ni mtanzania wa kwanza kufanya hivyo, je ulimpa nini? Au amekutuma uje kumpigia debe baada ya kuona watu hawashobokei mambo yake ya kupanda milima?

Jinsi maisha yalivyopinda na dhiki kuwaandama wananchi, jitu linakurupuka na mambo ya milima hapa.
 
Alienda kuwakilisha Tanzania au mkoa wa Kilimanjaro? I thought tungeuliza Tanzania tumemfanyia nini!

Kweli kabisa. Nimesema Kilimanjaro kwa kuwa kashukia pale uwanja wa nyumbani na nilitegemea atapata mapokezi ya kitaifa. Wa kuwalaumu ni viongozi wa Kilimanjaro ambao hawakuona hii kuwa ni achievement ya kitaifa, Tanzania japo tumo katika nchi zilizokwisha panda Everest, Nakuhahakishia, hazifiki nusu ya nchi za duniani.

Ni bora hata wangemtunuku debe la mbege.
 
Wewe sababu zako zilikuwa kwenda kujamba tu huko juu na kurudi au sio?

NDIO. Na kwa sababu kujamba ni shughuli yangu binafsi sikuwa na sitakuwa na haja ya kuunda tume za kudai zawadi as if ulikuwa mpango wa pamoja. Sasa wewe hiki kiherehere chako kinaletwa na nini?

Ni mwenyewe kakutuma au unashoboka tu?
 
Wewe ulitaka apewe nini mkuu, tigo?

Kila watu wana namna yao ya kupongezana na wao wameona iwe hivyo kama ishara ya kumrudishia afya. Labda nikuulize swali; alipoondoka kwenda huko KILELENI (ambapo mimi na shemeji yako tunafika kila tunapokutana kwenye mambo yetu) aliagana na watu hawa ambao unawashutumu kuwa hawajampongeza vya kutosha?

Yule jamaa aliyemnasa Mzee Rukra makofi si ni mtanzania wa kwanza kufanya hivyo, je ulimpa nini? Au amekutuma uje kumpigia debe baada ya kuona watu hawashobokei mambo yake ya kupanda milima?

Jinsi maisha yalivyopinda na dhiki kuwaandama wananchi, jitu linakurupuka na mambo ya milima hapa.

Akili za Watanzania wengi zinaishia hapo kwa shemeji, sikushangai kabisa.

Ungekuwa na dhiki ya maisha ungekuwa kwenye mtandao saa hizi unatuelezea mambo yako ya kitandani ukiwa na hawara yako?

Watanzania wengi hamjui jambo kama hili linavyoitangaza nchi duniani, huyu akisema uzoefu wa kupanda Kilimanjaro ndio uliomfanya aweze kuukwea Everest kwa kiwango fulani ni parapanda tosha ya kuvutia wanaotaka kuupanda Everest kuja kufanyia mazoezi hapa kwetu. FIKIRI, uchumi mnao mnaukalia!
 
Zomba wewe kama sio mwana CCM basi uko addicted na siasa zao maana kila kitu unafikiri sherehe na zawadi tu, Kilimanjaro hawako kama Mikoa mingine wakivuna mdundiko na sangura kila mtaa ili mradi wamepata sadolin moja ya mpunga kwahiyo inatakiwa iliwe iishe. Wale wako kimikakati zaidi na ndio maana kila ukitaja wenye maendeleo yasiyohusishwa na ufisaadi watano wachaga watakuwa watatu na mhindi mmoja na aliyebaki ndo mikoa mingine. Jifunze walichokifanya acha kulazimisha unayoyazoea ambayo bado yamekupa maisha duni mpaka sasa

Nadhani huna mawazo mema, sina haja ya kukumbusha umaarufu wa wachagga nambari wani afrika mashariki. Unaujuwa.
 
Tatizo amerudi wakati mbaya,kwanza nchi imetawaliwa na habari za bifu la UAMSHO na Makanisa huko zenji,pili hata mkuu wa kaya ambaye tungetegemea ndio angeongoza mapokezi yupo bize huko Arusha.
 
Back
Top Bottom