Mtanzania katika Jarida la Kimataifa

Nimpongeze John Mashaka?:A S 13:

mkuu mna bifu nini? tofauti zote kando, nadhani hawa vijana wangetumiwa zaidi ya kuachwa kuwatumikia wazungu, kwa maana hawa wanaweza kusaidia uchumi wetu unaokufa. wao pia inabidi wasiwe ni watu wa tamaa kutaka malipo makubwa kama madokta na wabunge. waonyeshe uzalendo
 
This must not be considered as the first time a Tanzanian contributed to an international platform. I, myself, have had several times given studious interviews to BBC Radio 4 on topics related to politics and economy. Perhaps nobody paid attention to me because of the fact that I am a woman.

dont damage the good reputation of women they are great company!
 
This must not be considered as the first time a Tanzanian contributed to an international platform. I, myself, have had several times given studious interviews to BBC Radio 4 on topics related to politics and economy. Perhaps nobody paid attention to me because of the fact that I am a woman.

Maybe they did not pay attention to you because your contribution was not relevant. Thats my take, being a women is not an issue, just thinking
 
What is the upshot of all this? If Mashaka is a financial analyst as the story puts it, he is doing is job. So what is so unique about this in the first place?

huu huzi niliuleta kwa sababu moja kubwa tu, ya kuwapa changamoto vijana wenzetu. huyu anayezungumziwa sijawahi kumuona ila nimewahi kusoma habari zake kipindi bado nipo tanzania. Kwanza hii habari imejaa sana kwenye magazeti tofauti siyo uchina tu, ila hadi urusi, korea, india na sehemu nyingi. ni kama vile ilsambazwa na news agency. na sioni kwa nini nishutumiwe. huyo kijana nadhani ni sehemu ya kazi yake kutoa uchambuzi ... nawasilisha
 
mboni huyu j mashaka alisifiwa hapa jamvini na member mmoja hvi kipindi cha nyuma hvi... hongera zake
 
mboni huyu j mashaka alisifiwa hapa jamvini na member mmoja hvi kipindi cha nyuma hvi... hongera zake

Kinehe baba?
nakubaliana na na wewe baba. kama ni hongera zake tumpe hizo kidogo, kwa maana naona kila mtu kwnye hiyo makama ni msomi mahiri huku asia, na mbongo mwenyezetu naye yumo, kw ahiyo lazima tujivunie maendeleo yetu....yaani mimi nashangaa sana watanzania. kitu kizuri wanakandya. mimi sioni baya kwa maana miimi nimerireta tu hii sredi kuwapa changamoto sasa kelele zote za nini?
 
This must not be considered as the first time a Tanzanian contributed to an international platform. I, myself, have had several times given studious interviews to BBC Radio 4 on topics related to politics and economy. Perhaps nobody paid attention to me because of the fact that I am a woman.

pole mwaya enhee....siku ukihojiwa ntakupaisha radhia saUwa?
 
This must not be considered as the first time a Tanzanian contributed to an international platform. I, myself, have had several times given studious interviews to BBC Radio 4 on topics related to politics and economy. Perhaps nobody paid attention to me because of the fact that I am a woman.

@radhia. mrembo ningeweza ningekupaisha mie, ila hii atiko nimekutana nayo huko kwenye mitandao...
 
This must not be considered as the first time a Tanzanian contributed to an international platform. I, myself, have had several times given studious interviews to BBC Radio 4 on topics related to politics and economy. Perhaps nobody paid attention to me because of the fact that I am a woman.

And do not expect any attention if your presentations are not in line with M4C.
 
Hata sijasoma kitu. Kuanzisha Bank mpya ambayo inaendeshwa kwa misingi ile ile ya bank zilizofail kudeliver haiwezekani kuwa solution asilani. na ninachokiona ni kwamba hakuna mtu ana address chanzo cha tatizo. all over the world, Big Bank failures and economic collapses huwa zinasababishwa na wanasiasa.
 
Does this mean, this guy is also a Chadema (M4C) Cadre?
I am told that, though I am referring to the politics portion because Radhia has aplauded herself of the political interviews she go through with BBC.

But also I would not like to see you missing the point, supporting movement for change does not need you to be a CHADEMA cadre.You can continue to hold your CCM ideologies and membership but support M4C because it is meant to change the way this part of the world is being Governed, although this will end up with taking CCM out of the governance wheel but it does not mean bringing it to its end, so CCM will continue to be there but not on power. I hope now you can also take up this opportunity suppose am not misguided by your name "CCM-MAMA".
 
Back
Top Bottom