Mtanzania Jiulize maswali haya kabla hujaongea UDINI

Jan 24, 2012
32
21
Wapendwa Ndugu zangu Watanzania,Naomba tuangalie kwa umakinisana swala la udini, hili swala liliibuka baada ya uchaguzi na wakati wauchaguzi uliokwisha,Na mbaya zaidi. Viongozi wakubwa wa nchi waliliongea mbeleya umma,haya yanayotokea sasa ni madogo kuna makubwa zaidi kuhusu udiniyatakuja.

Ewe Mtanzania jiulize maswali haya kabala ya kuchukua hatua zozote zakidini

· Jiulize katika historia hizi dini zilikuja kwasababu gani?
· Je tangu umekuwa muumini wa dini fulani ni mambomangapi umefaidika nayo ya maendeleo out of imani?
· Jiulize mababu zetu kwanini wao walikuwawanagombania ardhi na mifugo tu na wala sio vyanzo vyao vya kuabudu?
· Jiulize hawa walioleta hizi dini huku Africa jebado wao katika nchi zao wana mijadala ya kidini?
· Ni kwanini nchi zenye rasilimali nyingi zaafrica ndio udini unachochewa ili watu wapigane?
· Jiulize hizi dini zililetwa kwa dhamira gani?

My Note:
· Hawa jamaa waliondoka kwa kinyongo sana ktk nchi za kiafrica, sasa wakatafuta mbinu za kurudi tena wanyonye rasilimali tulizonazo. Wakaja kwa na style ya MULTPARTISIM, kuna baadhi ya nchiziligawanyika kwa sababu ya mambo hayo,na kuna baadhi ya nchi zinapigana mpakasasa kwa sababu ya hiyo.

· Wamekuja na UDINI sasa, wakiona nch iko stablepolitically wanatafuta njia ya udini ambayo ndio naona TZ tunaelekea kuingiakwenye hilo shimo, Mungu atujalie tufaulu mtihani huu.

· Watakuja tena na UKABILA, hii ndio mbayasana,NAWAOMBA WTZ WOTE TUONE KWA MACHO MAWILI HAYA MAMBO.
 
Mungu akubariki kwa kukufumbulia hayo ni wachache wanaweza kukuelewa, tunaongozwa na remote kutoka mataifa makubwa tunaingia mikataba mibovu si kwa kutaka, maana unabembeleza misaada kwao unategemea nn leo hii tunataka kujuana kwa idadi ya dini itatusadia nn wakati tunahitaji mambo mengi ya msingi kujikwamua ktk umaskini umefunguka.
 
[COLOR=#000000 said:
· Jiulize[/COLOR] katika historia hizi dini zilikuja kwasababu gani?
· Je tangu umekuwa muumini wa dini fulani ni mambomangapi umefaidika nayo ya maendeleo out of imani?
· Jiulize mababu zetu kwanini wao walikuwawanagombania ardhi na mifugo tu na wala sio vyanzo vyao vya kuabudu?
· Jiulize hawa walioleta hizi dini huku Africa jebado wao katika nchi zao wana mijadala ya kidini?

Humo kwenye blue ndio mzizi wa fitina,...waafrika ni wavivu wa kufikiri ndio maana kila tunaloambiwa tunakubali.
 
Ni kweli udini ulikuzwa sana kwa kutumiwa na wana siasa kama kinga ya kujinusuru katika uchaguzi wa 2010. Na tunachoshuhudia sasa serikalini kwa kila wanachotaka kufanya kushinikizwa na dini. Hili sio geni kwetu binadamu kwamba ukimzaa mtoto katika familia atakulilia kwa mahitaji yake, hivyo hicho kilio cha dini cha sasa ni cha mtoto aliyezaliwa na serikali yenyewe 2010. Kitoto ndo kinakuwa hivyo na bado kikiota meno kitayatumia kung'ata ziwa la *****.
Kwa habari ya mikataba kuwarejesha wageni nchini sii kweli inafanywa na wana dini bali watawala ambao kimsingi ni wanasiasa. Hivyo hali mbaya ya unyonywaji kwa kivuli cha utandawazi ni tunda la utawala mbovu wa wanasiasa wa kiafrika.
.
 
Mkuu kwa mujibu wa historia DINI zililetwa ili kututawala kirahisi na kwa maoni yangu DINI kwenye sensa haina tija zaidi ya kuchchea chuki baina ya Waislamu na Wakristo

Nawasishi ndugu zetu Waislamu wajiulize Lengo la sensa ni nini? Nadhani ni kujua Idadi ya watu ili kupanga mipango ya Maendeleo ila sidhani kuwa mipango ya maendeleo inapangwa kwa misingi ya DINI au KABILA.
 
Waambie chama kinachokumbatia misaada ya chama cha siasa cha kidini waachane na hayo. Si unakijuwa?
 
kweli mtoa mada.asante kwa kutuonyesha hili!kwa mwerevu ataelewa!lkn watz wengi wavivu wa kufikiri,wanakurupuka tu bila kujiuliza madhara yake.tuamke jamani
 
Ni uvivu wakufikiri na kufanya kazi watu wanaamini shida zao zitakwisha kwa kulalamika badala ya kuchukua hatua
 
Back
Top Bottom